TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopuingua sita wamepteza maisha na Madrassah ya Qur'ani kuharibiwa katika hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3471658 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/03
TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa China kuwaachilia huru mara moja Waislamu wanaoshikiliwa katika kambi za kuwafunza Ukomunisti na kwa kisingizio cha kukabiliana na ugaidi.
Habari ID: 3471657 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/02
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Afrika Kusini imeamuru ndoa za Kiislamu zitambuliwe na serikali ili kuwalinda wanawake wakati wa talaka.
Habari ID: 3471655 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/01
TEHRAN (IQNA)-Shirika la haki za binadamu la Amnesty International limelaani hatua ya serikali ya Abuja ya kuwaweka kizuizini kinyume sheria Waislamu hasa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3471654 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/31
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani mpango wa kufanyika maonyesho ya katuni zenye kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu nchini Uholanzi.
Habari ID: 3471653 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/30
TEHRAN (IQNA)- Leo idadi ya Waislamu Marekani wanakadiriwa kuwa karibu milioni tatu na nusu lakini wengi hawajui ni kuwa Waafrika ndio waliokuwa miongoni mwa Waislamu wa kwanza katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471651 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/29
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Ustawi wa Kiislamu Malaysia (Jakim) imetangaza kuwepo ongezeko la asilimia 10 la bidhaa halali zinazouzwa kimataifa kutoka nchi hiyo.
Habari ID: 3471649 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/27
ISLAMABAD (IQNA)- Kozi ya misingi ya Tajwidi katika kusoma Qur'ani Tukufu inafanyika nchini Pakistan kwa kutumia mtandao wa kijamii wa WhatsApp.
Habari ID: 3471647 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/26
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umeikosoa serikali ya Myanmar kwa kukwamisha juhudi zinazolenga kuwafikia Waislamu wa Rohingya katika jimbo la Rakhine wanaokabiliwa na hali mbaya.
Habari ID: 3471643 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/23
TEHRAN (IQNA)- Siku kama ya leo miaka 49 iliyopita, inayosadifiana na 21 Agosti 1969, Masjidul Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu, kilichomwa moto na Wazayuni.
Habari ID: 3471641 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/21
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu 1439 Hijria
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika ujumbe wake kwa Mahujaji kwamba sera za Marekani ni kuchochea vita baina ya Waislamu na akasisitiza kwamba: inapasa kuzizima sera hizo za kishetani kwa umakini na kuwa macho na kwamba Hija na kujibari na washirikina vinawezesha kupatikana umakini huo.
Habari ID: 3471639 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/20
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya Waisalmu milioni mbili kutoka maeneo yote ya dunia wamejumuika katika mji mtakatifu wa Makka kuanza Ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3471636 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/19
TEHRAN (IQNA)- Mji wa Lausanne nchini Usiwisi umewazuia wanandoa Waislamu kuchukua uraia wa nchi hiyo kutokana na msimamo wao wa kukata kupeana mkono na watu ajinabi.
Habari ID: 3471633 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/18
TEHRAN (IQNA)- Misikiti miwili imehujumiwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza katika tukio la chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3471631 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/17
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya Waislamu nchini China wamekusanyika katika msikiti mmoja kaskazini magharibi mwa nchi hiyo katika maandamano nadra ya kupinga mpango wa kuubomoa.
Habari ID: 3471625 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/11
TEHRAN (IQNA)-Ndege za muungano vamizi wa Saudia zimeshambulia basi lililokuwa limebeba watoto ambao ni wanafunzi wa Qur’ani kati mji wa Dhahiyan wa jimbo la Saada na kuua makumi ya raia wengi wao wakiwa watoto wa shule.
Habari ID: 3471623 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/10
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amekosolewa upya kwa kutochukua hatua za kutosha za kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia katika chama chake cha Wahafidhina (Conservative).
Habari ID: 3471622 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/10
TEHRAN (IQNA)- Waislamu zaidiya 90 nchini Marekani wanawania nafasi mbali mbali za uongozi katika ngazi za mitaa, jimbo na kitaifa mwaka huu.
Habari ID: 3471621 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/07
TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wameushambulia msikiti wakati wa Swala ya Ijumaa katika mkoa wa Paktia mashariki mwa Afghanistan na kuua waumini wasiopungua 31 na kujeruhi wengine zaidi ya 80.
Habari ID: 3471619 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/04
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Muhammad amesema nchi yake ina azma ya kuwa taifa la Kiislamu lenye kufuata mafundisho ya Qur’ani na Hadithi sahihi.
Habari ID: 3471616 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/02