qari

IQNA

IQNA – Marehemu Sheikh Abdul Wahid Zaki Radhi alikuwa miongoni mwa magwiji wa usomaji wa Qur’ani nchini Misri, akijulikana kwa unyenyekevu wake katika tilawa, uzuri wa makam na sauti yenye utulivu na mvuto wa kiroho.
Habari ID: 3481657    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14

IQNA – Milad Asheghi, mhifadhi kamili wa Qur’ani Tukufu na mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa udaktari kutoka Tabriz, Iran, amesema Qur’ani Tukufu imekuwa nguvu thabiti iliyomwongoza kupitia changamoto za masomo ya udaktari.
Habari ID: 3481622    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06

IQNA – Mtaalamu mashuhuri wa Qur’an amesema kuwa wanafunzi wa usomaji wa Qur’an wanapaswa kutumia angalau miaka 15 kuiga na kuumudu mitindo ya wasomaji maarufu wa Qur’an kabla ya kuanza kuendeleza mbinu yao binafsi ya kipekee.
Habari ID: 3481543    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/20

IQNA – Kipindi cha televisheni Dawlet El Telawa, mashindano maalum ya vipaji vya usomaji wa Qur’ani nchini Misri, kimemkumbuka Qari maarufu Sheikh Mahmud Khalil al‑Hussary.
Habari ID: 3481526    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/16

IQNA – Qari mashuhuri wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, amemuelezea marehemu Sheikh Abdul Fattah Sha’sha’i kuwa ni msomaji wa Qur’an aliyebeba sauti ya kipekee na ya kifahari, iliyodhihirisha ukubwa wa Qur’an na kuasisi mtindo wa kipekee wa qira’a.
Habari ID: 3481512    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/14

IQNA – Kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Abdul Fattah al‑Sha’sha’i ni ukumbusho wa moja kati ya wasomaji Qur'ani mashuhuri zaidi wa Misri, ambaye unyenyekevu wake na ustadi wa tajwīd ulimpa jina la “Nguzo ya Qiraa ya Qur’ani.”
Habari ID: 3481505    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/12

IQNA – Amirhossein Landarani, kijana mchanga wa Iran anayesoma na kuhifadhi Qur'an, ambaye hivi karibuni alishinda nafasi ya kwanza katika kipengele cha usomaji wa mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an nchini Iran, amesema mafanikio hayo ni miongoni mwa matukio yenye maana kubwa maishani mwake.
Habari ID: 3481473    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/05

IQNA – Qari maarufu wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, ametoa wito wa kuepuka mifarakano miongoni mwa wahudumu wa Qur’ani Tukufu kufuatia mjadala ulioibuka kuhusu usomaji wa Qari mwenzake, Ahmed Ahmed Nuaina.
Habari ID: 3481451    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/02

IQNA – Mwana wa qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad (rahimahullah), ambaye sauti yake imehifadhiwa katika nyoyo za Waislamu duniani kote, amefariki dunia mjini Cairo siku ya Ijumaa, tarehe 31 Oktoba 2025.
Habari ID: 3481447    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/01

IQNA – Mwenyekiti wa Umoja wa Wanachuoni wa Qur'ani wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amempa heshima maalum Sheikh Mohammed Younis al-Ghalban, gwiji wa usomaji wa Qur'an.
Habari ID: 3481439    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31

IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Moscow, Russia
Habari ID: 3481409    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/24

IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini humo.
Habari ID: 3481377    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/17

IQNA – Mashindano ya Qur'an kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana msukumo wa kiroho na hutoa kipimo sahihi cha maendeleo yao katika usomaji wa Qur'an, amesema Qari maarufu kutoka Iran, Ahmad Abolqassemi.
Habari ID: 3481337    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/07

IQNA – Katika kumbukumbu ya kifo chake, Kituo cha Fatwa cha Kimataifa cha Al-Azhar kimemuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi, akimtaja mtaalamu na msomi wa Misri aliyeaga dunia kama "Baba wa qari s" na ishara endelevu ya usomaji wa Qur’ani wa asili.
Habari ID: 3481297    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28

IQNA – Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary, mmoja wa ma qari mashuhuri wa Misri, anakumbukwa kwa umahiri wake wa kusoma Qur’ani, huruma, na unyenyekevu.
Habari ID: 3481276    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA –Qari na Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Qur’ani cha televisheni ya Iran, Mahfel, amesema kuwa kipindi hicho kimepata umaarufu mkubwa kimataifa, kikivutia watazamaji kutoka ulimwengu wa Kiislamu na hata katika maengine ya dunaini.
Habari ID: 3481263    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481173    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Gavana wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amesema kuwa marehemu qari Sheikh Abulainain Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani na ataendelea kubaki kuwa fahari ya Misri.
Habari ID: 3481105    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19

IQNA – Taasisi ya Al-Azhar na Wizara ya Wakfu ya Misri zimemuenzi Sheikh Mahmud Ali Al-Banna, mmoja wa wasomaji wa Qur’ani mashuhuri wa karne ya 20, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo chake.
Habari ID: 3480978    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Katika jitihada za kuhifadhi urithi wa makari maarufu wa Qur'ani wa Misri na kutambua mchango wao wa kipekee, Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokea mali binafsi na vifaa vya kitamaduni vilivyokuwa mali ya Marehemu Sheikh Muhammad Ahmed Shabib.
Habari ID: 3480974    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21