iqna

IQNA

sharjah
Harakati za Qur'ani Tukufu
SHARJAH (IQNA) – Duru ya pili ya Kongamano la Kimataifa la Qur’ani lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Al Qasimia lilimalizika mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3477644    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Wakfu wa Qur’ani Tukufu na Sunnah huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu, uliandaa hafla ya kuwaenzi wenye kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476510    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04

Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho ya Ustaarabu wa Kiislamu ya Sharjah nchini UAE yameongezwa muda hadi majira ya kiangazi.
Habari ID: 3476503    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qur’ani Tukufu katika lugha 76 ni miongoni mwa vitabu vilivyowasilishwa kwenye Maonyesho ya 41 ya Kimataifa ya Vitabu ya Sharjah.
Habari ID: 3476042    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Misahafu ya kale yanafanyika katika mjini Sharjah Umnoja wa FALME ZA Kiarabu (UAE) katika Chuo kikuu cha Sharjah, Tawi la Kalba.
Habari ID: 3474708    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22

TEHRAN (IQNA)- Ahmed Garg Rupari, Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ubunifu ya Manispaa ya Al Rahmaniya katika mji wa Sharjah huko Umoja wa Falme za Kiarabu ametangaza kuzinduliwa mashindano ya Qur’ani yaliyopewa jina la ‘Soma Qur’ani.”
Habari ID: 3474381    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Sultan Bin Mohammed Al Qasimi, Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Mtawala wa Sharjah, amekabidhi nakala nne nadra za nakala za Qur'ani Tukufu kwa Akademia ya Qur'ani Tukufu mjini Sharjah.
Habari ID: 3474220    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/23

TEHRAN (IQNA)- Radio ya Qur'ani mjini Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473876    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04

TEHRAN (IQNA)- Maktaba ya umma wa Kalba katika eneo la Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu imeandaa maonyesho ya Misahafu ya kale.
Habari ID: 3473845    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24

TEHRAN (IQNA) – Akademia ya Qur’ani Tukufu, ambayo imetajwa kuwa miogoni mwa kubwa zaidi duniani, imefunguliwa huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3473498    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/27

TEHRAN (IQNA) – Qarii kutoka Tanzania ameibuka mshindi katika mashindano ya kusoma Qur’ani (qiraa) ya Chuo Kikuu cha Al Qasimia cha Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473023    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01

TEHRAN (IQNA) – Kitivo cha Qur'ani Tukufu kimefunguliwa katika Chuo Kikuu cha Al Qasimia huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3472277    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/14

TEHRAN (IQNA)-Fainali ya Mashindano ya 22 ya Qur'ani ya Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yameanza mjini humo Ijumaa.
Habari ID: 3471819    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/26