iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 61 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia yalimalizika Jumamosi usiku kwa kutunukiwa zawadi washindi.
Habari ID: 3471926    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uhusiano wa mataifa mawili ya Iran na Pakistan ni wa moyoni uliokita mizizi vyema na kusisitiza kuwa, uhusiano huo unapaswa kuimarishwa kadiri inavyowezekana hata kama maadui wa mataifa haya mawili watachukizwa na hilo
Habari ID: 3471924    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23

TEHRAN (IQNA)- Msikiti umebomolewa katika mkoa wa Gansu, kaskazini-kati mwak China ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kufuta turathi za Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3471922    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/20

TEHRAN (IQNA)-Vijana Waislamu katika nchi 10 barani Ulaya wamewapa wapitanjia maua ya waridi na vijikaratasi vyenye maelezo ya kimsingi kuhusu Uislamu kwa lengo la kuondoa hofu na ubaguzi dhidi ya Uislamu na kustawisha maelewano katika jamii.
Habari ID: 3471919    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu hawatekelezi maamrisho ya Qur'ani na ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni.
Habari ID: 3471918    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/16

Mwanafunzi wa Kenya aliyeshika nafasi ya kwanza
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ya kiwango cha juu sana ikilinganishwa na mashindano mengine yote duniani, amesema Abdulalim Abdulrahim Haji kutoka Kenya ambaye ameshika nafasi ya kwanza ya mashindano ya kuhifadhi Qur'ani maalumu kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3471917    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/15

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran yamemalizika leo nchini Iran kwa kutangazwa washindi ambapo mwanafunzi kutoka Kenya ni miongoni mwa washindi.
Habari ID: 3471916    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/14

Qarii mashuhuri wa Tanzania Ustadh Rajayi Ayoub
TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu kutoka nchini Tanzania Ustadh Rajayi Ayoub amesema Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran ni fursa muhimu ya kuleta umoja miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3471915    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/13

TEHRAN (IQNA)- Harakazi za mapambano ya Kiislamu Iraq ambazo zimekuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi zimelaani vikali, hatua ya uhasama ya mtawala wa Marekani Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Iran katika orodha ya makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3471910    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/11

TEHRAN (IQNA)- Fainali za Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeanza rasmi Jumatano alasiri katika halfa iliyofanyika mjini Tehran.
Habari ID: 3471909    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/10

TEHRAN (IQNA) - Picha za satalaiti zinaonyesha kuwa serikali ya China inabomoa misikiti muhimu ya eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang.
Habari ID: 3471908    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani inahasimiana na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kwa sababu jeshi hilo limekuwa mstari wa mbele katika kuilinda Iran na Mapinduzi ya Kiislamu na kuongeza kuwa: "Kwa miaka 40 sasa, Marekani na maadui wengine wajinga wamekuwa wakifanya kila wawezalo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini wameshindwa."
Habari ID: 3471906    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/09

TEHRAN (IQNA) – Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameanza kuwasili nchini.
Habari ID: 3471904    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/08

TEHRAN (IQNA)- Idara ya Polisi nchini Ireland imeamua kuwaruhusi maafisa wa polisi kike ambao ni Waislamu kuvaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471900    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/06

TEHRAN (IQNA)- Mfalme Salman Bin Abdulaziz wa Saudi Arabia ameitembelea Bahrain katika safari fupi na kufanya mazungumzo na mfalme wa nchi hiyo Hamad bin Isa Aal Khalifa.
Habari ID: 3471898    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/04

TEHRAN (IQNA)- Shule ya Waislamu mjini New Castle Uingereza imehujumiwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu ambao walivunjia haeshima nakala za Qur'ani Tukufu katika shule hiyo.
Habari ID: 3471891    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/28

Kiongozi wa Hizbullah Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi miinuko ya Golan kuwa ni miliki ya utawala bandia wa Israel ni kuzitusi na kuzivunjia heshima nchi za Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu.
Habari ID: 3471890    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/27

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa New Zealand Jacind Ardern ameagiza kufanyike uchunguzi huru kuhusu hujuma za kigaidi dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini humo.
Habari ID: 3471888    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/26

TEHRAN (IQNA)-Rais Donald Trump wa Marekani amelaani vikali na kutengwa kimataifa kudai kuwa kuwa utawala haramu wa Israel unamiliki miinuko ya Golan ya Syria.
Habari ID: 3471887    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/24

TEHRAN (IQNA)- Kikao cha dharura cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kimefanyika Ijumaa mjini Istanbul, Uturuki kwa lengo la kujadili hatua za kuchukuliwa baada ya shambulio la kigaidi la hivi karibuni dhidi ya Waislamu waliokuwa katika Sala ya Ijumaa kwenye misikiti miwili nchini New Zealand.
Habari ID: 3471886    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/23