qari

IQNA

IQNA – Qari wa Iran, Hamed Alizadeh, hivi karibuni alisoma Aya za 71 hadi 77 za Sura Al-Furqān pamoja na Sura An-Nasr katika hafla ya Qur’ani iliyofanyika katika haram takatifu ya Imamu Ridha (AS) mjini Mashhad.
Habari ID: 3482415   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/29

IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imeadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa marehemu Sheikh Mustafa Ismail, mmoja wa wasomaji mashuhuri wa Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3482384   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/21

IQNA – Ustadh Hashem Roghani ni msomaji mashuhuri wa Qur’ani Tukufu anayejulikana kimataifa na pia ni qari rasmi wa Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3482365   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/16

IQNA – Kisa hiki kinaanza katika miaka ya 1960, pale Sheikh Mohamed Siddiq Al‑Minshawi aliporekodi usomaji wa Qur’ani Tukufu yote kwa ajili ya Redio au Idhaa ya Qur’ani ya Misri.
Habari ID: 3482359   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/14

IQNA – Idhaa ya Qur’ani ya Misri kila siku katika kipindi chake cha jioni hurusha tilawa za Ibrahim Shasha’i, mwana wa qari mashuhuri wa Kimisri marehemu Sheikh Abdel Fattah Shasha’i.
Habari ID: 3482346   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/10

IQNA – Mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Misri ya mwaka huu yatafanyika kwa kumbukumbu ya qari mashuhuri marehemu Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i.
Habari ID: 3482326   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/05

IQNA – Wengi wanaamini kuwa kurekodiwa kwa Surat Yusuf kulikuwa mgeuko wa kweli katika maisha ya Sheikh al-Sayyid Saeed, na mafanikio hayo makubwa yakamfanya ajipatie umaarufu na hatimaye kunyakua lakabu inayostahiki ya “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji Qur’ani).
Habari ID: 3482308   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/31

IQNA – Sheikh Muhammad Mahmoud Tablawi, mmoja wa maqari mashuhuri na wenye taswira ya kipekee nchini Misri, alifariki dunia miaka sita iliyopita baada ya kutumikia Qur'ani Tukufu kwa zaidi ya miaka sitini.
Habari ID: 3482220   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/09

IQNA – Sheikh Muhammad Abdulaziz Hissan, qari mashuhuri wa Misri aliyekuwa na ulemavu wa macho, alikuwa na shule ya kipekee ya sauti na maqam, na aliacha nyuma mamia ya kanda za usomaji wa Qur’ani Tukufu ambazo bado zinatangazwa na vyombo vya habari vya Misri na nje ya Misri.
Habari ID: 3482202   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/05

IQNA – Msomaji mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Iraq amelaani vikali misimamo ya hivi karibuni ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al Afasi, inayounga mkono dhulma ya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3482190   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/02

IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani Tukufu kutoka Lebanon amekosoa misimamo ya qari mmoja kutoka Kuwait akisema kuwa haina uhusiano na mafundisho ya Qur’ani.
Habari ID: 3482177   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/29

IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
Habari ID: 3482173   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28

IQNA – Sheikh Osama Karbalayi, msomaji wa kimataifa wa Qur’ani kutoka Iraq, amesisitiza kuwa misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al‑Afasi, katika kuhalalisha uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inapingana na kiini cha mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482164   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26

IQNA — Zaidi ya miongo minne tangu kufariki kwake, sauti tulivu na yenye khushuu ya Sheikh Mahmoud Khalil Al‑Hussary bado inaendelea kuzunguka na kugusa nyoyo za Waislamu kote katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3481998   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26

IQNA — Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuwatuma wasomaji wa Qur’ani na maimamu katika nchi 22 wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481953   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/18

IQNA – Aplikesheni mahiri ya “Al Moeen” imezinduliwa katika hafla maalumu iliyofanyika Alhamisi katika Chuo cha Qur’ani Tukufu mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3481837   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/23

IQNA – Mwana wa qari maarufu wa Misri aliyefariki, Abdul Basit Abdul Samad, amepongeza kuanzishwa kwa Jumba la Makumbusho la Waqari wa Qur’an nchini humo.
Habari ID: 3481782   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/08

IQNA – Jumba la kwanza kabisa la Maqari wa Qur’ani limefunguliwa katika Kituo cha Utamaduni na Uislamu cha Misri kilichopo katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala karibu na Cairo.
Habari ID: 3481672   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/17

IQNA – Mehdi Barandeh, mmoja wa wawakilishi wa Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani nchini Bangladesh, anatarajiwa kuondoka kuelekea nchi hiyo ya Asia Kusini mwishoni mwa wiki hii.
Habari ID: 3481666   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16

IQNA – Marehemu Sheikh Abdul Wahid Zaki Radhi alikuwa miongoni mwa magwiji wa usomaji wa Qur’ani nchini Misri, akijulikana kwa unyenyekevu wake katika tilawa, uzuri wa makam na sauti yenye utulivu na mvuto wa kiroho.
Habari ID: 3481657   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14