IQNA

Msikiti wa Al-Aqsa wanyunyiziwa dawa ya kuua virusi vya Corona

17:12 - March 10, 2020
Habari ID: 3472552
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Wakfu ya Mji wa Quds (Jerusalem) imeanza oparesheni ya kunyunyizia dawa ya kuua virusi vya Corona katika Msikiti wa Al-Aqsa.

Kwa mujibu wa taarifa, Idara ya Wakfu ya Mji wa Quds imetangaza kuwa: "Baada ya kila sala Msikiti wa Al-Aqsa unanyunyiziwa dawa ya kuua virusi vya Corona ili kuzuia ugonjwa huo kuenea miongoni mwa waumini wanaofika hapa kuswali."

Taarifa hiyo imeoneza kuwa, kufuatia ushauri wa Wizara ya Afya ya Palestina, oparesheni ya kunyunyizia dawa ya kuua virusi katika Msikiti wa Al Aqsa ilianza Alhamisi. Aidha anasame dawa inayotumiwa imeidhinishwa na Wizara ya Afya ya Palestina na Shirika la Afya Duniani na hivyo haina madhara kwa mwanadamu.

3884095

 

ضدعفونی شبستان‌های داخلی مسجد الاقصی + تصاویر 
 
ضدعفونی شبستان‌های داخلی مسجد الاقصی + تصاویر 
 
ضدعفونی شبستان‌های داخلی مسجد الاقصی + تصاویر 
 
ضدعفونی شبستان‌های داخلی مسجد الاقصی + تصاویر 
 
ضدعفونی شبستان‌های داخلی مسجد الاقصی + تصاویر 

 

captcha