IQNA: Mashindano ya 28 ya Qur'ani na Hadithi kwa ajili ya vijana wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi yameanza Februari 26 mjini Muscat, Oman.
Habari ID: 3470869 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27
IQNA-Mwanae bingwa wa masumbwi duniani marehemu Muhammad Ali, ametiwa mbaroni katika uwanja wa ndege wa jimbo la Florida nchini Marekani kwa sababu tu an jina la Kiislamu.
Habari ID: 3470868 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kuwafuata sawasawa Maimamu maasumu AS ni kuwafuata kivitendo watukufu hao na kudumisha mapambano dhidi ya ukafiri na unafiki.
Habari ID: 3470867 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/24
IQNA: Umoja wa Mataifa umeonya kuwa baa la njaa limeenea katika nchi kadhaa za Afrika na Yemen ambapo mamilioni ya watu wakiwa katika hatari ya kupoteza maisha.
Habari ID: 3470866 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/23
Rais Hassan Rouhani wa Iran
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina ndiyo kadhia muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel ni utawala pandikizi, mzaliwa wa Magharibi unaovunja haki za binadamu.
Habari ID: 3470865 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/22
Taarifa ya mwisho ya mkutano wa Tehran kuhusu Palestina
IQNA-Taarifa ya mwisho ya Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina uliomalizika leo hapa mjini Tehran limesisitizia udharura wa kulindwa kadhia ya Palestina ambayo ni kipaumbele cha kwanza cha nchi ulimwengu wa Kiislamu na za Kiarabu na ndilo zingatio kuu la fikra za walio wengi duniani.
Habari ID: 3470864 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/22
IQNA-Iran imechagua wanawake watakaoiwakilisha nchi hii katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatakayofanyika maeneo mbali mbali duniani mwaka huu.
Habari ID: 3470863 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/22
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kisa kilichojaa machungu na kuzijeruhi nyoyo za watu kutokana na dhulma wanayofanyiwa raia wa Palestina wenye uvumilivu, subira na mapambano, kinamgusa kila mwanadamu mpigania uhuru, haki na uadilifu kote duniani.
Habari ID: 3470862 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/21
IQNA: Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kuunga mkono Palestina wakati nchi zingine zimeegemea upande wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3470861 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/21
IQNA-Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.
Habari ID: 3470860 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/20
IQNA-Maonyesho ya kwanza ya mavazi ya Hijabu yamefanyika mjini London na kuwavutia mamia ya wanawake waliokuwa wakitafuta mitindo bora yenye kuzingatia misingi ya Kiislamu.
Habari ID: 3470858 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/19
IQNA: Qur'ani Tukufu ndicho kitabu kilichouzwa kwa wingi katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu, Casablanca, Morocco.
Habari ID: 3470857 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/19
IQNA: Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina utafanyika tarehe 21 na 22 Februari katika mji mkuu wa Iran, Tehran.
Habari ID: 3470856 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/19
IQNA: Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika mjini Tehran Ijumaa.
Habari ID: 3470855 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/18
Sayyid Hassan Nasrallah
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo hauuogopi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wala shetani mkuu Marekani.
Habari ID: 3470854 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/17
IQNA-Idadi ya makundi yanayowapinga Waislamu yammeongezeka karibu mara tatu Marekani mwaka 2016 baada ya kuanza kampeni za urais za Donald Trump.
Habari ID: 3470853 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/17
Katika Mkutano wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu Morocco
IQNA:Mkutano wa saba mkuu wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Ulimwengu wa Kiislamu katika kulinda utambulisho wa Kiislamu wa "Quds Tukufu" umefanyika nchini Morocco.
Habari ID: 3470852 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/16
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Marekani inatumia hila ya kurudia rudia vitisho vya kuishambulia kijeshi Iran ili kuwatoa viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu katika uwanja wa vita vya kweli ambavyo ni vita vya kiuchumi.
Habari ID: 3470851 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/16
IQNA: Waislamu nchini Marekani wameingiwa na hofu Zaidi baada ya mabango yenye maandishi ya "Marekani isiyo na Waislamu'' kupatikana Jumatatu katika Chuo Kikuu cha Rutgers mjini New Jersey siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3470850 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/15
IQNA: Harakati ya Kiislamu Nigeria (INM) imetahadharisha kuwa kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky huenda akapoteza uwezo wa kuona na kuwa kipofu akiwa kizuizini.
Habari ID: 3470849 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/14