TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliwaua raia Wa palestina wasiopungua 357 mwaka 2021 huku jamii ya kimataifa ikiwa kimya kuhusu jinai hizo dhidi ya raia.
Habari ID: 3474754 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/02
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza njama zake haramu za Kuuyahudisha Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474749 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekosolewa vikali kwa kukutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474739 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/29
TEHRAN (IQNA)- Waliotenda jina katika Vita vya Furqan (vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza mwaka 2008-2009) hawataruhusiwa kukwepa mkono wa sheria, imesisitiza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
Habari ID: 3474731 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/27
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Morocco wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo na kutangaza tena kupinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai kila leo dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3474716 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/24
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewakamata watoto watatu waliokuwa wanapeperusha bendera ya Palestina katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds(Jerusalem) Mashariki unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474703 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/21
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran itaendelea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina hadi pale mji mtakatifu wa Quds utakapombolewa na kuondoka katika makucha ya Wazayuni maghasibu.
Habari ID: 3474697 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/20
TEHRAN (IQNA)- Timu ya Taifa ya kandanda ya Algeria imeibuka mshindi katika mashindano ya kwanza ya Kombe la Mataifa ya Waarabu (FIFA Arab Cup 2021) yaliyofanyika nchini Qatar na kuwatunuku Wa palestina kombe hilo.
Habari ID: 3474695 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/19
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, sasa harakati hiyo ya Kiislamu ina nguvu kubwa za kijeshi ambazo zinaiwezesha kupiga popote katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
Habari ID: 3474686 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/17
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umemuachilia huru iongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina Sheikh Raed Salah.
Habari ID: 3474669 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/13
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelfu ya Wa palestina katika Ukanda wa Ghaza wameshiriki katika maadhimisho ya mwaka wa 34 wa kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).
Habari ID: 3474664 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu,Bunge la Iran amesema kuwa umoja ni suluhisho pekee kwa matatizo ambayo yanaukumba umma wa Kiislamu duniani kote.
Habari ID: 3474663 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11
TEHRAN (IQNA)- M palestina amekataa dola milioni tano za Kimarekani kutoka wa Wazayuni ambao walikuwa wanataka kumiliki nyumba yake katika mtaa wa Sheikh Jarrah mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474661 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/10
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa mapema leo Ijumaa umepasisha azimio linalolaani na kubatilisha hatua zote za Israel katika eneo la Syria la Golan linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo na kuutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe hatua zote zinazokiuka sheria za kimataifa.
Habari ID: 3474660 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/10
TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa Palestina wametaka Shirika la Umoja wa Mtaifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) lianzishe uchunguzi kuhusu uchimbuaji unaofanywa kinyume cha sheria na Israel katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474644 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wa palestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) pamoja na kuwepo vizuizi vilivyokuwa vimewekwa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia ardhi hiyo ya Palestina kwa mabavu.
Habari ID: 3474635 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/03
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limetaka kuondoka kikamilifu utawala ghasibu wa Israel katika Miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474630 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02
TEHRAN (IQNA)- Nabi Musa ni eneo ambalo liko kilomita nane kusini mwa Jericho (Ariha) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel na inaaminika kuwa hapo ndipo lililo kaburi la Nabii Musa-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake.
Habari ID: 3474619 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/30
TEHRAN (IQNA)- Leo tarehe 29 Novemba inaadhimishwa kote duniani kama Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina
Habari ID: 3474616 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/29
TEHRAN (IQNA)- Walowezi wa Kizayuni Alhamisi wamepachika alama kubwa ya Kiyahudi ijulikanayo kama Menorah katika paa la msikiti wa kihistoria katika kijiji cha An-Nabi Samwil,kaskazini magharibi mwa mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474608 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27