IQNA: Rais wa Romania amepinga uteuzi wa Mwislamu kuwa waziri mkuu katika nchi hiyo ya Ulaya mashariki.
Habari ID: 3470764 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Ali Khamenei amesema Iran inapaswa kuendelea kuimarisha nguvu zake ili kukabiliana na maadui.
Habari ID: 3470763 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/27
IQNA: Kongamano la Pili la Kimataifa la "Elimu ya Kiislamu na Utafiti wa Qur'ani na Hadithi za Mtume SAW" limepangwa kufanyika mjini Mataram, Indonesia Machi 2017.
Habari ID: 3470762 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26
IQNA-Duru ya tano ya mkutano wa kimataifa wa 'Upeo wa Miujiza ya Qur'ani Tukufu' umepengwa kufanyika mwezi Aprili nchini Misri.
Habari ID: 3470761 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26
Sayyid Hassan Nasrallah
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah amesema magaidi wakufurishaji wanaotenda jina magharibi mwa Asia na Afrika hawana uhusiano wowote na Uislamu wala Matume Mtukufu Muhammad SAW.
Habari ID: 3470759 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/25
IQNA- Ijumaa katika usiku wenye baridi kali mjini New York, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipasisha azimio nambari 2334 linaloitaka Israel isitishe mara moja ujenzi huo katika ardhi zilizoghusubiwa za Palestina.
Habari ID: 3470758 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/24
IQNA-Qarii (msomaji) wa Qur'ani Tukufu kutoka Kenya amesema Mashidano ya 6 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu yatakayofanyika nchini Iran ni fursa ya kujimmarisha katika ujuzi wa Qur'ani.
Habari ID: 3470757 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/24
Katika kikao cha Malaysia
IQNA: Mkutano wa kwanza wa Mabadilishano ya Sayansi na Teknolojia miongoni mwa nchi za Kiislamu (STEP) umefanyika katika mji mkuu wa Malaysia, Kuala Lumpur.
Habari ID: 3470756 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/24
IQNA-Waislamu wawili wametimuliwa kutoka ndege ya shirika moja la Marekani mjini London baada ya wasafiri kadhaa Waingiereza kulalamika kuwa walimsikia mmoja wao akizungumza kwa lugha ya Kiarabu kwa simu.
Habari ID: 3470753 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/22
IQNA-Awamu ya 12 ya Mashindano ya Kila Mwaka ya Qur’ani ya Amerika Kaskazini yamepangwa kufanyika mjini Toronto, Canada mwaka 2017.
Habari ID: 3470752 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/21
IQNA- Mwanamke Mwislamu amekataa kumpa mkono Rais wa Ujerumani lakini Waziri wa Ulinzi wa Saudia amempa mkono mwanamke ambaye ni waziri wa ulinzi wa Ujerumani.
Habari ID: 3470751 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/20
IQNA: Waislamu katika mji mkuu wa Uingereza, London wamekusanya tani nyingi za chakula kwa ajili ya kuwasaidia mayatima na watoto wa mitaani katika kipindi hiki cha sherehe za kufunga mwaka.
Habari ID: 3470749 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/19
IQNA-Murtadha Ridhwanifar, msomi wa masuala ya utamaduni nchini Iran amefanya safari Afrika Mashariki kuangazia historia ya Washirazi waliofika eneo hilo kutoka Iran.
Habari ID: 3470748 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/18
IQNA-Waislamu duniani wanasherehekea Maulidi na kukumbuka tukio la kuzaliwa Mbora wa Walimwengu, Muhammad Mwaminifu SAW. Ni fusa muafaka ya kutafakari kuhusu umoja wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3470746 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/17
Rais Rouhani
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewataka Waislamu wote duniani waungane na kuimarisha umoja na mshikamano wao dhidi ya njama za maadui wanaolenga kuvunja umoja wa Waislamu kwa kuibua uhasama na malumbano ya kimadhehebu.
Habari ID: 3470745 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/16
IQNA-Kongamano la 30 la Kimataifa la Umoja kati ya Kiislamu limeanza asubuhi ya leo mjini Tehran huku maudhui kuu ikiwa ni udharura wa kupambana na makundi ya kitakfiri.
Habari ID: 3470744 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Pamoja na kuwa waitifaki wa utawala wa Kizayuni wanaibua migogoro mara kwa mara ili kadhia ya Palestina isahaulike, lakini ardhi hii takatifu itakombolewa kwa baraka za muqawama na jihadi ya taifa na makundi ya Palestina".
Habari ID: 3470743 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/14
IQNA-Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Gambia (GQMC) kinachofungamana na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Intaneti cha Gambia kimeandaa masomo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti kwa lengo la kutoa mafunzo kwa Waislamu kona zote za dunia.
Habari ID: 3470742 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/14
Kiongozi Muadhamu:
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, njia bora kabisa ya kuwa karibu na Mwenyezi Mungu ni kushikamana na Sala na kusoma Quráni.
Habari ID: 3470741 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/14
IQNA-Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema mkutano wa kimataifa wa kila mwaka wa umoja wa Kiislamu utafanyika wiki hii mjini Tehran.
Habari ID: 3470739 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/13