IQNA

Maua ya msimu ya machipuo yavutia watalii jijini Tehran

Maua ya msimu ya machipuo yavutia watalii jijini Tehran

IQNA - Hifadhi ya Bustani ya Iran yenye makao yake Tehran hukaribisha maelfu ya wageni mwezi Aprili na Mei kila mwaka huku maua ya Tulip yakibua mandhari ya aina yake katika bustani hiyo.
14:51 , 2024 Apr 27
Mikakati ya Qur'ani Tukufu kuhusu Nidhamu ya Kihisia

Mikakati ya Qur'ani Tukufu kuhusu Nidhamu ya Kihisia

IQNA - Ili kutusaidia kupanga hisia zetu na kuboresha nidhamu yetu ya kihisia, Qur'an Tukufu inawasilisha mikakati au stratijia zinazoweza kutumika.
14:40 , 2024 Apr 27
Msahafu wa zama za Uthmaniyya wauzwa kwa dola 144,000 katika mnada London

Msahafu wa zama za Uthmaniyya wauzwa kwa dola 144,000 katika mnada London

IQNA – Msahafu wa kipekee wa zama za Uthmaniyya umeuzwa katika katika mnada wa turathi za Kiislamu jijini London, Uingereza.
11:19 , 2024 Apr 27
Kijana wa Nigeria azawadiwa tiketi ya Hija kwa ustadi wake wa kuhifadhi Qur'ani

Kijana wa Nigeria azawadiwa tiketi ya Hija kwa ustadi wake wa kuhifadhi Qur'ani

IQNA - Bodi ya Ustawi wa Mahujaji wa Jimbo la Kano nchini Nigeria imemtunuku zawadi ya tiketi ya Hija kina Ja’afar Yusuf mwenye umri wa miaka 16 kwa sababu ya ujuzi na ustadi wake wa kuhifadhi Qur'ani.
11:09 , 2024 Apr 27
UN: Gaza inahitaji miaka 14 kutegua mabomu yaliyondondoshwa na Israel

UN: Gaza inahitaji miaka 14 kutegua mabomu yaliyondondoshwa na Israel

IQNA-Kwa muda wa karibu miezi saba sasa, utawala katili wa Israel umekuwa ukidondosha mabomu kila siku katika Ukanda wa Gaza na sasa Umoja wa Mataifa unasema zoezi la kutegua mabomu ambayo hayajalipuko eneo hilo linaweza kuchukua muda miaka 14.
11:02 , 2024 Apr 27
Kocha wa Kandanda wa Ureno José Morais asilimu nchini Iran

Kocha wa Kandanda wa Ureno José Morais asilimu nchini Iran

IQNA - José Manuel Ferreira de Morais, kocha wa Ureno wa timu ya Sepahan SC ya Iran, amethibitisha kwamba amesilimu.
10:56 , 2024 Apr 27
Maelfu ya wafungwa wa Iran wahifadhi Qur’ani wakiwa gerezani

Maelfu ya wafungwa wa Iran wahifadhi Qur’ani wakiwa gerezani

IQNA - Maelfu ya wafungwa katika jela za Jamhuri ya Kiislamu Iran wamefaulu kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu au juzuu kadhaa wakiwa wanatumikia vifungo vyao gerezani, mkuu wa Shirika la Magereza la Iran alisema.
22:51 , 2024 Apr 26
Afrika Kusini yasisitiza ulazima wa uchunguzi kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza

Afrika Kusini yasisitiza ulazima wa uchunguzi kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza

IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Afrika Kusini imetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wa kina kuhusu makaburi ya umati yaliyogunduliwa katika Ukanda wa Gaza.
20:59 , 2024 Apr 26
Rais Raisi: Iran inaweza kuzisaidia nchi za Afrika katika uga wa ustawi wa teknolojia

Rais Raisi: Iran inaweza kuzisaidia nchi za Afrika katika uga wa ustawi wa teknolojia

IQNA-Raisi Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuna irada baina ya Iran na Afrika kuimarisha na kustawisha uhusiano wa kibiashara na kuongeza kuwa nchi za Afrika zinaweza kunufaika na teknolojia inayomilikiwa na Iran.
20:30 , 2024 Apr 26
Msikiti wa Mtume SAW wakaribisha waumini milioni 5.9 kwa wiki

Msikiti wa Mtume SAW wakaribisha waumini milioni 5.9 kwa wiki

IQNA - Mamlaka za Saudia zimeripoti kuwa zaidi ya waumini milioni 5.9 walitembelea Msikiti wa Mtume (Al-Masjid An-Nabawī) wiki iliyopita.
11:30 , 2024 Apr 26
Msikize Sheikh Abdul Basit akisoma kwa unyenyekevu Aya za  Surah Adh-Dhariyat (+Video)

Msikize Sheikh Abdul Basit akisoma kwa unyenyekevu Aya za Surah Adh-Dhariyat (+Video)

IQNA - Marehemu qari wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad anajulikana katika ulimwengu wa Kiislamu kama mmoja wa wasomaji wakubwa wa Qur'ani Tukufu
17:33 , 2024 Apr 25
Mkuu wa Al-Azhar asisitiza tarjuma sahihi ya maandiko ya Kiislamu

Mkuu wa Al-Azhar asisitiza tarjuma sahihi ya maandiko ya Kiislamu

IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameisitiza haja ya kulipa kipaumbele maalum  suala la tarjuma au tafsiri sahihi ya maandishi ya Kiislamu
17:23 , 2024 Apr 25
Qari wa Morocco ashika nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Bahrain

Qari wa Morocco ashika nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Bahrain

IQNA - Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Bahrain yalihitimishwa Jumatano usiku.
17:09 , 2024 Apr 25
UNRWA yaomba misaada ya kibinadamu Palestina, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

UNRWA yaomba misaada ya kibinadamu Palestina, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

IQNA - Ili kushughulikia mahitaji ya dharura zaidi ya Wapalestina huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limewasilisha ombi la dharura la msaada wa  dola bilioni 1.21.
17:02 , 2024 Apr 25
Bango | Mizani Katika Ulimwengu

Bango | Mizani Katika Ulimwengu

وَالسَّمَاءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ الْمِيزَانَ Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani. Sura Ar Rahman Aya ya 6
14:56 , 2024 Apr 25
1