IQNA

Kaaba Tukufu yasafishwa katika tukio la kila mwaka

Kaaba Tukufu yasafishwa katika tukio la kila mwaka

IQNA – Msikiti Mtukufu wa Makka uliangaziwa na tukio la kipekee Alhamisi, ambapo shughuli ya kila mwaka ya kuosha Kaaba (Ghusl ya Kaaba) ilitekelezwa kwa heshima na taadhima kubwa.
11:00 , 2025 Jul 11
Ustadh Abolqasemi asoma Aya za Surah Al-Imran katika Khitma ya Mashujaa wa Iran

Ustadh Abolqasemi asoma Aya za Surah Al-Imran katika Khitma ya Mashujaa wa Iran

IQNA – Qari maarufu wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqsemi, alisoma kwa umahiri aya za Qur'ani Tukufu za 138 hadi 150 za Surah Al-Imran katika hafla maalum iliyofanyika Tehran mnamo Julai 10, 2025, kwa ajili ya Khitma ya mashahidi waliouawa katika uvamizi wa hivi karibuni wa siku 12 wa pamoja wa Marekani na Israel dhidi ya Iran.
10:50 , 2025 Jul 11
Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah: Dira ya Mkakati wa Mtume Muhammad (SAW) katika kukuza Uislamu

Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah: Dira ya Mkakati wa Mtume Muhammad (SAW) katika kukuza Uislamu

IQNA – Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah uliosainiwa mwaka wa 6 AH (628 Miladia), uligeuka kuwa hatua ya kihistoria iliyoimarisha Uislamu kwa kubadilisha mvutano mkubwa kuwa mafanikio ya kidiplomasia yenye athari za muda mrefu, kwa mujibu wa msomi mmoja kutoka Iran.
10:42 , 2025 Jul 11
Wahudumu wa afya Waislamu Australia wakumbwa na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

Wahudumu wa afya Waislamu Australia wakumbwa na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Utafiti mpya umeonesha ongezeko la chuki na chuki dhidi Uislamu (Islamofobia) dhidi ya wahudumu wa afya Waislamu nchini Australia, hali inayowaathiri kisaikolojia kwa kiwango kikubwa.
10:24 , 2025 Jul 11
Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

IQNA – Operesheni ya kusafirisha wafanyaziara kwa ajili ya ibada ya Arbaeen mwaka huu itaanza rasmi tarehe 25 Julai, kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Uchukuzi wa Iran, Mehran Ghorbani.
10:17 , 2025 Jul 11
Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

IQNA-Jeshi la Yemen limeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina 'Israel', ili kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
10:15 , 2025 Jul 10
Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi

Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi

IQNA – Mkataba wa Abrahamu wa Trump (ujulikanao pia kama "UAbrahamu wa Trump"), ambao unalenga kudhoofisha dini na haki za kitaifa za Wapalestina, hauwezi kufikia malengo yake, kwa mujibu wa mchambuzi wa kisiasa kutoka Lebanon.
20:15 , 2025 Jul 09
Usomaji wa Pamoja wa Surah Al-Balad na Maqari Wavulana

Usomaji wa Pamoja wa Surah Al-Balad na Maqari Wavulana

IQNA – Video mpya imezinduliwa ikionyesha usomaji wa pamoja wa Surah Al-Balad kutoka kwa vijana wa kikundi cha Tasnim Tawasheeh
18:01 , 2025 Jul 09
Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

IQNA – Warsha yenye kichwa “Sanaa ya Uandikaji Nakala za Qur’an” ilifanyika siku ya Jumanne, Julai 9, pembeni mwa Maonyesho ya 20 ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria nchini Misri.
17:58 , 2025 Jul 09
Huduma zapanuliwa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah

Huduma zapanuliwa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimeripoti utoaji wa huduma mbalimbali kwa mahujaji na wageni waliotembelea Msikiti Mtukufu wa Makkah katika mwaka wa 1446 na mwanzoni mwa mwaka 1447 Hijria, kama sehemu ya juhudi zinazoendelea kusaidia wasafiri wa kidini na kusimamia shughuli za ibada.
17:53 , 2025 Jul 09
Surat al-Fajr yadhihirisha Falsafa ya Ashura, asema profesa wa masomo ya Kiislamu

Surat al-Fajr yadhihirisha Falsafa ya Ashura, asema profesa wa masomo ya Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran ameelezea kuwa Surat al-Fajr katika Qur'an Tukufu ni sura iliyo na uhusiano wa karibu sana na urithi wa Imam Hussein (AS), akiitaja kuwa ni tafakuri ya kina kuhusu falsafa ya mapinduzi ya Karbala.
17:43 , 2025 Jul 09
Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imepanga kuandaa mikusanyiko 114 ya usomaji wa Qur'ani katika maeneo mbalimbali ya nchi, kwa ajili ya kuwaenzi mashahidi wa mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
21:01 , 2025 Jul 08
Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri, Dkt. Nazeer Mohammed Ayyad, ametoa taarifa ya kulaani kali dhidi ya tukio la kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na makundi ya walowezi wa Kizayuni, akieleza kuwa eneo hilo takatifu ni “urithi wa Kiislamu usiogawika wala kujadiliwa kwa namna yoyote.”
20:47 , 2025 Jul 08
Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

IQNA-Profesa mmoja kutoka Iran amesema kuwa Imam Ali bin Hussein Sajjad (Aleyhi Salaam), Imamu wa nne katika mlolongo wa Maimamu wa Ahlul Bayt (AS), alikuwa na jukumu muhimu sana katika kuhifadhi ujumbe wa Karbala na kupambana na propaganda za Bani Umayyah kupitia dua, khutuba, na mafundisho ya maadili.
17:49 , 2025 Jul 08
Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Misri amesema kuwa lengo la mapinduzi ya Imam Hussein (Aleyhi Salaam) lilikuwa kufufua roho na kiini halisi cha dini, wakati ambapo maadili na thamani sahihi za Kiislamu zilikuwa zimepotea, na kilichobakia ni maumbo ya nje tu ya ibada na mila za dini.
17:40 , 2025 Jul 08
1