iqna

IQNA

IQNA-Maelfu ya Wapalestina wameandamana kupinga sheria ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupiga marufuku adhana katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
Habari ID: 3470890    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/12

IQNA-Mabomu mawili yamelipuka katika mji mkuu wa Syria Damascus katika eneo lililo karibu na Haram ya Bibi Sakina SA na kupelekea wafanya ziara wasiopungua 45 kuuawa shahidi.
Habari ID: 3470889    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/11

IQNA: Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wamewateka nyara Wapalestina kadhaa akiwemo mbunge mwanamke katika oparesheni ya Alhamisi.
Habari ID: 3470888    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/10

IQNA: Kinara wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh ametoroka mji wa Mosul, Iraq kwa msaada wa wanajeshi wa Marekani katika eneo hilo.
Habari ID: 3470887    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/10

IQNA: Shirika la bidhaa za micehzo la Nike limechukua hatua ya kuingia katika sekta yenye faida ya mavazi ya wanawake Waislamu kwa kuzindua Hijabu maalumu ya kuvaliwa na wanamichezo.
Habari ID: 3470886    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano asubuhi amepanda miche miwili ya miti ya matunda katika maadhimisho ya Wiki ya Rasilimali za Maliasili nchini Iran.
Habari ID: 3470885    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/09

IQNA: Msomi kutoka Sudan amebainisha masikitiko yake kuwa Waislamu wamepuuza maudhui za kitiba katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470884    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/07

IQNA-Karibu misikiti 30,000 katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanzisha harakati maalumu ya kusoma Qur'ani Tukufu iliyopewa jina la 'Tilawat
Habari ID: 3470883    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/07

IQNA-Jumuiya ya Vijana Waislamu huko Canada imepanga maonyesho 100 ya Qur'ani kote katika nchi hiyo katika kampeni ya 'Uislamu Ufahamike'.
Habari ID: 3470880    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/05

IQNA-Wanafunzi Waislamu katika shule moja Ujerumani wamepigwa marufuku kutekeleza ibada ya Swala wakiwa shuleni
Habari ID: 3470878    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/04

IQNA-Imamu wa msikiti mmoja katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad amepigwa risasi na kuuawa magharibi mwa mji huo.
Habari ID: 3470877    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/03

Ayatullah Khatami katika Sala ya Ijumaa
IQNA: Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, isingekuwepo misaada ya Iran, basi hadi kufikia sasa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh lingekuwa limeziteka kikamilifu Iraq, Syria na Lebanon.
Habari ID: 3470876    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/03

IQNA: Daktari mwenye umri wa miaka 32 anatarajia kuwa Mwislamu kwa kwanza gavana nchini Marekani baada ya kutangaza nia ya kugombea ugavana wa jimbo la Michigan.
Habari ID: 3470875    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/03

IQNA-Tuko katika mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra SA binti mtukufu wa Bwana Mtume SAW na mwanamke bora duniani na Akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema.
Habari ID: 3470874    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/02

IQNA: Waislamu nchini Malawi wamepongeza tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kiyao na kisema itawawezesha kufahami vyema zaidi mafundisho ya kitabu hicho kitukufu.
Habari ID: 3470873    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/01

IQNA: Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameomboleza kifo cha mwanazuoni maarufu wa Kiislamu Sheikh Hassan Suleiman aliyefariki dunia Jumapili.
Habari ID: 3470872    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/28

IQNA-Umoja wa Mataifa umesema ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa Myanmar umefikia kiwango cha kutia wasi wasi na ni mkubwa zaidi ya ilivyodhaniwa.
Habari ID: 3470871    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/28

IQNA-Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamepangwa kufanyika katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini MA.
Habari ID: 3470870    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27

IQNA: Mashindano ya 28 ya Qur'ani na Hadithi kwa ajili ya vijana wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi yameanza Februari 26 mjini Muscat, Oman.
Habari ID: 3470869    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27

IQNA-Mwanae bingwa wa masumbwi duniani marehemu Muhammad Ali, ametiwa mbaroni katika uwanja wa ndege wa jimbo la Florida nchini Marekani kwa sababu tu an jina la Kiislamu.
Habari ID: 3470868    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/26