IQNA

Wageni kutoka mataifa mbalimbali kufika Iran kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi Shahidi

Wageni kutoka mataifa mbalimbali kufika Iran kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi Shahidi

IQNA – Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, ametangaza kuwa ujio wa maafisa na wajumbe wa kigeni wanaotarajiwa kushiriki katika hafla ya k mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, utaanza rasmi siku ya Ijumaa.
16:37 , 2026 Jun 30
Kyrgyzstan: Nuru ya Qur’an sasa imewafikia waja wa Allah wenye ulemavu wa macho

Kyrgyzstan: Nuru ya Qur’an sasa imewafikia waja wa Allah wenye ulemavu wa macho

IQNA – Kwa ndugu zetu Waislamu wenye ulemavu wa macho katika maeneo ya kusini mwa Kyrgyzstan, kizuizi sasa kimeondoka; Kitabu Kitukufu cha Allah kiko mikononi mwao, tayari kwa kusomwa na kutafakariwa.
16:28 , 2026 Jun 30
Kongamano la Kimataifa la ‘Akili Mnemba, Maadili na Demokrasia’ laandaliwa Vienna, Austria

Kongamano la Kimataifa la ‘Akili Mnemba, Maadili na Demokrasia’ laandaliwa Vienna, Austria

IQNA – Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Austria kimeandaa kongamano la kimataifa litakalochunguza kwa kina uhusiano tata kati ya maendeleo ya teknolojia, maadili ya kibinadamu, na mifumo ya kidemokrasia. Kongamano hili, lenye kichwa cha habari “Akili Mnemba, Maadili, na Demokrasia”, linatarajiwa kuwa jukwaa muhimu la kubadilishana maarifa.
16:15 , 2026 Jun 30
Msahafu adimu wa Kazan waonyeshwa katika Jumba la Makumbusho la Makkah

Msahafu adimu wa Kazan waonyeshwa katika Jumba la Makumbusho la Makkah

IQNA – Wageni wanaotembelea Wilaya ya Utamaduni ya Hira huko Makkah wanapata fursa ya kushuhudia kito cha kielimu: Msahafu uliochapishwa mwaka 1906, uliopambwa kwa tafsiri na maelezo ya pembeni yenye ustadi wa hali ya juu.
15:50 , 2026 Jun 30
Iraq yajitayarisha kwa Misafara ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi mijini Najaf na Karbala

Iraq yajitayarisha kwa Misafara ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi mijini Najaf na Karbala

IQNA – Kufuatia kuanza kwa uratibu mpana kati ya taasisi za Iraq na Iran, Iraq inajitayarisha kuandaa misafara ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Seyed Ali Khamenei katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala.
18:02 , 2026 Jun 29
Vituo 3,000 vya Majira ya Kiangazi vya Kuhifadhi Qur’ani vyaanzishwa Jordan

Vituo 3,000 vya Majira ya Kiangazi vya Kuhifadhi Qur’ani vyaanzishwa Jordan

IQNA – Wanafunzi wa shule nchini Jordan wanapata fursa ya kutumia vyema likizo zao za majira ya kiangazi kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu na kujifunza maadili ya Kiislamu.
17:55 , 2026 Jun 29
Italia yazindua hati ya kitaifa ya mazungumzo ya kati ya dini mbali mbali

Italia yazindua hati ya kitaifa ya mazungumzo ya kati ya dini mbali mbali

IQNA – Wawakilishi wa dini na madhehebu mbalimbali nchini Italia wameandaa hati ya kwanza ya kitaifa kwa ajili ya kuimarisha mazungumzo ya kati ya dini.
17:47 , 2026 Jun 29
Usomaji wa Aya za Sura Al-Furqān na Qari wa Iran, Hamed Alizadeh

Usomaji wa Aya za Sura Al-Furqān na Qari wa Iran, Hamed Alizadeh

IQNA – Qari wa Iran, Hamed Alizadeh, hivi karibuni alisoma Aya za 71 hadi 77 za Sura Al-Furqān pamoja na Sura An-Nasr katika hafla ya Qur’ani iliyofanyika katika haram takatifu ya Imamu Ridha (AS) mjini Mashhad.
17:31 , 2026 Jun 29
Jeshi la Iran la IRGC lashambulia vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

Jeshi la Iran la IRGC lashambulia vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya vituo nane vya kijeshi vya Marekani katika kanda hii, likiitaja hatua hiyo kuwa “jibu madhubuti” dhidi ya uchokozi mpya wa Marekani kwenye ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
10:48 , 2026 Jun 28
Usajili wa Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran

Usajili wa Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran

IQNA – Muda wa usajili kwa wanaharakati na watumishi wa Qur’ani wanaotaka kushiriki katika Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran wa mwaka 2026 umeongezwa hadi Jumanne, tarehe 30 Juni.
10:44 , 2026 Jun 28
Rais wa Zamani wa Nigeria apongeza Tafsiri ya Qur’ani kwa lugha ya Nupe

Rais wa Zamani wa Nigeria apongeza Tafsiri ya Qur’ani kwa lugha ya Nupe

IQNA – Rais wa zamani wa Nigeria, Ibrahim Badamasi Babangida, amepongeza kazi ya tarjuma na tafsiri ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Nupe, akiieleza kuwa ni mafanikio makubwa ya kihistoria.
10:35 , 2026 Jun 28
Hafla ya Kumuaga Kiongozi Shahidi yapangwa kufanyika Tehran

Hafla ya Kumuaga Kiongozi Shahidi yapangwa kufanyika Tehran

IQNA – Msafara wa mazishi ya Kiongoz Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei utafanyika mjini Tehran siku ya Jumamosi na Jumapili.
10:28 , 2026 Jun 28
Nida ya “Ya Hussein” Yatanda katika Msafara wa Tuwairij Mjini Karbala

Nida ya “Ya Hussein” Yatanda katika Msafara wa Tuwairij Mjini Karbala

IQNA – Mamilioni ya waombolezaji mjini Karbala wameshiriki adhuhuri ya Ijumaa ya Ashura katika msafara mkubwa na wa kihistoria wa Rakdhat Tuwairij.
15:45 , 2026 Jun 27
Mtafiti wa Kishia akamatwa Bahrain baada ya kuandika kuhusu Ashura

Mtafiti wa Kishia akamatwa Bahrain baada ya kuandika kuhusu Ashura

IQNA – Ukiendelea na mnyororo wake wa kimfumo wa kuzuia uhuru wa maoni na kukandamiza wataalamu na watendaji wa kiraia, ufalme wa kiimla wa Bahrain umemkamata mtafifi mwelekeo wa Shia.
15:21 , 2026 Jun 27
Hafla ya Kisomo cha Qur’ani Tukufu ya Ashura yafanyika Karbala

Hafla ya Kisomo cha Qur’ani Tukufu ya Ashura yafanyika Karbala

IQNA – Hafla ya kisomo cha Qur’ani Tukufu imefanyika siku ya Ashura katika mji mtukufu wa Karbala.
15:15 , 2026 Jun 27
1 2 3 4 5