IQNA – Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Austria kimeandaa kongamano la kimataifa litakalochunguza kwa kina uhusiano tata kati ya maendeleo ya teknolojia, maadili ya kibinadamu, na mifumo ya kidemokrasia. Kongamano hili, lenye kichwa cha habari “Akili Mnemba, Maadili, na Demokrasia”, linatarajiwa kuwa jukwaa muhimu la kubadilishana maarifa.
16:15 , 2026 Jun 30