TEHRAN (IQNA)- Misitiki yote nchini China imetakiwa kupeperusha bendera ya taifa hilo katika maeeneo ya juu na muhimu ya msikiti, Jumuiya ya Kiislamu China imetangaza.
Habari ID: 3471527 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/22
TEHRAN (IQNA)- Pamoja na kuwa atashiriki katika mechi muhimu zaidi ya soka katika maisha yake, yamkini nyota wa Liverpool Mohammad Salah akafunga saumu ya Ramadhani katika siku ya mechi na Real Madrid ya Fainali ya Mabingwa wa Ulaya.
Habari ID: 3471526 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/22
TEHRAN (IQNA) Mkuu wa Halmasahuri ya Mapatano Uganda (URA) amekanusha taarifa kuhusu kuwepo mpango wa kutoza ushuru nakala za Qur'ani Tukufu na Bibilia.
Habari ID: 3471524 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/21
TEHRAN (IQNA)-Duru ya 26 ya Maonyesho ya 26 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu yamefunguliwa Jumamosi jioni.
Habari ID: 3471523 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/20
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Kiislamu na mataifa mengine duniani kukata uhusiano wao kikamilifu na utawala haramu wa Israel na kuangalia upya uhusiano na Marekani kama njia ya kujibu sera hasimu za tawala hizo mbili dhidi ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3471521 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/19
TEHRAN (IQNA)- Mahafali ya kuhitumu wanafunzi 200 waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu yamefanyika katika Kituo cha Kufunza Kiarabu na Sayansi za Kiislamu nchini Mauritania.
Habari ID: 3471517 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/17
TEHRAN (IQNA) -Utawala dhalimu wa Israel umewaua kwa umati Wapalestina sambamba na hatua iliyo kinyume cha sheria za kufunguliwa ubalozi wa utawala wa Marekani katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471515 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/16
TEHRAN (IQNA)- Taasisi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeandaa mashindano ya Tarteel ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani maalumu kwa waliosilimu.
Habari ID: 3471514 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/15
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu barani Ulaya inatazamiwa kupanda na kufika asilimia 8 na asilimia 2.1 nchini Marekani ifikapo mwaka 2030, imesema ripoti ya Global Muslim Diaspora.
Habari ID: 3471511 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/13
KUALA LUMPUR (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya 60 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia wametangazwa leo Jumapili
Habari ID: 3471510 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/13
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, harakati ya elimu katika Ulimwengu wa Kiislamu inapaswa kuwa na kasi kubwa na kwa mara nyingine tena Umma wa Kiislamu ufikie kilele cha nguvu za kielimu na kiustaarabu ili maadui wa Uislamu wakiwemo Wamarekani washindwe kutoa amri kwa marais wa nchi za Kiislamu kwa kuwaambia fanyeni hili na msifanye lile.
Habari ID: 3471509 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/12
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hujuma iliyopelekea kuuawa muumini katika msikiti ulio karibu na mji wa Durban nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3471507 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/12
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Leba mjini Berlin, Ujerumani imesema baraza la mji lina haki ya kumzuia mwalimu Mwislamu kuvaa Hijabu na hivyo kutupilia mbali malalamiko yake ya kubaguliwa.
Habari ID: 3471505 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/11
TEHRAN (IQNA)-Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetoa wito kwa Waislamu kote Marekani kuchukua tahadhari katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471503 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/09
KUALA LUMPUR (IQNA)- Mashindano ya 60 ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Tukufu ya Malaysia yameanza Jumatatu katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiislamu kusini mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3471501 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/08
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Oman imetangza kuwa Mei 17 itakuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471500 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07
TEHRAN (IQNA) – Wapalestina wameweka kambi maalumu za kusoma Qur'ani katika maeneo ya 'Maandamano ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza pamoja na kuwa wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wamekuwa wakiwafyatulia risasi na kuwaua Wapalestina.
Habari ID: 3471498 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/06
TEHRAN (IQNA)-Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imeahidi kuchukua hatua imara kutatua kadhia ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaokandamizwa nchini Myanmar huku wengi wao wakikimbilia Bangladesh kuokoa maisha yao.
Habari ID: 3471497 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/06
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Ghana kimeandaa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Qur'ani pamoja na adhana.
Habari ID: 3471496 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/05
TEHRAN (IQNA) –Waislamu wa mji mkuu wa Australia, Canberra wana sababu ya kutabasamu kufuatia kufunguliwa msikiti mpya katika mji huo baada ya jitihahada za muda mrefu.
Habari ID: 3471495 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/05