iqna

IQNA

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN - (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali katika Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) inaonyesha kuwepo uchochezi unaotekelezwa na Marekani, baadhi ya nchi za eneo na vyombo vya habari ili kuuwezesha utawala wa Kizayuni Kuanzisha vita
Habari ID: 3471939    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/03

TEHRAN (IQNA)- Jumamosi tarehe 30 Machi 2019, imesadifiana na kuwadia mwaka wa 43 wa Siku ya Ardhi huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala vamizi wa Israel.
Habari ID: 3471895    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/31

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala haramu wa Israel limeua zaidi ya Wapalestina 254 na kuwajeruhi wengine wasiopungua 23,000 tokea yaanze 'Maandamano Makubwa ya Haki ya Kurejea' ambayo yalianza kufanyika kila Ijumaa kuanzia Machi 30 mwaka 2018.
Habari ID: 3471816    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/23

TEHRAN (IQNA)-Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameua watoto 54 Wapalestina mwaka huu wa 2018.
Habari ID: 3471779    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/20

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: Mapambano (muqawama) ya Palestina yamevuruga mahesabu ya adui na kubadilisha mlingano wa nguvu.
Habari ID: 3471742    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/15

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umelaaniwa vikali kwa kupitisha sheria mpya ya kibaguzi ambayo inatambua Mayahudi kama bora kuliko Waarabu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3471601    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/20

TEHRAN (IQNA) -Utawala dhalimu wa Israel umewaua kwa umati Wapalestina sambamba na hatua iliyo kinyume cha sheria za kufunguliwa ubalozi wa utawala wa Marekani katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471515    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/16

TEHRAN (IQNA)- Maandamano ya Siku ya Ardhi yalifanyika leo kwa siku ya nne mfululizo huko katika Ukanda wa Gaza na kushambuliwa tena na askari wa utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3471451    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/02

TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Syria limetungua ndege moja ya kivita ya utawala haramu wa Israeli aina ya F-16 ambayo ilikuwa imetekekeza hujuma ndani ya ardhi ya Syria mapema leo.
Habari ID: 3471386    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/10

TEHRAN (IQNA)-Maulamaa wapatao 300 wa Kiislamu wamekutana Istanbul Uturuki na kutangaza kuwa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni haramu.
Habari ID: 3471316    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe katika Mkutano wa Pili Muungano wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama unaofanyika huko Lebanon akiagiza kudumishwa mapambano ya aina mbalimbali dhidi ya utawala vamizi na wa Kizayuni wa Israel kwa wale wote wanaohisi kubeba dhima na wajibu huo mkubwa.
Habari ID: 3471242    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01

TEHRAN (IQNA)- Agosti 21 miaka 48 iliyopita, yaani mwaka 1969 Miladia, Msikiti wa al-Aqsa Kibla cha Kwanza cha Waislamu ulihujumiwa na kuteketezwa moto na Wazayuni kwa himaya ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3471136    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/22

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuwa, kushindwa na kufedheheka vitaukumba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita yoyote ile itakayotokea, zaidi ya kushindwa kulikoukuta katika vita vya siku 33 vya mwaka 2006.
Habari ID: 3471122    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/14

TEHRAN (IQNA)-Ulimwengu wa Kiislamu umelaani hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuufunga Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu baada ya oparesheni ya Wapalestina dhidi wanajeshi wa Kizayuni karibu na msikiti huo.
Habari ID: 3471067    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/15

TEHRAN (IQNA)-Wapalestina watatu wamepigwa risasi na kuuawa katika oparesheni dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds.
Habari ID: 3471066    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/14

Waziri Mkuu wa India safarini Tel Aviv
TEHRAN (IQNA)-Narendra Modi, Waziri Mkuu wa India anatembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel na kukutana na wakuu wa utawala huo wa Kizayuni lakini hatakutana na viongozi wa Palestina.
Habari ID: 3471051    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/05

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel sasa utatimiza ndoto yake ya muda mrefu ya kuuteka mji mtakatifu wa Makka kupitia msaada wa Muhammad bin Salman, mrithi mpya wa kiti cha ufalme nchini humo.
Habari ID: 3471048    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/03

TEHRAN (IQNA)- Kumefanyika kikao cha siri mjini Cairo kati ya nchi kadhaa za Kiarabu na Utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mustakabali wa eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471041    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/29

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Norway imetangaza kususia bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kulalamikia ukandamizaji unaofanya na utawala huo dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3470978    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/13

TEHRAN (IQNA)-Kamati ya Utendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Utamaduni na Sayansi UNESCO Jumanne ilipitisha azimio ambalo liliulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya kukiuka sheria za kimataifa katika mji wa Quds (Jerusalem) na Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3470966    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/03