iqna

IQNA

Usomaji Qur'ani Tukufu nchini Misri
IQNA - Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar alijiunga rasmi na Televisheni na Redio ya Misri kama qari mwenye umri mdogo zaidi.
Habari ID: 3478035    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/14

BOJNOURD (IQNA) - Hamid Shakernejad, qari mashuhuri wa Iran, alikuwa msomaji wa heshima katika siku ya kwanza ya duru ya mwisho ya Mashindano ya 46 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3477978    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02

Msomaji Maarufu wa Qur;ani
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alikuwa Qari aliyesifiwa sana kwa usomaji wake sahihi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477941    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24

TEHRAN (IQNA) – Qari wa kimataifa wa Iran Alireza Bijani hivi karibuni amesoma aya za 63 hadi 71 za Surah Al-Furqan katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477798    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

TEHRAN (IQNA) – Amir Hossein Anvari, qari kijana wa Kiirani, akisoma aya katika Surah Al-Anaam ya Qur’ani Tukufu mwezi uliopita.
Habari ID: 3477726    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14

Wasomaji Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Ustadh Yassir Mahmoud Abdul Khaliq al-Sharqawi ni kijana msomaji mashuhuri wa Qur'ani Tukufu nchini Misri na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3477398    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/08

Qiraa ya Qur'ani Tukufu
BAKU (IQNA) – Klipu ya usomaji mzuri wa Qur'ani Tukufu wa kijana wa Jamhuri ya Azerbaijan Qari Muhammad Dabirov imependwa na mamilioni ya watazamaji kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3477394    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/07

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /25
TEHRAN (IQNA) – Abdulaziz Ali Faraj alikuwa qari wa Kimisri ambaye aliishi zama za Ustadh Abdul Basit Abdul Samad.
Habari ID: 3476514    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Katika mnasaba wa Krismasi, ambayo ni siku ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa Nabii Isa Masih bin Maryam-Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake-,, qari wa Iraq alisoma aya za Sura Al Imran ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476322    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28

TEHRAN (IQNA) – Qari Hazza Al Balushi ni kijana kutoka Oman mwenye kipaji cha kusoma Qu’ani Tukufu kwa sauti nzuri.
Habari ID: 3474289    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12