qari

IQNA

IQNA – Amirhossein Landarani, kijana mchanga wa Iran anayesoma na kuhifadhi Qur'an, ambaye hivi karibuni alishinda nafasi ya kwanza katika kipengele cha usomaji wa mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an nchini Iran, amesema mafanikio hayo ni miongoni mwa matukio yenye maana kubwa maishani mwake.
Habari ID: 3481473    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/05

IQNA – Qari maarufu wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, ametoa wito wa kuepuka mifarakano miongoni mwa wahudumu wa Qur’ani Tukufu kufuatia mjadala ulioibuka kuhusu usomaji wa Qari mwenzake, Ahmed Ahmed Nuaina.
Habari ID: 3481451    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/02

IQNA – Mwana wa qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad (rahimahullah), ambaye sauti yake imehifadhiwa katika nyoyo za Waislamu duniani kote, amefariki dunia mjini Cairo siku ya Ijumaa, tarehe 31 Oktoba 2025.
Habari ID: 3481447    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/01

IQNA – Mwenyekiti wa Umoja wa Wanachuoni wa Qur'ani wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amempa heshima maalum Sheikh Mohammed Younis al-Ghalban, gwiji wa usomaji wa Qur'an.
Habari ID: 3481439    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31

IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Moscow, Russia
Habari ID: 3481409    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/24

IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini humo.
Habari ID: 3481377    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/17

IQNA – Mashindano ya Qur'an kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana msukumo wa kiroho na hutoa kipimo sahihi cha maendeleo yao katika usomaji wa Qur'an, amesema Qari maarufu kutoka Iran, Ahmad Abolqassemi.
Habari ID: 3481337    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/07

IQNA – Katika kumbukumbu ya kifo chake, Kituo cha Fatwa cha Kimataifa cha Al-Azhar kimemuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi, akimtaja mtaalamu na msomi wa Misri aliyeaga dunia kama "Baba wa qari s" na ishara endelevu ya usomaji wa Qur’ani wa asili.
Habari ID: 3481297    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28

IQNA – Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary, mmoja wa ma qari mashuhuri wa Misri, anakumbukwa kwa umahiri wake wa kusoma Qur’ani, huruma, na unyenyekevu.
Habari ID: 3481276    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA –Qari na Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Qur’ani cha televisheni ya Iran, Mahfel, amesema kuwa kipindi hicho kimepata umaarufu mkubwa kimataifa, kikivutia watazamaji kutoka ulimwengu wa Kiislamu na hata katika maengine ya dunaini.
Habari ID: 3481263    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481173    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Gavana wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amesema kuwa marehemu qari Sheikh Abulainain Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani na ataendelea kubaki kuwa fahari ya Misri.
Habari ID: 3481105    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19

IQNA – Taasisi ya Al-Azhar na Wizara ya Wakfu ya Misri zimemuenzi Sheikh Mahmud Ali Al-Banna, mmoja wa wasomaji wa Qur’ani mashuhuri wa karne ya 20, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo chake.
Habari ID: 3480978    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Katika jitihada za kuhifadhi urithi wa makari maarufu wa Qur'ani wa Misri na kutambua mchango wao wa kipekee, Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokea mali binafsi na vifaa vya kitamaduni vilivyokuwa mali ya Marehemu Sheikh Muhammad Ahmed Shabib.
Habari ID: 3480974    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480954    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16

IQNA – Sheikh al-Sayyid Saeed, aliyefariki dunia Jumamosi, alijulikana kwa heshima kubwa kama “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), kutokana na usomaji wake wa kipekee wa Qur’an.
Habari ID: 3480739    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA – Qari maarufu wa Qur'ani nchini Misri, Sheikh Al-Sayyid Saeed, anayefahamika kwa lakabu ya “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda.
Habari ID: 3480734    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25

Sauti ya Mbinguni/ 3
IQNA- Usomaji wa Qur'ani Tukufu kwa hakika unaweza kutajwa kuwa 'Sauti ya Mbinguni', ambao kila aya zake tukufu huleta thawabu kubwa na usikilizwaji wake huleta utulivu wa mioyo. Katika mfululizo wa "Sauti ya Mbinguni", tumekusanya nyakati za hamasa, unyenyekevu, na uzuri wa sauti ya Qur'ani, na sehemu bora za tilawa ya wasomaji mashuhuri wa Kiirani, ili kuwa urithi wa kusikika wa fani ya tilawa na maana ya kiroho ya aya za Qur'ani.
Habari ID: 3480547    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16

IQNA – Qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Hamed Shakernejad, alisoma aya za 144-148 za Surah Al-Imran mwanzoni mwa mkutano wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei na wakuu na maafisa waandamizi wa Mihimili ya Dola tarehe 8 Machi 2025 jijini Tehran.
Habari ID: 3480346    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10

IQNA – Qari na hafidh maarufu wa Qur’ani Tukufu kutoka Iran, Ustadh Hamed Shakernejad, ametajwa kuwa balozi wa kimataifa wa Qur’an wa Iran.
Habari ID: 3480323    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07