iqna

IQNA

shirika la habari la qurani
Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut.
Habari ID: 3475418    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Huku Mahujaji kutoka nchi mbalimbali wakiendelea kuwasili, takriban Misahafu mipya 80,000 imewekwa kwenye rafu za Msikiti Mkuu wa Makkah au Masjid al-Haram.
Habari ID: 3475410    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/22

Msomi wa Algeria
TEHRAN (IQNA) – Msomi na mwanafikra wa Qur’ani wa Algeria anasema umoja baina ya nchi za Kiislamu ni jambo la lazima na unapaswa kufikiwa katika nyanja tofauti.
Habari ID: 3475409    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/22

Sura za Qur'ani/ 8
TEHRAN (IQNA)- Kuongezeka kwa makundi ya kigaidi duniani na matumizi mabaya ya Uislamu kumepelekea istilahi Jihadi (vita vitakatifu) kupachikwa maana isiyo sahihi na hivyo kunasibishwa na maneno kama vile kuchochea vita, ghasia na mauaji.
Habari ID: 3475385    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/16

Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)-Mtu asiyejulikana ametekteza moto msikiti katika mji wa Rennes magharibi mwa Ufaransa na tayari mamlaka imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai hiyo.
Habari ID: 3475384    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/16

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) –Umoja wa Ulaya umetuhumiwa kuwa unapuuza chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3475378    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/15

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mamlaka ya Saudia ilitangaza Jumatatu kuondolewa kwa amri ya barakoa katika maeneo ya ndani huku Waislamu kutoka kote ulimwenguni wakiwasili kuanza nchhini humo kuanza ibada ya Hija.
Habari ID: 3475377    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/14

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) –Sawa na idadi kubwa ya Waislamu katika nchi nyingine, raia wengi wa Morocco wanalazimika kufuta safari yao ya Hijja mwaka huu kutokana na gharama kubwa.
Habari ID: 3475373    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Mahujaji kutoka nchi Magharibi wanaokusudia kushiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu lazima sasa watume maombi kupitia tovuti ya serikali, Saudi Arabia ilisema.
Habari ID: 3475359    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/10

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW ya Afrika Magharibi yatafanyika nchini Mauritania.
Habari ID: 3475358    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/10

Uadui wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hatua za utawale wa Kizayuni wa Israel katika eneo la machimbo ya gesi ya Karish ni ukiukaji wa mamlaka ya Lebanon na akaonya wazi kuwa hakuna shaka yoyote kuwa Hizbullah inayo uwezo wa kijeshi na kiusalama wa kumzuia adui mzayuni asichimbe mafuta na gesi katika eneo hilo.
Habari ID: 3475357    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/10

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Timu ya ngazi ya juu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kuwafanyia Wapalestina vitendo vya kibaguzi ndio sababu kuu ya kushuhudiwa mawimbi ya ghasia zisizokwisha katika ardhi hizo zilizoghusubiwa.
Habari ID: 3475354    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/09

Spika wa Bunge la Iran katika Kongamano la Kimataifa la Wanaharakati wa Umahdi
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Bunge la Iran amesema chimbuko la Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni fikra za Imam Mahdi, Mwenyezi Mungu Aharikishe Kudhihiri Kwake, na Ashura.
Habari ID: 3475346    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

Masomo ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tano ya Kozi ya Qur'ani imefanyika nchini Mali katika kituo kimoja kinachofadhiliwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS nchini Iraq.
Habari ID: 3475345    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani matamshi ya hivi kairbuni ya kumvunjia heshima Mtume SAW katika mdahalo wa televisheni nchini India.
Habari ID: 3475343    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu duniani zimeendelea kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa Televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3475342    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Operesheni ya kuosha na kusafisha Ka’aba Tukufu huko Makka imekamilika ili kuandaa mahali patakatifu kwa ajili ya Hija ijayo.
Habari ID: 3475335    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

Fikra za Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Mudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshiriki katika Hauli ya mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, "Imam Khomeini MA alikuwa roho ya Jamhuri ya Kiislamu'
Habari ID: 3475334    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mgahawa huko Ufaransa haukumruhusu mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu kwa sababu ya vazi lake hilo la Kiislamu.
Habari ID: 3475331    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/03

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema, muongozo na muelekeo wa kisiasa wa Imam Khomeini -Mwenyezi Mungu Amrehemu- ni kielelezo cha wazi cha falsafa ya siasa katika Uislamu.
Habari ID: 3475329    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/03