iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa China unawatenganisha watoto Waislamu na wazazi wao ambao wanashikiliwa katika gereza au kambi maalumu za mafunzo ya Kikomunisti.
Habari ID: 3471682    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/21

Kiongozi wa Hizbullah katika Majlis ya Muharram
TEHRAN (IQNA) Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo inayorefusha uwepo wa baadhi ya mabaki ya magaidi wa ISIS au Daesh katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mashariki mwa Syria.
Habari ID: 3471680    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/20

TEHRAN (IQNA)- Polisi katika eneo la West Yorkshire Uingereza wamezindua sare ya maafisa wa kike Waislamu ambayo inazingatia mafundisho ya Kiislamu ya mavazi yaliyo na staha.
Habari ID: 3471679    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/19

TEHRAN (IQNA)- Mgogoro kuhusu umiliki wa Msikiti Mkuu wa Crodoba nchini Uhispania unaendelea kutokota baada ya kamati iliyoteuliwa na Baraza la Mji wa Cordoba kupinga hatua ya Kanisa Katoloki kuchukua udhibiti wa msikiti huo.
Habari ID: 3471677    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/17

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Kenya wanaendelea na maombolezo ya mwezi Muharram katika kukumbuka kuuhawa Shahidi Imam Hussein AS na wafuasia wake katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3471672    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/16

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii na mwanazuoni mtajika wa Qur'ani Tukufu nchini Libya na katika ulimwengu wa Kiislamu Sheikh Mustafa Qashqash amefariki dunia na kuzikwa Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
Habari ID: 3471671    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/15

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala Saudi Arabia wamewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia ambao walikuwa wakishiriki katika maombolezo ya Mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3471670    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/14

Katika kipindi cha mwaka moja
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Uchapishaji Qur'ani cha 'Malik Fahad' nchini Saudi Arabia kimetangza kuwa kimesambaza nakala milioni 18 za Qur'ani Tukufu mwaka uliopita wa Hijria Qamaria.
Habari ID: 3471669    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/13

TEHRAN (IQNA) - Msikiti mmoja umehujumiwa na kuharibiwa kaskazini magharibi mwa Ujerumani katika jimbo la Lower Saxony ambapo maandishi ya kibaguzi yamenadikwa katika kuta na nyama ya nguruwe kuachwa katika jengo la msikiti.
Habari ID: 3471667    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/11

TEHRAN (IQNA)- Takwimu zinaonesha kuwa, asilimia 76 ya vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Ubelgiji mwaka 2017 vilihusu kushambuliwa wanawke Waislamu wanaovaa Hijabu.
Habari ID: 3471665    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/10

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Wajdi Mubarak mmoja katia ya wanazuoni wa Kishia nchini Saudi Arabia ametaka kuwepo ushirikiano kamili baina ya waumini na maafisa wa usalama nchini humo katika maadhimisho ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3471664    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/09

TEHRAN (IQNA)- Bima ya Kiislamu (Takaful) nchini Kenya imeshuhudia ustawi wa kasi zaidi miongoni mwa mashirika madogo ya bima nchi humo katika mwaka wa 2017.
Habari ID: 3471660    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/05

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopuingua sita wamepteza maisha na Madrassah ya Qur'ani kuharibiwa katika hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3471658    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/03

TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa China kuwaachilia huru mara moja Waislamu wanaoshikiliwa katika kambi za kuwafunza Ukomunisti na kwa kisingizio cha kukabiliana na ugaidi.
Habari ID: 3471657    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/02

TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Afrika Kusini imeamuru ndoa za Kiislamu zitambuliwe na serikali ili kuwalinda wanawake wakati wa talaka.
Habari ID: 3471655    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/01

TEHRAN (IQNA)-Shirika la haki za binadamu la Amnesty International limelaani hatua ya serikali ya Abuja ya kuwaweka kizuizini kinyume sheria Waislamu hasa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3471654    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/31

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani mpango wa kufanyika maonyesho ya katuni zenye kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu nchini Uholanzi.
Habari ID: 3471653    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/30

TEHRAN (IQNA)- Leo idadi ya Waislamu Marekani wanakadiriwa kuwa karibu milioni tatu na nusu lakini wengi hawajui ni kuwa Waafrika ndio waliokuwa miongoni mwa Waislamu wa kwanza katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471651    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/29

TEHRAN (IQNA)- Idara ya Ustawi wa Kiislamu Malaysia (Jakim) imetangaza kuwepo ongezeko la asilimia 10 la bidhaa halali zinazouzwa kimataifa kutoka nchi hiyo.
Habari ID: 3471649    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/27

ISLAMABAD (IQNA)- Kozi ya misingi ya Tajwidi katika kusoma Qur'ani Tukufu inafanyika nchini Pakistan kwa kutumia mtandao wa kijamii wa WhatsApp.
Habari ID: 3471647    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/26