Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni UNESCO limepitisha azimio na kusema Msikiti wa Al Aqsa ni milki ya Waislamu kwamba Mayahudi hawana haki katika msikiti huo.
Habari ID: 3470611 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/14
Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kiongozi pekee wa Kiarabu aliyehudhuria mazishi ya rais wa zamani wa utawala bandia wa Israel, maarufu kama katili wa Qana.
Habari ID: 3470587 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/30
Ujumbe maalumu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) unaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) ili kuchunguza jinai za kivita zilizofanywa na utawala haramu wa Israel katika vita vya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3470548 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/04
Harakati ya mapambano ya Kiislamu (muqawama) ya Lebanon Hizbullah imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia uchokozi wake katika mashamba ya Shab'a.
Habari ID: 3470531 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/19
Sayyid Hassan Nasrallah
Kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali safari ya maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Saudi Arabia katika utawala wa Kizayuni wa Israel wiki jana.
Habari ID: 3470484 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/31
Waziri mmoja katika utawala wa Kizayuni wa Israel ametaka viongozi wa ngazi za juu wa Hamas watekwe nyara.
Habari ID: 3470439 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/08
Sayyid Nasrullah:
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa lengo la kutangazwa Siku ya Kimataifa ya Quds ni kubakisha hai kumbukumbu ya Quds tukufu na kuwafanya Waislamu wasisahau eneo na msikiti huo mtakatifu.
Habari ID: 3470427 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/02
Ijumaa ya mwisho ya kila mwezi mtukufu wa Ramadhani katika kalenda ya matukio ya dunia, imepewa jina la Siku ya Kimataifa ya Quds.
Habari ID: 3470425 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/30
Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakatia huduma za maji Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan licha ya joto kali na hitajio kubwa la bidhaa hiyo muhimu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470391 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/16
Uchunguzi wa Maoni
Zaidi ya thuluthi moja ya Wamarekani na karibu nusu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kususiwa na kuwekewa vikwazo utawala wa kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3470351 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/01
Genge la Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wakipata himaya ya askari wa utawala haramu wa Israel wameuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3470347 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/30
Kiongozi wa Hizbullah
Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio tishio kuu kwa usalama na amani Mashariki ya Kati
Habari ID: 3470337 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/26
Mamia ya Wapalestina wameandamana katika Ukanda wa Ghaza kulaani mzingiro wa kibaguzi wa takriban mwongo mmoja uliowekwa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3470303 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/09
Idadi ya watoto wadogo wa Kipalestina wanaozuiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa kizayuni wa Israel imeongezeka kwa kiwango kikubwa tangu Oktoba mwaka uliopita wa 2015.
Habari ID: 3470267 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/24
Utawala wa Kizayuni wa Israel hadi sasa umetoa matibabu kwa magaidi wa kitakfiri zaidi ya 2,100 wanaopigana ndani ya Syria kuiangusha serikali halali ya nchi hiyo.
Habari ID: 3470224 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/01
Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC imetoa wito wa kususiwa bidhaa za zinazozalishwa na utawala haramu wa Israel aktika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3470186 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/08
Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema itatoa jibu kali kwa mauaji ya kamanda wake mwandamizi Samir Qantar, yaliyofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3468139 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/22
Donald Trump, mwanasiasa wa chama cha Republicans amesema baadhi ya waitifaki wa Marekani, ikiwemo Israel, wanaliunga mkono na kulipa misaada kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3463979 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/16
Wapalestina wengine wawili wameuawa shahidi katika hujuma za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
Habari ID: 3463972 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/16
Wapalestina hii wanashiriki katika maandamano makubwa yaliyopowa anuani 'Ijumaa ya Ghadhabu' ilikulaani jina za utawala haramu wa Israel na kuunga mkono mapambano na intifadha au mwamko dhidi ya utawala huo.
Habari ID: 3462045 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/11