IQNA Ripoti ya kutisha iliyotolewa na Wizara ya Afya ya Palestina, imefichuliwa kuwa wakati wa hujuma za hivi karibuni za kijeshi za utawala wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, asilimia 70 ya watu 18,800 waliouawa walikuwa wanawake na watoto.
Habari ID: 3478053 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/18
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kiislamu yenye makao yake London (IHRC) amekosoa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa undumilakuwili wake linapokuja suala la kushtaki wahusika wa uhalifu wa kivita.
Habari ID: 3478050 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/17
Watetezi wa Palestina
IQNA – Toleo la 19 la Jukwaa la Kimataifa la Russia na Ulimwengu wa Kiislamu lilifanyika mjini Moscow huku wazungumzaji wakizingatia hali mbaya ya Gaza.
Habari ID: 3478028 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13
Matukio ya Palestina
IQNA- Idara ya Habari ya Serikali ya Gaza imeripoti kwamba asilimia 61 ya nyyumba za raia wa Kipalestina huko Ukanda wa Gaza zimebomolewa katika vita vya maangamizi ya umati vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo lilolozingirwa.
Habari ID: 3478026 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12
Jinai za Israel
IQNA- Mwanaharakati wa haki za binadamu mwenye makao yake mjini London, Uingereza anasema jibu la nchi za Magharibi kwa mauaji ya kimbari yanayoendelea kutekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza kwa mara nyingine tena limefichua "uongo" wao kuhusu kujali haki za binadamu.
Habari ID: 3478015 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/10
Jinai za Israel
NEW YORK (IQNA)- Marekani, ambayo ni mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, imetumia kura yake ya turufu kupinga azimio lililopendekezwa na UAE la kuanzisha usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478009 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/09
Watetezi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)-Imamu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran ameashiria mpango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutatua kadhia ya Palestina kwa njia ya kura ya maoni kwa msingi wa "kila Mpalestina ana kura moja", na kusema: Maneno yetu ni ya kimantiki na ya kidemokrasia.
Habari ID: 3478008 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08
Jinai za Israel
GAZA (IQNA)-Harakati ya Kiisalmu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imelaani vikali vikosi vya utawala haramu kwa kuwakamata na kuwanyang'anya mali raia waliokimbia makazi yao katika shule moja katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478007 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08
Jinai za Israel
GAZA (IQNA) - Msikiti wa kihistoria wa Othman bin Qashqar, ulioko katika Jiji la Kale la Gaza ulilipuliwa kwa mabomu yaliyodondoshwa na ndege za kivita za utawala haramu Israel siku ya Alhamisi, na kusababisha Wapalestina kadhaa kuuawa shahidi na uharibifu wa nyumba zilizo karibu, shirika rasmi la habari la Palestina WAFA liliripoti.
Habari ID: 3478005 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08
Diplomasia
MOSCOW (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kusitishwa mara moja jinai za Israel za "mauaji ya kimbari" dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478004 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08
Watetezi wa Palestina
DOHA – IQNA: Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito wa kufanyika maandamano na mikutano kote duniani Ijumaa hii kuunga mkono Wapalestina wanakandamizwa Gaza na Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) sambamba na kulaani utawala wa dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3478000 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07
Watetezi wa Palestina
KARBALA (IQNA) - Sheikh Abdul Mahdi al-Karbalayi, mwakilishi wa Ayatullah Sayyed Ali al-Sistani jijini Karbala, Iraq amesisitiza uungaji mkono kwa watu wa Palestina katika kukabiliana na uchokozi wa kikatili wa utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3477995 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/06
Jinai za Israel
BEIT LAHM (IQNA)- Kanisa moja la Palestina limeamua kuweka kunyesha magofu ya nyumba zilizobomolewa badala ya Mti wa Krismasi kama ilivyo ad ana kusema kuwa hakuna cha kusherehekea wakati huu utawala haramu wa Israel unapendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3477989 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Huku vita vya maangamizi ya kimbari vya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Gaza vikiendelea, maafisa wa Palestina wanasema ndege za kivita za utawala huo zimelenga maeneo ya karibu na mji wa Khan Yunis kwa kutumia mabomu ya fosforasi ambayo yanakatzwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
Habari ID: 3477988 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05
Jinai za Israel
CAIRO (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar cha Misri amesema kuwa wakati umefika sasa wa kusitishwa jinai za utawala gaidi wa Israel na mauaji ya watu katika ardhi ya Palestina.
Habari ID: 3477985 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04
Jinai za Israel
WASHINGTON, DC (IQNA) - Viongozi wa Kiislamu kutoka majimbo kadhaa ya yanayoamua matokeo ya uchaguzi Marekani, yaani Swing States, wametan gaza kuondoa uungaji mkono wao kwa Rais Joe Biden, kwa sababu ya kushindwa kwake kutoa wito wa kusitishwa kwa mapigano huko Gaza.
Habari ID: 3477981 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa kabisa na utawala wa Israel katika vita vyake dhidi ya Gaza iliongezeka hadi 88 siku ya Ijumaa, huku usitishaji vita mfupi ukimalizika na utawala wa Kizayuni kuanza tena uchokozi wake mbaya.
Habari ID: 3477975 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02
Jinai za Israel
OTTAWA (IQNA) - Zaidi ya waandamanaji 100 Waislamu walikusanyika karibu na ubalozi wa Israel katika mji mkuu wa Marekani siku ya Ijumaa na kusali sala ya Ijumaa hapo sambamba na kulaani mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477973 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02
Jinai za Israel
UKINGO WA MAGHARIBI (IQNA)- Watoto wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Jenin, kaskazini ya eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3477969 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30
Watetezi wa Palestina
CAIRO (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimesema wakati umefika kwa watu wote wanaopenda uhuru duniani kuungana kwa ajili ya kuundwa taifa huru la Palestina ili kukomesha ubeberu na ukaliaji mrefu zaidi wa ardhi ya wengine katika historia.
Habari ID: 3477968 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30