Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa misikiti miwili mitukufu zaidi katika Uislamu ni ya Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3471596 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/16
TEHRAN (IQNA)-Siku kama ya leo miaka 1266 iliyopita, tarehe Mosi tarehe Mosi Dhul Qaadah na kwa mujibu wa baadhi ya riwaya zenye itibari, alizaliwa Bibi Fatwimat Maasuma SA, binti mtukufu wa Imam Musa al-Kadhim bin Ja'far AS ambaye pia ni mmoja wa Ahlul-Bayti wa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3471595 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/15
TEHRAN (IQNA)- Wanaume wawili Waislamu kutoka mji wa Tetova nchini Albania hivi sasa wako safarini kuelekea katika mji mtakatifu wa Makka kutekeleza ibada ya Hija kwa baiskeli.
Habari ID: 3471590 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/11
TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi za juu wa masuala ya Hija katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa wale waliopanga kutekeleza ibada ya Hija wajitayarishe kikamilifu ili wanufaike kikamilifu na fursa hii nadra katika maisha ya Mwislamu.
Habari ID: 3471587 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/08
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Australia imemkamata Kasisi wa Kanisa la Baptist ambaye amekuwa akiwakera Waislamu katika misikiti miwili mjini Brisbane.
Habari ID: 3471586 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/07
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 15 ya Qur'ani ya watoto na mabarobaro yamefanyika mjini Hamburg nchini Ujerumani wiki hii.
Habari ID: 3471585 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/06
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametembelea kambi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Cox’s Bazar nchini Bangladesh na kusema alichoshuhudia kinamkumbusha wajukuu zake.
Habari ID: 3471581 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/03
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wakufurishaji wa Boko Haram wameua askari kumi wa Niger katika hujuma kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka na Nigeria.
Habari ID: 3471580 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/02
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameipongeza Malaysia kwa kuondoa askari wake katika muungano wa kijeshi unoongozwa na Saudia ambao umekuwa ukiwashambulia wananchi wasio na ulinzi Yemen tokea mwaka 2015.
Habari ID: 3471577 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/30
TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Malta imeanzisha bodi ya kitaifa kwa lengo la kustawisha mfumo wa Kiislamu wa kifedha ambapo sheria mpya zitatungwa kuwavutia wawekezaji Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3471576 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/29
TEHRAN (IQNA)-Waislamu Marekani wamelaani uamuzi wa Mahakama ya Kilele nchini humo kuunga mkono marufuku kuingia nchini humo wasafiri kutoka nchi tano za Waislamu huku wakisema uamuzi huo utawaathiri vibaya.
Habari ID: 3471575 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/28
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Kiislamu la Algeria limepongeza fatua iliyotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Ali Khamenei inayoharamisha kuwavunjia heshima masahaba wa Mtume SAW na ulazima wa kulinda heshima ya wake wa mtukufu huyo.
Habari ID: 3471574 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/27
TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Iran amesema migogoro katika nchi za Kiislamu inatokana na njama za madola ya kibeberu na pia Waislamu kupuuza maamurisho ya Qur'ani Tukufu kuhusu umoja.
Habari ID: 3471571 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/24
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 'Zawadi ya Mtume wa Rahma SAW' limepangwa kufanyika 30 Agosti mwaka huu kwa ushirikiano wa Baraza Kuu la Waislamu Uganda na Shirika la Utangazaji la Uganda, UBC.
Habari ID: 3471570 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/24
Katika kutetea timu ya taifa iliyosoma Al Fatiha kabla ya mechi
TEHRAN (IQNA)- Dhakir Lahidhab ni daktari mpasuaji ambaye Mtunisia ambaye katika kuwajibu wale waliokosoa hatua ya timu ya taifa ya soka ya nchi hiyo kusoma aya za Qur'ani kabla ya mechi na Uingereza katika Kombe la Dunia amesema binafsi husoma Qur'ani kabla ya kila oparesheni ya upasuaji.
Habari ID: 3471569 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/23
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Jordan imetangaza mpango wa kuzindua vituo 50 vya kuhifadhi Qur'ani katika mkoa wa Karak nchini humo.
Habari ID: 3471568 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/22
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Elimu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa karibu wanafunzi milioni moja nchini wamehifadhi Qur’ani.
Habari ID: 3471566 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/20
TEHRAN (IQNA)- Golkipa wa Timu ya Taifa ya Soka ya Misri katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Russia amekataa zawadi ya mchezaji bora ambayo alitunukiwa na shirika moja la utegenezaji na uuzaji pombe.
Habari ID: 3471565 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/19
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni nchini Uingereza kumeanza kuuzwa wanaserere waliovishwa Hijabu maarufu kama "Salam Sisters" au "Madada wa Salam" ambao ni nembo ya mwanamke Muislamu anayeweza kuigwa.
Habari ID: 3471564 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/18
TEHRAN (IQNA)-Huku mvua za monsoon ziliendelea kunyesha katika kambi kubwa za wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Bangladesh, Umoja wa Mataifa umeonya kuwa maisha ya wakimbizi 200,000 yako hatarini.
Habari ID: 3471562 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/17