iqna

IQNA

raeisi
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameupongeza mhimili wa muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa kuuzuia utawala wa Kizayuni kutekeleza uharibifu zaidi katika eneo kama walivyofanya magaidi wakufurishaji.
Habari ID: 3475183    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/29

TEHRAN (IQNA)- Sayyid Ibrahim Raisi amekula kiapo jioni ya leo na kuwa rais wa 8 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuahidi kwamba atalinda na Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na Katiba ya nchi kwa nguvu zake zote.
Habari ID: 3474160    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/05

TEHRAN (IQNA)- Sherehe za kuidhinishwa rasmi rais wa 8 wa Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu zimefanyika leo mchana katika Hussainiya ya Imam Khomeini (MA) mjini Tehran ambapo Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi na viongozi wengine wa ngazi za juu wa Mfumo wa Kiislamu wamehudhuria kwa kuzingatia kikamilifu maelekezo na miongozo ya Wazara ya Afya juu ya kujikinga na virusi vya Covid-19.
Habari ID: 3474153    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/03

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Ismail Haniya na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina Ziad al Nakhala wamempongeza rais mteule wa Iran Sayyid Ebrahim Raeisi kwa ushindi wake katika uchaguzi wa rais.
Habari ID: 3474098    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/14

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amemteua Hujjatul Islam wal Muslimin Gholamhossein Mohseni-Ejei kuwa Mkuu mpya wa Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3474061    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/01

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi mwandamizi wa Kiislamu nchini Iraq Sayyid Muqtada al Sadr ametoa wito kwa Iran na Saudi Arabia kutatua hitilafu zao kupitia mazungumzo.
Habari ID: 3474031    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22

TEHRAN (IQNA) - Viongozi mbali mbali duniani wanaendelea kumtumia salamu za pongezi Sayyid Ebrahim Raeisi kufuatia ushindi wake katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliofanyika Ijumaa.
Habari ID: 3474024    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/20

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi kumepelekea taifa la Iran lipate ushindi katika kukabiliana na maadui.
Habari ID: 3474020    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/19