Ayatullah Muhsin Araki
IQNA-Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema: "Maadui wa Uislamu hasa Marekani na Utawala wa Kizayuni wa Israel wanatumia uwezo wao wote kuibua mifarakano katika Ulimwengu wa Kiislamu."
Habari ID: 3470848 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/13
IQNA: Iran imealika nchi 70 kushiriki katika Mashindano ya Tano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3470846 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/12
IQNA: Mashindano ya Qur'ani yamefanyika nchini Tanzania wiki hii kuchagua wawakilishi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika mashindano yajayo ya kimataifa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3470845 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na Waziri Mkuu wa Sweden
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, matatizo yote ya eneo la Mashariki ya Kati ni uingiliaji wa baadhi ya madola makubwa ikiwemo Marekani katika masuala ya ndani ya eneo hili.
Habari ID: 3470844 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/11
IQNA-Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimempongeza Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis kwa msimamo wake wa kulaani mauaji na ukandamizaji wa Waislamu nchini Myanmar.
Habari ID: 3470843 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/11
Rais Hassan Rouhani
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Iran kamwe hawajaondoka katika njia na harakati ya kuyaunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu na kutimiza malengo ya Imam Ruhullah Khomeini na Kiongozi wa sasa wa Mapinduzi, Ayatullah Ali Khamenei.
Habari ID: 3470842 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/10
IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni moja ya nchi zenye nafasi kubwa katika matukio ya eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470841 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/09
IQNA: Mahakama ya Rufaa katika jimbo la Lagos nchini Nigeria imetoa hujumu ya kupinga amri ya serikali ya jimbo hilo kupiga marufuku vazi la Hijabu kuvaliwa na washichana Waislamu shuleni.
Habari ID: 3470840 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA:Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran litajibu vitisho vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ijumaa ijayo.
Habari ID: 3470839 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07
Msomi wa Uingereza afichua
IQNA: Uingereza inaiuzia Saudia kiasi kikubwa cha silaha katika kutekeleza mpango wa Wazayuni wa kuanzisha vita vikubwa dhidi ya nchi za Waislamu Mashariki ya Kati, amefichua msomi mmoja London.
Habari ID: 3470838 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07
IQNA: Serikali ya Jordan imekosolewa vikali kwa kuondoa zaidi ya aya 290 za Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume SAW katika vitabu vya shule nchini humo.
Habari ID: 3470837 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07
Mwanamke Mwislamu mkaazi wa Uhispania
IQNA: Bi. Bushra Ibrahimi ni Mwislamu mkaazi wa Uhispania ambaye anasema Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya wanakumbwa na masaibu mengi.
Habari ID: 3470836 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/06
IQNA-Siku ya Hijabu ya Waridi imefanyika Jumamosi katika mji wa Dar es Salaam, Tanzania kwa lengo la kuhimiza uvaaji vazi hilo la staha la mwanamke Mwislamu.
Habari ID: 3470834 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/05
IQNA-Mashindano ya 31 ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Nigeria yameanza Ijumaa katika mji wa Ilorin jimboni Kwara magharibi mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470833 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/04
IQNA-Kenya imeanzisha mkakati wa huduma za 'Halal' za kitalii kwa ajli ya ongezeko la watalii Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470832 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/04
Umoja wa Mataifa
IQNA-Umoja wa Mataifa umesema mamia ya Waislamu wa kabila la Rohingya wameuawa nchini Myanmar katika ukandamizaji wa miezi ya hivi karibuni katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3470831 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/03
Ubaguzi wa Trump
IQNA: Polisi nchini Marekani wamemtia mbaroni na kumfunga pingu mtoto wa miaka mitano Muirani katika hatua ya ubaguzi iliyojiri huko Uwanja wa Ndege wa Jimbo la Virginia.
Habari ID: 3470830 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02
IQNA-Mashindano ya 28 ya Qur'ani Tukufu na Hadithi kwa ajili ya vijana katika Ghuba ya Uajemi yatafanyika Muscat, Oman baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3470829 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02
IQNA: Kufuata hofu za hujuma za wenye chuki dhidi ya Uislamu, misikiti minne mikubwa nchini Uholanzi itafungwa wakati wa sala baada ya Waislamu sita kuuawa Canada walipokuwa wakiswali msikitini.
Habari ID: 3470828 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/01
IQNA: Gaidi Mkristo aliyewaua Waislamu sita katika msikiti mmoja nchini Canada amebainika kuwa mfuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani.
Habari ID: 3470827 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/01