iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Muungano wa kivita unaoonogzwa na Saudi Arabia umebomoa zaidi ya misikiti 1,024 tangu uanzishe vita dhidi ya Yemen mwaka 2015, amesema afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen.
Habari ID: 3471964    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/19

TEHRAN (IQNA) – Nakala ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa kwa herufi za Kiarabu za Borno imezinduliwa nchini Nigeria.
Habari ID: 3471960    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/16

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres Jumanne hii amekutana na majeruhi na familia zilizopoteza wapendwa wao katika shambulizi la kigaidi dhidi ya misikiti miwili ya New Zealand mnamo Machi 15 mwaka huu.
Habari ID: 3471955    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/14

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu huko Misri ametangaza kuwa misikiti 300 itafunguliwa nchini humo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471953    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/12

TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya wafungwa zaidi ya 100 Wahindu wamejiunga na wafungwa Waislamu katika Sawm ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mjini New Delhi, India.
Habari ID: 3471951    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/11

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran ya Kiislamu wameandamana nchi nzima baada ya Sala ya Ijumaa kuunga mkono hatua zilizochukuliwa na serikali ya Iran kusimamisha utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA).
Habari ID: 3471950    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislaamu amesisitiza kuwa: " Chanzo cha izza inayoongezeka na ustawi wa hali ya juu wa taifa la Iran katika kipindi cha miaka 40 iliyopita ni kutekeleza mafundisho ya Qur'ani Tukufu hasa kuhusu kusimama kidete na leo pia njia pekee ya kupata ushindi dhidi ya mashetani na makafiri ni kusimama kidete."
Habari ID: 3471945    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/07

TEHRAN (IQNA) – Hospitali moja katika eneo la Fort McMurry, mkoani Alberta, nchini Canada imekuwa hospitali ya kwanzake katikaukanda wa Alberta kaskazini kuwapa wagojwa chaguo la chakula halali.
Habari ID: 3471944    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/06

TEHRAN (IQNA)-Misikiti katika eneo la Long Island mjini New York nchini Marekani imeimarisha usalama kwa kuwaajiri walinzi wenye silaha katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufuatia hujuma za hivi karibuni za kigaidi katika maeneo ya ibada kote duniani.
Habari ID: 3471941    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/05

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN - (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali katika Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) inaonyesha kuwepo uchochezi unaotekelezwa na Marekani, baadhi ya nchi za eneo na vyombo vya habari ili kuuwezesha utawala wa Kizayuni Kuanzisha vita
Habari ID: 3471939    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/03

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) Massoud Shajareh amesema utawala wa Nigeria hauna budi ila kumuachilia huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3471934    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/29

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) -Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, ulimwengu wa Kiislamu leo unakabiliwa na tatizo la misimamo mikali na utakfiri.
Habari ID: 3471931    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/28

TEHRAN (IQNA)- Msichana mwenye umri wa miaka 19 na ambaye anaugua ugonjwa wa kupooza kwa ubongo (cerebral palsy) amefanikiwa kuhifadhi sura 42 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471927    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/24

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 61 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia yalimalizika Jumamosi usiku kwa kutunukiwa zawadi washindi.
Habari ID: 3471926    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uhusiano wa mataifa mawili ya Iran na Pakistan ni wa moyoni uliokita mizizi vyema na kusisitiza kuwa, uhusiano huo unapaswa kuimarishwa kadiri inavyowezekana hata kama maadui wa mataifa haya mawili watachukizwa na hilo
Habari ID: 3471924    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23

TEHRAN (IQNA)- Msikiti umebomolewa katika mkoa wa Gansu, kaskazini-kati mwak China ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kufuta turathi za Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3471922    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/20

TEHRAN (IQNA)-Vijana Waislamu katika nchi 10 barani Ulaya wamewapa wapitanjia maua ya waridi na vijikaratasi vyenye maelezo ya kimsingi kuhusu Uislamu kwa lengo la kuondoa hofu na ubaguzi dhidi ya Uislamu na kustawisha maelewano katika jamii.
Habari ID: 3471919    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu hawatekelezi maamrisho ya Qur'ani na ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni.
Habari ID: 3471918    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/16

Mwanafunzi wa Kenya aliyeshika nafasi ya kwanza
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ya kiwango cha juu sana ikilinganishwa na mashindano mengine yote duniani, amesema Abdulalim Abdulrahim Haji kutoka Kenya ambaye ameshika nafasi ya kwanza ya mashindano ya kuhifadhi Qur'ani maalumu kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3471917    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/15

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran yamemalizika leo nchini Iran kwa kutangazwa washindi ambapo mwanafunzi kutoka Kenya ni miongoni mwa washindi.
Habari ID: 3471916    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/14