IQNA – Toleo la 28 la Tuzo ya Qur’ani Tukufu na Sunna ya Sharjah limeingia hatua ya mwisho mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3481587 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/29
IQNA – Sharjah imezindua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu, tukio la siku 70 linaloangazia urithi wa sanaa za Kiislamu kutoka duniani kote.
Habari ID: 3481540 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19
IQNA – Je, ni vipi maandishi ya kidini kama Qur’ani Tukufu yanaweza kuthibitishwa kuwa sahihi na kusomwa kwa kutumia akili mnemba (AI) ya kisasa?
Habari ID: 3481525 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/16
IQNA – Taasisi ya Sharjah ya Qur'ani Tukufu na Sunnah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imewatunuku wahifadhi 95 wa Qur'an Tukufu, ikiendeleza dhamira yake ya kulea kizazi chenye misingi imara ya Kiislamu.
Habari ID: 3481327 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/04
IQNA – Maandalizi ya toleo la 28 la Tuzo ya Qur’ani na Sunna ya Sharjah (1447H / 2025) yameanza rasmi katika mji wa Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3481247 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/17
IQNA- Warsha ya kielimu yenye kuhusu “Mbinu za Kufundisha Qur'ani kwa Watoto: Mitazamo ya Kihistoria na ya Kisasa” imefanyka huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3480635 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04
Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro
Habari ID: 3480549 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16
IQNA – Chini ya "Mpango wa Wasomaji Mahiri," wasomaji 170 wa kipekee wa Qur'ani Tukufu watateuliwa kwa misikiti huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu, kuongoza waumini wakati wa sala za Ramadhani.
Habari ID: 3480279 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
Turathi
IQNA - Maonyesho yenye jina la 'Herufi za Milele: Nakala za Qur'ani kutoka kwa Mkusanyiko wa Abdul Rahman Al Qwais' yalizinduliwa katika Jumba la Makumbusho la Ustaarabu wa Kiislamu la Sharjah siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479790 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22
IQNA - Misikiti mia moja imepangwa kujengwa kuchukua nafasi ya misikiti mikongwe katika mji wa Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3479422 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12
IQNA - Chuo cha Qur'ani cha Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu kimetangaza hitimisho la programu yake ya Qur'ani ya majira ya joto.
Habari ID: 3479283 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/16
Harakati za Qur'ani Tukufu
SHARJAH (IQNA) – Duru ya pili ya Kongamano la Kimataifa la Qur’ani lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Al Qasimia lilimalizika mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3477644 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Wakfu wa Qur’ani Tukufu na Sunnah huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu, uliandaa hafla ya kuwaenzi wenye kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476510 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04
Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho ya Ustaarabu wa Kiislamu ya Sharjah nchini UAE yameongezwa muda hadi majira ya kiangazi.
Habari ID: 3476503 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02
Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qur’ani Tukufu katika lugha 76 ni miongoni mwa vitabu vilivyowasilishwa kwenye Maonyesho ya 41 ya Kimataifa ya Vitabu ya Sharjah.
Habari ID: 3476042 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Misahafu ya kale yanafanyika katika mjini Sharjah Umnoja wa FALME ZA Kiarabu (UAE) katika Chuo kikuu cha Sharjah, Tawi la Kalba.
Habari ID: 3474708 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22
TEHRAN (IQNA)- Ahmed Garg Rupari, Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ubunifu ya Manispaa ya Al Rahmaniya katika mji wa Sharjah huko Umoja wa Falme za Kiarabu ametangaza kuzinduliwa mashindano ya Qur’ani yaliyopewa jina la ‘Soma Qur’ani.”
Habari ID: 3474381 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Sultan Bin Mohammed Al Qasimi, Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Mtawala wa Sharjah, amekabidhi nakala nne nadra za nakala za Qur'ani Tukufu kwa Akademia ya Qur'ani Tukufu mjini Sharjah.
Habari ID: 3474220 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/23
TEHRAN (IQNA)- Radio ya Qur'ani mjini Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473876 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04
TEHRAN (IQNA)- Maktaba ya umma wa Kalba katika eneo la Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu imeandaa maonyesho ya Misahafu ya kale.
Habari ID: 3473845 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24