Sayyid Hassan Nasrallah
Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah ameuonya vikali utawala wa Israel kuhusu hujuma dhidi ya Lebanon.
Habari ID: 3311179 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/06
Utawala haramu wa Israel unapanga kuipatia Saudi Arabia msaada mkubwa wa makombora ili kufanikisha vita vyake dhidi ya watu wa Yemen.
Habari ID: 3306968 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/24
Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeendelea hujuma zake za kikatili nchini Yemen na mara hii zimehujumu kwa mabomu msikiti wa kihistoria ujulikanao kama Masjid Imam Hadi AS katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3276823 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09
Wakimbizi Wapalestina walio katika nchi mbali mbali duniani wanakabiliwa na matatizo makubwa sana. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kuhusu hali mbaya sana ya wakimbizi Wapalestina.
Habari ID: 3023920 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/22
Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wameandaa hafla kadhaa kwa mnasaba wa wiki ya kupinga ubaguzi unaotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 2921399 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/03
Wanamgambo wa makundi ya kigaidi yanayofanya mauaji nchini Syria kwa madai ya kupambana na serikali ya Rais Bashar al Assad, wanapata himaya ya Marekani na Utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 2917860 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/02
Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati za kundi la kitakfiri na kigaidi la Daesh (ISIS) zinatekeleza kikamilifu malengo ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 2862976 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/17
Chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini kimetangaza kuendeleza sera ya kuunga mkono mapambano ya Wapalestina ambao wanapigania kuikomboa ardhi yao inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 2822420 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/08
Kongamano la Tano la Kimataifa la “Ghaza, Nembo ya Muqawama (mapambano)” lilifanyika hapa Tehran siku ya Jumapili kwa minajili ya kukumbuka na kuadhimisha siku ya ushindi mkubwa wa wanamapambano wa Palestina katika vita vya siku 22 vya Ghaza vilivyoanza mwishoni mwa mwaka 2008 na kuendelea hadi mwanzoni mwa mwaka 2009.
Habari ID: 2728172 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/19
Wanachama wasiopungua sita wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon wameuawa, baada ya helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia kwa makombora maeneo ya milima ya Golan ndani ya ardhi ya Syria.
Habari ID: 2728169 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/19
Waliul Amr wa Waislamu kote duniani
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, umoja ni somo kubwa kutoka kwa Mtume wa Mwisho SAW na kwamba hivi sasa ni hitajio la dharura la umma wa Kiislamu.
Habari ID: 2689577 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/09
Umoja wa Mataifa umeulaumu vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kubomoa nyumba za Wapalestina katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi na kusema kuwa, kitendo hicho ni ukiukaji wa haki za kimsingi kabisa za binadamu.
Habari ID: 2615266 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/05
Bunge la Uhispania na Rais wa Slevonia wameunga mkono suala la kutambuliwa rasmi dola la Palestina. Hatua hii inakuja katika wimbi la uungaji mkono wa dola la Palestina.
Habari ID: 1475315 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/19
Kamati ya Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya imetangaza vikwazo vipya dhidi ya utawala wa Israel kutokana na hatua za utawala huo za kuvuruga usalama wa Baitul Maqdis na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 1475311 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/19
Imebainika kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ulikuwa umepanga kumuua Kiongozi wa Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah katika Siku ya Ashura, Novemba 4.
Habari ID: 1473222 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/15
Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa, kumeundwa kamati ya uchunguzi kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika ukanda wa Gaza.
Habari ID: 1472788 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/13
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetaka washtakiwe wakuu wa kijeshi na kisiasa wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutenda jinai dhidi ya binadamu.
Habari ID: 1455018 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/28
Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Isalmi ya Palestina
Ramadhan Abdullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ulipata pigo la kistratijia hivi akribuni katika vita vyake vya siku 51 dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1448553 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/09
Maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza wameendelea kusherehekea kufikiwa makubaliano ya muda mrefu kuhusu usitishaji mapigano kati ya makundi ya muqawama na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 1443936 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/27
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa muqawama umejiandaa kikamilifu dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni na kwamba katika vita vijavyo na jeshi la utawala huo, hakutakuwa na mstari wowote mwekundu na adui huyo.
Habari ID: 1439340 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/15