IQNA-Ashraf al-Taish qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri ameibuka miongoni mwa wasomaji bora wa Qur'ani katika nchi hiyo ambayo ni chimbuko la wasomaji bora zaidi wa Qur'ani duniani.
Habari ID: 3470826 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/01
IQNA-Serikali ya Austria imechukua hatua ya kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa aina ya hijabu inayofunIka uso wote, maarufu kama niqabu, katika maeneo yote ya umma nchini humo.
Habari ID: 3470825 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31
IQNA: Bangladesh imesema itatekeelza mpango wake tata wa kuwapalekea wakimbizi Waislamu kutoka Myanmar katika kisiwa kilicho mbali sana.
Habari ID: 3470824 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31
IQNA-Waislamu sita wameuawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada.
Habari ID: 3470823 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amepongeza kujitolea kwa wahudumu waumini na mashujaa wa kikosi cha zimamoto katika tukio la kuungua na kuporomoka jengo la kibiashara la Plasco jijini Tehran.
Habari ID: 3470822 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/30
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Marekani kuzuia Waislamu kuingia nchini humo ikisema kuwa, huko ni kuuvunjia heshima waziwazi ulimwengu wa Kiislamu na taifa la Iran.
Habari ID: 3470821 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29
IQNA: Chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu zinaendelea kushika kasi Marekani huku msikiti mwingine ukiteketezwa moto katika katika jimbo la Texas.
Habari ID: 3470820 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29
IQNA-Rais mpya wa Gambia ametangaza kuwa nchi yake haitajulikana tena kama Jamhuri ya Kiislamu ya Gambia ikiwa ni katika kutekeleza ahadi ya kampeni zake za uchaguzi.
Habari ID: 3470819 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29
IQNA: Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu daima katika kipindi chote cha histroia yake imekuwa ni yenye kufuatilia suala la kuweko amani na urafiki.
Habari ID: 3470818 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29
IQNA-Rais Omar al Bashir w Sudan ametoa madai yasiyo na msingi wowote kuwa eti Iran inaeneza madhehebu ya Shia barani Afrika.
Habari ID: 3470816 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/27
IQNA- Polisi nchini Nigeria wamewavurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamnaji waliokuwa wakimuunga kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anaendelea kuwekwa kizuizini kinyume cha sheria.
Habari ID: 3470815 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/26
IQNA: Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Muhammad Sharafeddin aliyepata umaarufu kwa mbinu yake ya Ibtihal ameaga dunia.
Habari ID: 3470814 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/26
IQNA:Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi na Utamaduni (ISESCO) amesizitiza nafasi ya mji mtakatifu wa Mashhad katika ustawi wa utamaduni wa mwanadamu.
Habari ID: 3470813 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/26
IQNA-Magiadi wakufurishaji wa Boko Harm wamekithirisha kutumia watoto wadogo katika harakati zao za kigaidi ikiwemo kutekeleza mashambulizi ya mabomu.
Habari ID: 3470810 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/24
IQNA- Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeidhinisha ujenzi wa wa nyumba mpya 566 za walowezi wa Kizayuni katika mji wa Baitul Muqaddas Mashariki unaoukalia kwa mabavu kinyume cha azimio la Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3470809 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/23
IQNA: Baada kuapishwa Donald Trump kama rais wa Marekani, Imamu aliyealikwa katika ibada maalumu alisoma aya za Qur’ani ambazo zilikuwa na ujumbe wa wazi kwa rais huyo na utawala wake.
Habari ID: 3470807 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/23
IQNA: Quranabad ni kijiji kilicho katika mji wa kusini mwa Iran wa Shiraz ambapo wanakijiji waka 63 wamehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3470806 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/21
IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejibu mwaliko rasmi uliotumwa na Saudi Arabia kuhusu kushiriki katika mazungumzo kujadili kadhia kushiriki tena Wairani katika ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470801 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/18
IQNA-Shirika la kutetea haki za binadmau la Amanesty International limeitaka serikali ya Nigeria kumuachulia huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3470799 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/16
Rais Hassan Rouhani
IQNA- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kuaga dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani, ni msiba mkubwa ambao umepelekea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kupoteza tegemeo lake kubwa."
Habari ID: 3470798 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/16