waislamu - Ukurasa 61

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Mkaazi wa Canterbury, New Zealand anasema alivutiwa na Uislamu na kuamua kusilimu baada ya hujuma dhidi ya misikiti katika mji wa Christchurch nchini humo.
Habari ID: 3472091   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/19

TEHRAN (IQNA) – Polisi ya Norway imewashukuru wazee wawili Waislamu ambao walimshinda nguvu gaidi ambaye alikuwa analenga kuwaua Waislamu katika msikiti mmoja mjini Baerum.
Habari ID: 3472090   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/18

TEHRAN (IQNA)- Utawala haramu wa Israel umewapiga marufuku wabunge wawili wa chama cha Democrat nchini Marekani Rashida Tlaib na Ilhan Omar kuingia ardhi za Palestina.
Habari ID: 3472086   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/16

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Saudi Arabia na Imarati zinataka kuigawanya Yemen; na akasisitiza kwamba: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama hiyo na kuunga mkono Yemen moja, iliyoungana na yenye ardhi yake yote kamili.
Habari ID: 3472083   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/14

TEHRAN (IQNA) - Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, al Kaaba leo wameelekea Mina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya siku ya Tarwiya hiyo kesho tarehe 8 Dhilhaji katika eneo hilo tukufu.
Habari ID: 3472075   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, ushindi haupatikani bila ya muqawama na mapambano na kwa mujibu wa ahadi isiyo na shaka ya Mwenyezi Mungu, hatima ya kadhia ya Palestina bila shaka itakuwa ni kwa manufaa ya Wapalestina.
Habari ID: 3472053   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/22

TEHRAN (IQNA) - Wahalifu wameuhujumu msikiti na kuvunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu maghairbi mwa Ujerumani.
Habari ID: 3472048   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/19

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza suala la kuimarika kwa nguvu na uwezo wa kujihami na kufanya mashambulizi wa wanamapambano katika kipindi cha miaka 13 iliyopita.
Habari ID: 3472042   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/14

TEHRAN (IQNA) - Mwana wa Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria ametahadharisha kupitia ujumbe aliotoa kwamba hali ya kimwili ya baba yake ni mbaya sana. Amesema karibu njia zote zimeshindikana kwa ajili ya kunusuru maisha yake.
Habari ID: 3472036   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/09

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema serikali ya Saudi Arabia ina wajibu na majukumu mazito ya kulinda usalama wa mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu na hadhi yao bila ya kueneza anga ya kipolisi.
Habari ID: 3472031   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/03

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kupita miaka mitatu na nusu tangu serikali ya Nigeria ianze kumshikilia kinyume cha sheria Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na kuendelea kukaidi amri ya Mahakama Kuu ya kuachiliwa huru mwanachuoni huo, hivi sasa hali ya kiongozi huyo wa Waislamu imezidi kuwa mbaya.
Habari ID: 3472021   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/29

TEHRAN (IQNA)- Maisan Yahya Muhammad, ni binti wa miaka sita ambaye kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambaye amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3472020   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa lengo kuu la pendekezo la Marekani la kufanya mazungumzo na Iran ni kutaka kulipokonya taifa la Iran silaha na sababu za nguvu na uwezo wake.
Habari ID: 3472018   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/26

Sheikh Issa Qassim
TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Qassim amelaani vikali hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne'.
Habari ID: 3472017   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/25

TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza amechapisha fatwa mpya kuhusu kuchangia viungo vya mwili.
Habari ID: 3472011   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/22

TEHRAN (IQNA) – Marekani inaendelea kuficha jinai za kivita za utawala wa Saudia Arabia na waitifaki wake ambao wanaendelea na uvamizi wao dhidi ya taifa la Yemen.
Habari ID: 3472007   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/19

TEHRAN (IQNA) – Mwenyekiti wa Jumyuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu (IUMS) amezituhumu tawala za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa zimehusika katika kifo cha rais wa zamani wa Misri Muhammad Mursi.
Habari ID: 3472006   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/18

TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya Yemen vimetekeleza shambulizi jingine la ulipizaji kisasi kwa kuulenga uwanja wa ndege wa Abha, katika mkoa wa Asir kusini mwa Saudi Arabia. Shambulizi hilo limetekelezwa ikiwa ni katika kulipiza kisasi jinai dhidi ya Wayemen ambazo zimekuwa zikitekelezwa na Saudia na waitifaki wake katika kipindi cha miaka minne sasa.
Habari ID: 3472005   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/17

Iran na Hamas zasisitiza:
TEHRAN (IQNA) - Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimesema utawala wa rais Donald Trump wa Marekani unalenga kuangamiza taifa la Palestina kupitia 'Muamala wa Karne' ulio kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472004   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16

TEHRAN (IQNA) – Gaidi wa Australia aliyetekeleza mauaji ya Waislamu 51 katika misikiti miwili mjini Christchurch nchini New Zealand mwezi Machi ameiambia mahakama kuwa hana hatia.
Habari ID: 3472001   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/14