iqna

IQNA

shirika la habari la qurani
Maadhimisho
IQNA- Makumi ya maafisa na wanaharakati wa Qur'ani wameadhimisha mwaka wa 21 wa kuanzishwa kwa kwa Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA).
Habari ID: 3478593    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/28

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Masuala ya Kidini wa Algeria amesema baadhi ya wanafunzi milioni moja wamejiandikisha kwa ajili ya kozi za Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3476961    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Jinai za Saudia nchini Yemen
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Kimataifa la Kupambana na Mateso limesema katika ripoti yake kwamba, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia ndio chimbuko la ukame na njaa inayowakabili wananchi wa Yemen kutokana na kuiziingira nchi nchi hiyo.
Habari ID: 3475836    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Harakati ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la kutoa misaada la Kiislamu la Uingereza limevunja rekodi ya dunia kwa idadi kubwa zaidi ya uchangiaji damu katika mabara sita kwa siku moja pekee.
Habari ID: 3475806    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika eneo la Edmonton nchini Kanada (Canada) wametoa ushuhuda wenye nguvu kwa maseneta wa Baraza la Seneti la Kanada kuhusu uzoefu wao na ubaguzi wa rangi na uhalifu unaochochewa na chuki katika mkutano wa hadhara mjini humo.
Habari ID: 3475762    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Palestina
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina waliswali Sala ya jamaa ya Fajr (alfajiri) katika Msikiti wa Al-Aqsa ulio kaitka mji unaokaliwa kwa mabavu na Israel wa al-Quds (Jerusalem) siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3475757    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jamii ya Qur’ani inapaswa kuwa na seti ya vipengele na muhimu zaidi ni pamoja na imani, akili, elimu, uadilifu, na wema au ukarimu.
Habari ID: 3475751    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/08

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu katika mataifa ya Ulaya hususan Ufaransa ungali unaendelea huku kukiwa na mpango wa kuwatimua Maimamu na viongozi wengine wa jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475748    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/07

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni, utawala haramu wa Israel umewatia mbaroni zaidi ya wanawake 16,000 wa Kipalestina tangu mwaka 1967 huku mashirika ya haki yakionya kuhusu hali mbaya ya wafungwa wa kike katika jela za kuogofya za Israel.
Habari ID: 3475694    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Msikiti wa Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Leo 21 Agosti inatambuliwa kama Siku ya Kimataifa ya Msikiti kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu la Agosti 21, 1969 wakati Mzayuni Michael Dennis Rohan alipoitekteza moto sehemu ya Msikiti wa Al Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3475658    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Kupambana na Itikadi Kali ya Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar imesema imeashiria ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani, na kusema hilo limeenda sambamba na kushadidi mashambulizi ya vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3475642    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18

Siku ya Ashura
TEHRAN (IQNA) – Nafasi ya wanawake katika mwamko wa Ashura yote imekuwa chanya. Sio tu kwamba kuna jukumu la wanawake wa kipekee kama Bibi Zaynab (SA) na Umm Salama, lakini pia hakuna ukandamizaji uliotekelezwa na na wanawake na kwani hata wake wa baadhi ya makamanda wa jeshi la Yazid bin Muawiya wamewakemea waume zao.
Habari ID: 3475602    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10

Rais wa Iran katika mkutano na mkuu wa Jihadul-Islami
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema, leo wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni na wanaamini kuwa Muqawama na au mapambano ya Kiislamu ndio njia kuu na ya msingi ya kukabiliana na utawala huo.
Habari ID: 3475582    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05

Quds Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Taasisi za Kiislamu mjini Al Quds (Jerusalem) ziliionya utawala wa Kizayuni wa Israel siku ya Jumapili dhidi ya upanuzi wa Lango la Magharbeh ndani ya eneo la Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3475566    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/02

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika Silopi, mkoa wa Sirnak, kusini mashariki mwa Uturuki, kuzindua shule ya kufundisha vijana kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3475564    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Waislamu Canada
TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya sanaa ya Kiislamu yalizinduliwa mapema wiki hii huko Saanich, Victoria nchini Canada.
Habari ID: 3475560    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Walowezi wa Kizayuni
TEHRAN (IQNA) – Mtoto wa Kipalestina alifariki dunia masaa mawili baada ya kupigwa risasi na walowezi wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliokuwa na silaha siku ya Ijumaa karibu na kijiji cha Al-Mughayer, karibu na Ramallah katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475558    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Mwanamke mwenye hadhi na kipaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa pigo kubwa na muhimu zaidi kwa madai na uongo ya ustaarabu wa Magharibi, na suala hilo limewakasirisha mno Wamagharibi.
Habari ID: 3475550    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/28

Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mkurugenzi kituo kimoja cha televisheni ya Qur’ani nchini Qatar ametangaza kukomeshwa kwa programu za kituo cha Runinga.
Habari ID: 3475529    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/23

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu wa Palestina Hamas imepongeza ripoti ya Ofisi ya Masuala ya Haki za Binadamu (UNOCHA) ambayo ilionyesha kuhusu madhara ya mzingiro wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza..
Habari ID: 3475456    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/03