iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapaswa kulipa fidia ya jinai zake huko Ghaza kwa kuondoa mzingiro dhidi ya Wapalestina katika ukanda huo wa pwani.
Habari ID: 1439233    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/14

Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Waislamu katika Ukanda wa Ghaza hatimaye watapata ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kwamba Iran daima itasimama pamoja mataifa yote yanayodhulimiwa wakiwemo Wapalestina, Wairaqi na Wasyria.
Habari ID: 1436787    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/06

Jeshi la utawala haramu wa Israel limeendeleza mauaji ya umati katika eneo la Ukanda wa Ghaza hii leo kwa siku ya 28 mtawalia na kuifanya idadi ya mashahidi wa hujuma hiyo kukaribia 2,000.
Habari ID: 1435964    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/04

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuendelea kimya na kutojali Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC ndio chanzo kikuu ambacho kimeufanya utawala wa Kizayuni wa Israel uendelee kupata kiburi cha kuendeleza jinai zake dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1435944    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/04

Utawala wa Kizayuni wa Israel haujatosheka kwa kuwaua kwa umati wanawake na watoto wa Ghaza bali pia umeharibu kwa mabomu idadi kubwa ya misikiti na mahospitali katika ardhi hiyo ya Wapalestina.
Habari ID: 1435255    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/03

Wakati ulimwengu mzima ukionesha kusikitishwa na mauaji ya kinyama yanayofanywa na jeshi la Israel dhidi ya Wapalestina, maulama wa Saudia wameendelea kutoa fatuwa za kuwakandamiza Wapalestina.
Habari ID: 1435174    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/03

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwamba, ulimwengu wa Kiislamu unapasa kuipatia kipaumbele kikubwa kadhia ya Ghaza.
Habari ID: 1434649    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/29

Hatimaye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Julai 20 lilivunja kimya chake na kudai kuwa linasikitishwa na idadi kubwa ya raia wanaouliwa na kujeruhiwa huko Ukanda wa Ghaza na kutaka kusimamishwa mara moja kile ilichokitaja kuwa ni uhasama.
Habari ID: 1432292    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/22

Utawala haramu wa Israel umezidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi kwa kuanzisha hujuma ya kijeshi ya nchi kavu katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 1430956    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/19

Utawala haramu wa Israel unaendeleza jinai zake za kinyama katika Ukanda wa Ghaza ambapo mbali na kuwaua shahidi Wapalestina wakiwemo wanawake na watoto pia utawala huo umebomoa misikiti, nyumba, na mahospitali katika eneo hilo la Palestina.
Habari ID: 1429748    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/14

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imesema itaunga mkono ombi la Palestina kwa Umoja wa Mataifa kujiunga na na mikataba 15 ya kimataifa.
Habari ID: 1390963    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/06

Kundi la kutetea haki za binadamu la Palestina limetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umepiga marufuku adhana katika jela zake wanakoshikiliwa maelfu ya Waislamu wa Kipalestina.
Habari ID: 1377228    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/19

Sayyid Hassan Nasrullah
Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah, amekosoa kughafilika kwa nchi za Kiislamu juu ya hatari ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ambao ni tishio kwa Lebanon, palestina na ulimwengu mzima.
Habari ID: 1376427    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/17