TEHRAN (IQNA)- Bi. Linde McAvoy, alisilimu na kuukumbatia Uislamu maishani wiki chache baada ya kujiunga na Chuo cha Georgia Career Institute Conyers (GCI) katika jimbo la Georgia nchini Marekani mwezi Disemba 2017.
Habari ID: 3471771 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/15
TEHRAN (IQNA)- Mtoto wa miaka 7 kutoka mji wa Luton nchini Uingereza amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu ikiwa ni katika kufuata nyayo za dada yake ambaye pia alifanikiwa kufanya hiyo miaka miwili iliyopita wakati akiwa na umri huo huo.
Habari ID: 3471761 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/04
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Diyanet) imesambazwa nakala 5,000 za Qur'ani Tukufu iliyotarujumiwa kwa lugha ya Kichewa nchini Malawi.
Habari ID: 3471759 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/03
Waziri wa Mambo ya Ndani
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Horst Seehofer amesema Waislamu ni sehemu ya jamii ya Ujerumani.
Habari ID: 3471756 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/30
TEHRAN (IQNA)- Mji wa Osaka, Japan umeimarisha mikakati yake ya kusambaza bidhaa na huduma halali kwa lengo la kuwavutia watalii na wafanyabiashara Waislamu.
Habari ID: 3471753 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/27
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataka mataifa ya Waislamu kuungana na kusimama imara kukabiliana na siasa za chuki za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3471749 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/24
TEHRAN (IQNA)- Watoto zaidi ya 84,700 wa Yemen wamepoteza maisha kutokana na makali ya njaa na utapiamlo, tangu Saudi Arabia ianzishe vita dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake zaidi ya miaka mitatu iliyopita.
Habari ID: 3471748 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/22
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu Brazil imezindua kampeni yenye anuani ya "Muhammad SAW, Mtume wa Walimwengu" kwa lengo la kumuarifisha Mtume Mtukufu wa Uislamu.
Habari ID: 3471746 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/20
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: Mapambano (muqawama) ya Palestina yamevuruga mahesabu ya adui na kubadilisha mlingano wa nguvu.
Habari ID: 3471742 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/15
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewapongeza wanamichezo wa kike Wairani ambao wanashiriki katika michezo ya kimataifa wakiwa wamevaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471741 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/14
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa China unaendelea kupuuza malalamiko ya dunia kuhusu kuendelea kuteswa Waislamu waliowachache nchini humo.
Habari ID: 3471740 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/13
TEHRAN (IQNA) - Mahakama Kuu ya Trinidad na Tobago imetoa hukumu ya kuwaruhusu kuvaa Hijabu maafisa wa polisi wa kike ambao ni Waislamu.
Habari ID: 3471738 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/11
TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetahadharisha kuhusu mpango wa utawala wa Saudi Arabia kuwanyonga wafungwa 12 Waislamu wa madhehebu ya Shia Ithnashariya.
Habari ID: 3471735 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/09
TEHRAN (IQNA)- Maulamaa na Waislamu wa matabaka mbali mbali wa madhehebu ya Sunni nchini Iran wameungana na wenzao wa Kishia kufanya ziara katika Haram ya Imam Ridha AS , mmoja wa wajukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW ambaye pia ni Imam wa Nane wa Waislamu wa Kishia.
Habari ID: 3471732 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/07
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya walemavu wa macho yamemalizika Jumapili mjini Tehran kwa kuteuliwa wawakilishi wa Iran katika Awamu ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho.
Habari ID: 3471731 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/06
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kutoa Kutoa Mafunzo ya Qur'ani Kupitia Intaneti nchini Kuwait imetangaza kuwa itaandama mafunzo zaidi ya Qur'ani kwa lugha mbali mbali.
Habari ID: 3471728 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/04
TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi wa Chuo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu cha Idlib, Syria wamehitimu katika sherehe ambayo iliashiria kurejea hali ya kawaida katika baada ya eneo hilo kukumbwa kwa muda mrefu.
Habari ID: 3471726 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/01
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Nigeria limeua shahidi Waislamu 34 waliokuwa wakishiriki katika maadhimisho ya Arobaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3471725 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/31
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Qur'ani Tukufu maalumu kwa wale waliosilimu yatafanyika mjini Dubai nchini UAE.
Habari ID: 3471720 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/27
TEHRAN (IQNA)-Kongamano moja la kimataifa limefanyika Cairo, Misri kwa lengo la kujadili kadhia ya utoaji wa fatuwa katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3471711 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/18