iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu katika Ukanda wa Gaza imeandaa vikao katika misikiti miwili katika eneo hilo lililozingirwa la Palestina ili kutathmini ujuzi wa Qur’ani Tukufu wa wavulana na wasichana waliohifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475543    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu wa Palestina Hamas imepongeza ripoti ya Ofisi ya Masuala ya Haki za Binadamu (UNOCHA) ambayo ilionyesha kuhusu madhara ya mzingiro wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza..
Habari ID: 3475456    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/03

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Timu ya ngazi ya juu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kuwafanyia Wapalestina vitendo vya kibaguzi ndio sababu kuu ya kushuhudiwa mawimbi ya ghasia zisizokwisha katika ardhi hizo zilizoghusubiwa.
Habari ID: 3475354    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/09

Jinai za kivita za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mashirika kadhaa ya kutetea haki za Wapalestina yameikabidhi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) maelezo ya kina kuhusu jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na utawala wa Israel wakati wa hujuma zake za kijeshi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza mwaka 2021.
Habari ID: 3475294    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25

Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rashad Nimr Abu Ras, mvulana Mpalestina mwenye umri wa miaka saba amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3475288    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/24

TEHRAN (IQNA)- Ndege za kivita zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni wa Israeli zimetekeleza mashambulio ya angani kati mwa Ukanda wa Gaza
Habari ID: 3474236    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/29

TEHRAN (IQNA)- Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema hali katika Ukanda wa Ghaza inamkumbusha kuhusu hali ilivyokuwa katika nchi yake wakati wa utawala wa mfumo katili wa ubaguzi wa rangi maarufu kama Apartheid.
Habari ID: 3473925    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/19

Misikiti katika eneo la Ukanda wa Ghaza katika ardhi za Palestina imesafishwa kwa dawa za kuua virusi kabla ya kufunguliwa baada ya kufungwa kwa miezi miwili ili kuzuia kuenea kirusi cha corona.
Habari ID: 3473283    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/22

TEHRAN (IQNA)- Maandamano ya Siku ya Ardhi yalifanyika leo kwa siku ya nne mfululizo huko katika Ukanda wa Gaza na kushambuliwa tena na askari wa utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3471451    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/02

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umeulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia maendeleo pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zilizo katika eneo la Quds Mashariki, Ukingo wa Maghribi na Ukanda wa Ghaza katika kipindi cha zaidi ya miaka 50 ya kukalia kwa mabavu maeneo hayo.
Habari ID: 3471173    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/14

Katika hatua ya kushan gaza , Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekataa kuuoredhesha utawala haramu wa Israel na ambao unaendelea kuua watoto wa Ukanda wa Gaza, katika orodha ya tawala zinazovunja haki za watoto duniani.
Habari ID: 3312923    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/10

Wakimbizi Wapalestina walio katika nchi mbali mbali duniani wanakabiliwa na matatizo makubwa sana. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kuhusu hali mbaya sana ya wakimbizi Wapalestina.
Habari ID: 3023920    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/22

Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametan gaza kuwa, kumeundwa kamati ya uchunguzi kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika ukanda wa Gaza.
Habari ID: 1472788    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/13

Ali Larijani
Ali Larijani Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amesema , leo taifa la Iran linafakhari kuwa, kwa uwezo wake wote limeweza kulisaidia taifa la Palestina katika kipindi chake kigumu zaidi.
Habari ID: 1443997    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/28

Daktari Erik Fosse kutoka Norway ambaye yuko katika eneo la Ukanda wa Ghaza linalozingirwa na utawala haramu wa Israel kwa miaka kadhaa sasa, ameukosoa vikali utawala huo ghasibu kwa kutupa mabomu yenye kusababisha maradhi ya saratani dhidi ya wananchi wa Palestina walioko katika eneo hilo.
Habari ID: 1429754    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/14