Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala katili wa Israel lilishambulia maeneo ya Lebanon na Palestina katika Ukanda wa Gaza mapema Ijumaa, kufuatia kuvurumishwa makombora ya kulipiza kisasi kutoka Gaza na Kusini mwa Lebanon kutokana na mashambulizi ya kinyama ya utawala huo dhidi ya waumini wa Kipalestina ndani ya Msikiti wa al-Aqsa katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3476825 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la tano la semina kuhusu miujiza ya kimatibabu ya Qur'ani Tukufu ilianza katika Mji wa Gaza.
Habari ID: 3476710 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema zaidi ya Wapalestina milioni mbili huko Gaza (Ghaza) wanateseka kutokana na mzingiro wa miaka 16 wa utawala haramu wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3476492 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31
Jinai za utawala haramu wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Januari 19 inatambuliwa katika kalenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni "Siku ya Ghaza" kwa mnasaba wa kumbukumbu ya vita vya siku 22 vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza (Gaza) huko Palestina.
Habari ID: 3476430 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19
Wapalestina wa Gaza
TEHRAN (IQNA) – Katika sherehe huko Gaza, wafungwa 77 wa Kipalestina ambao wameweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu wameenziwa.
Habari ID: 3476180 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/01
Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Katika sherehe katika ardhi ya Palestina ya Ukanda wa Gaza, wahifadhi 143 wa Qur’ani Tukufu wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyohudhuriwa na idadi kubwa ya watu na maafisa wa serikali.
Habari ID: 3476011 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31
Ukanda wa Gaza
TEHRAN (IQNA) – Mkusanyiko wa waliohifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ulifanyika katika Ukanda wa Gaza ambapo washiriki walihitimisha Qur'ani.
Habari ID: 3475672 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24
Mapambano dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa wa harakati ya mapambano ya Jihad Islami ya Palestina anasema mapambano na muqawama dhidi ya utawala vamizi na ghasibu wa Israel yataendelea hadi ukombozi wa ardhi zote za Palestina.
Habari ID: 3475637 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17
Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Ilimchukua msichana wa Kipalestina mwezi mmoja tu kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu katika hatua amabyo imetajwa kuwa ni ya aina yake.
Habari ID: 3475635 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kampeni ya ‘Kujitolea kwa ajili ya Gaza’ imezinduliwa na Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Qatar.
Habari ID: 3475631 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiri kuwaua watoto watano Wapalestina katika hujuma yake ya hivi karibuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3475629 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Mcheza soka mashuhuri wa Ufaransa Paul Pogba ameonyesha mshikamano na Wapalestina katika Ukanda wa Gaza baada ya mashambulio ya hivi karibuni ya anga ya jeshi la utawala katili wa Israel kwenye eneo hilo na kuua shahidi Wapalestina zaidi ya 45 wakiwemo watoto 19.
Habari ID: 3475621 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema maroketi na makombora kutoka Ukanda wa Gaza yaliwafanya walowezi wa Kizayuni wakimbilie mapangoni mwao kutafuta hifadhi na kulazimika kufanya mapataano na kusitisha mapigano.
Habari ID: 3475611 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12
Uuungaji mkono Palestina
IQNA (TEHRAN )- Wananchi wa Iran jana Jumanne walifanya maandamano katika mji mkuu Tehran kulaani jinai za utawala wa Kizayuni za kuwaua shahidi wanawake na watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3475605 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10
Ukatili wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Siku tatu za mashambulizi mutawalia ya utawala haramu wa Israel huko Gaza yalisababisha vifo vya raia Wapalestina 45 wakiwemo watoto 15 na wanawake wanne huku wengine 360 wakijeruhiwa.
Habari ID: 3475596 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08
Ukatili wa Israel
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imevurumisha makombora zaidi ya 100 katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel ikiwa ni katika kulipiza kisasi hatua ya utawala katili wa Israel ya kumuua kamanda wa ngazi za juu wa harakati hiyo.
Habari ID: 3475586 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu katika Ukanda wa Gaza imeandaa vikao katika misikiti miwili katika eneo hilo lililozingirwa la Palestina ili kutathmini ujuzi wa Qur’ani Tukufu wa wavulana na wasichana waliohifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475543 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu wa Palestina Hamas imepongeza ripoti ya Ofisi ya Masuala ya Haki za Binadamu (UNOCHA) ambayo ilionyesha kuhusu madhara ya mzingiro wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza..
Habari ID: 3475456 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/03
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Timu ya ngazi ya juu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kuwafanyia Wapalestina vitendo vya kibaguzi ndio sababu kuu ya kushuhudiwa mawimbi ya ghasia zisizokwisha katika ardhi hizo zilizoghusubiwa.
Habari ID: 3475354 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/09
Jinai za kivita za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mashirika kadhaa ya kutetea haki za Wapalestina yameikabidhi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) maelezo ya kina kuhusu jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na utawala wa Israel wakati wa hujuma zake za kijeshi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza mwaka 2021.
Habari ID: 3475294 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25