iqna

IQNA

shirika la habari la qurani
TEHRAN (IQNA)- Mgogoro mbaya zaidi wa kiuchumi unaoikabili Sri Lanka iliyokumbwa na madeni umewalazimu Waislamu kutotekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3475326    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02

Uislamu na Ukriso
TEHRAN (IQNA)- Mkurugenzi wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani na kumkabidhi ujumbe wa maneno kutoka kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3475324    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01

Palestina na Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani vikali hujuma za hivi karibu za walowezi Waisraeli dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
Habari ID: 3475322    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01

Wanawake na Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kongamano la kila mwaka la Qur’ani la Jumuiya ya Qur’ani ya Wanawake na Wasichana ya Gambia liliandaliwa ili kukuza vipaji vya kielimu miongoni mwa wanachama wa jumuiya hiyo.
Habari ID: 3475321    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi wa Vyuo vya Kiislamu Iran Ayatullah Alireza Arafi alikutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis.
Habari ID: 3475317    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31

Msikiti wa Al Aqsa wahujumiwa
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hatua ya Wazayuni ya kuuvunjia heshima msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu. Msikiti huo uko katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475313    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30

Jinai za kivita za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mashirika kadhaa ya kutetea haki za Wapalestina yameikabidhi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) maelezo ya kina kuhusu jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na utawala wa Israel wakati wa hujuma zake za kijeshi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza mwaka 2021.
Habari ID: 3475294    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25

TEHRAN (IQNA) – Misikiti mikubwa nchini Misri itaruhusiwa kufanya misa ya usiku wa manane katika siku za mwisho za Ramadhani.
Habari ID: 3475171    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/26

TEHRAN (IQNA)- Msomi mmoja wa Iraq ametoa wito kwa jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kuzuia vitendo vya kuvunjia heshima dini na matukufu ya kidini.
Habari ID: 3475149    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA)- Katika ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu duniani, shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International lilikosoa rekodi ya haki za Ufaransa, hususan sera yake kuhusu Waisamu na wakimbizi.
Habari ID: 3475088    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/30

TEHRAN (IQNA) – Huku Waislamu kote Uingereza wakihangaika kujikimu, Mfuko wa Kitaifa wa Zakat (NZF) umeripoti ongezeko la asilimia 90 la maombi ya mahitaji muhimu kama vile chakula na nguo ikilinganishwa na mwaka jana.
Habari ID: 3475042    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/14

TEHRAN (IQNA)- Haram Takatfu ya Hadhrat Abbas AS katika mji wa Karbala, Iraq ni mwenyeji wa maelfu ya wafanya ziyara kwa munasaba wa Idi za Mwezi wa Shaaban.
Habari ID: 3475033    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

TEHRAN (IQNA)- Shambulio la kigaidi lililolenga Msikiti wa Waislamu wa Kishia mjini Peshawar Pakistan linaendelea kulaaniwa na pande mbalimbali ulimwenguni.
Habari ID: 3475018    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/07

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Morocco imetangaza hatua za kuhakikisha kutovurugwa usambazaji wa maji wa chakula na bidhaa za kimsingi ili kukidhi mahitaji ya raia katika mwezi mtukufu ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3475010    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran yanaendelea huku baadhi ya wanaoshindana wakishiriki ana kwa ana katika ukumbi na wengine wakishiriki kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3474999    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/03

TEHRAN (IQNA)- Hatua ya mwisho ya mashindano ya 5 ya Qur'ani ya Katara ya Qatar itafanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani (Aprili).
Habari ID: 3474998    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02

TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne vimewapiga risasi na kuwajeruhi waandishi wawili wa habari wa Kipalestina katika maandamano ya amani yaliyoandaliwa katika mji wa Al-Khalil (Hebron) unaokaliwa kwa mabavu na utawa huo katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474997    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02

TEHRAN (IQNA)- Babagana Zulum Gavana wa Jimbo la Borno, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria hivi karibuni alionya kuhusu hatari ya kuenea satwa ya kundi la kigaidi la Kiwahhabi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP).
Habari ID: 3474982    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/27

TEHRAN (IQNA)- Wabunge kadhaa nchini Kuwait wametaka wanachama wa chama tawala India, Bharatiya Janata (BJP) wapigwe marufuku kuingia nchini humo kutokana na kuhusika kwao na ukandamizaji wa Waislamu nchini India.
Habari ID: 3474955    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/21

TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza katika historia ya Algeria, mwanamke mtangazaji habari amejitokeza akiwa amevaa Hijabu katika televisheni ya kitaifa.
Habari ID: 3474944    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/18