iqna

IQNA

IQNA – Taasisi ya Al-Azhar na Wizara ya Wakfu ya Misri zimemuenzi Sheikh Mahmud Ali Al-Banna, mmoja wa wasomaji wa Qur’ani mashuhuri wa karne ya 20, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo chake.
Habari ID: 3480978    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Katika jitihada za kuhifadhi urithi wa makari maarufu wa Qur'ani wa Misri na kutambua mchango wao wa kipekee, Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokea mali binafsi na vifaa vya kitamaduni vilivyokuwa mali ya Marehemu Sheikh Muhammad Ahmed Shabib.
Habari ID: 3480974    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480954    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16

IQNA – Sheikh al-Sayyid Saeed, aliyefariki dunia Jumamosi, alijulikana kwa heshima kubwa kama “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), kutokana na usomaji wake wa kipekee wa Qur’an.
Habari ID: 3480739    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA – Qari maarufu wa Qur'ani nchini Misri, Sheikh Al-Sayyid Saeed, anayefahamika kwa lakabu ya “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda.
Habari ID: 3480734    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25

Sauti ya Mbinguni/ 3
IQNA- Usomaji wa Qur'ani Tukufu kwa hakika unaweza kutajwa kuwa 'Sauti ya Mbinguni', ambao kila aya zake tukufu huleta thawabu kubwa na usikilizwaji wake huleta utulivu wa mioyo. Katika mfululizo wa "Sauti ya Mbinguni", tumekusanya nyakati za hamasa, unyenyekevu, na uzuri wa sauti ya Qur'ani, na sehemu bora za tilawa ya wasomaji mashuhuri wa Kiirani, ili kuwa urithi wa kusikika wa fani ya tilawa na maana ya kiroho ya aya za Qur'ani.
Habari ID: 3480547    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16

IQNA – Qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Hamed Shakernejad, alisoma aya za 144-148 za Surah Al-Imran mwanzoni mwa mkutano wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei na wakuu na maafisa waandamizi wa Mihimili ya Dola tarehe 8 Machi 2025 jijini Tehran.
Habari ID: 3480346    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10

IQNA – Qari na hafidh maarufu wa Qur’ani Tukufu kutoka Iran, Ustadh Hamed Shakernejad, ametajwa kuwa balozi wa kimataifa wa Qur’an wa Iran.
Habari ID: 3480323    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07

IQNA - Usomaji wa Qur'ani na qari mdogo wa Kiirani nchini Indonesia umepokelewa vyema na viongozi wa nchi hiyo na mabalozi wa kigeni.
Habari ID: 3480172    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/07

IQNA – Washiriki, wajumbe wa jopo la majaji, na waandaaji wa Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran walikutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, mjini Tehran asubuhi ya  Jumapili.
Habari ID: 3480152    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/03

Harakati za Qur'ani
IQNA -Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu nchini Misri limetangaza kuachiliwa kwa usomaji nadra wa Qur'ani kutoka enzi ya dhahabu ya sanaa ya Qur'ani ya Misri kwenye kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3479901    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15

Harakati za Qur'ani
IQNA – Hafidh wa Qur'ani ambaye pia ni mwanazuoni wa Kiislamu ametaja sifa nyingi ambazo anaamini ni muhimu kwa qari kuwa nazo kwa ajili ya usomaji wenye taathira.
Habari ID: 3479852    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04

Qari wa Qur'ani
IQNA – Bintiye Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary amesema qari huyo mashuhuri wa Misri daima atajielezea kama mtumishi wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479807    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25

 IQNA - Qari wa Iran Seyed Sadeq Moslemi hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani Tukufu kwa nia ya kuwezesha harakati ya muqawama (mapambano ya Kiislamu) ya Wapalestina ipate ishindi dhidi ya adui Mzayuni.
Habari ID: 3479632    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22

Usomaji Qur'ani
IQNA - Msomaji mashuhuri wa Qur'ani wa Misri Sheikh Muhammad Sidiq Minshawi ameenziwa katika hafla iliyofanyika nchini Tanzania hivi karibuni.
Habari ID: 3479408    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10

Harakati za Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur'ani ya Misri iliwaonya ma qari  dhidi ya kitendo chochote ambacho kinachukuliwa kuwa ni cha kutoheshimu Kitabu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479400    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08

Wasoomaji Qur'ani
IQNA - Wabunge kadhaa nchini Misri wametoa wito wa kuundwa kwa kamati mpya ya kusimamia usomaji wa Qur'ani au qiraa na ma qari au wasomaji Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3479380    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04

Qiraa
IQNA - Hamid Reza Ahmadivafa ndiye qari aliyechaguliwa kusoma Qur'ani Tukufu kufungua hafla ya kuapishwa kwa Rais wa Iran Daktari Masoud Pezeshkian 30 Julai 2024.
Habari ID: 3479214    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

IQNA - Qari mashuhuri wa Misri Ahmed Ahmed Nuaina alielezea kipaji chake cha Qur'ani Tukufu kuwa ni baraka kubwa zaidi katika maisha yake.
Habari ID: 3479124    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Misri
Wizara ya Awqaf ya Misri ilisema kuna mipango ya ongezeko kubwa la shughuli za Qur'ani na programu za misikiti katika mwaka ujao wa kalenda ya mwandamo wa Kiislamu.
Habari ID: 3479066    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04