waislamu - Ukurasa 70

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wanachuo zaidi ya 200 waliohifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu wamehitimu katika Kituo cha Masomo ya Qur’ani cha Chuo Kikuu cha Bayero cha Jimbo la Kano (BUK).
Habari ID: 3471614    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/31

TEHRAN (IQNA)- Mwalimu mmoja aliyeivuinjia heshima Qur'ani Tukufu nchini Kenya katika eneo la kaskazini mashariki anatazmaiwa kufikishwa kizimbani.
Habari ID: 3471612    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/30

TEHRAN (IQNA)- Japan imezindua 'misikiti inayotembea' ambayo itatumika katika Michezo ya Olimpiki na Paralimpiki Tokyo mwaka 2020.
Habari ID: 3471611    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/29

TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti Kitaifawa Baraza la Maimamu na Wahubiri Waislamu Kenya (CIPK) Sheikh Abdalla Ateka ametoa wito kwa wizara ya elimu nchini humo kuchukua hatua za kuzuia kuendelea kubaguliwa wanafunzi Waislamu katika shule za nchi hiyo.
Habari ID: 3471608    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/26

TEHRAN (IQNA) - Waislamu 8 wameuawa baada ya magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram kuushambulia msikiti na kuua watu wanane mashariki mwa Nigeria wakati wa Sala ya Alfajiri.
Habari ID: 3471605    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/24

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Saudi Arabia umemkamata mhubiri maarufu na mtetezi wa haki za binadanu Sheikh Ali bin Saeed al-Hajjaj al Ghamdi ambaye aliwahi kuwa mhubiri katika Al-Masjid An-Nabawi mjini Madina.
Habari ID: 3471602    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/21

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Uswizi wamelalamikia ubaguzi unaotokana na kuunasibisha Uislamu na utumiaji mabavu.
Habari ID: 3471600    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/19

TEHRAN (IQNA) – Wagombea ubunge katika mji la Lhokseumawe katika jimbo la Acheh nchini Indonesia wameshiriki katika mtihani wa kusoma Qur'ani Tukufu kama sharti la kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2019.
Habari ID: 3471597    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa misikiti miwili mitukufu zaidi katika Uislamu ni ya Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3471596    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/16

TEHRAN (IQNA)-Siku kama ya leo miaka 1266 iliyopita, tarehe Mosi tarehe Mosi Dhul Qaadah na kwa mujibu wa baadhi ya riwaya zenye itibari, alizaliwa Bibi Fatwimat Maasuma SA, binti mtukufu wa Imam Musa al-Kadhim bin Ja'far AS ambaye pia ni mmoja wa Ahlul-Bayti wa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3471595    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/15

TEHRAN (IQNA)- Wanaume wawili Waislamu kutoka mji wa Tetova nchini Albania hivi sasa wako safarini kuelekea katika mji mtakatifu wa Makka kutekeleza ibada ya Hija kwa baiskeli.
Habari ID: 3471590    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/11

TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi za juu wa masuala ya Hija katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa wale waliopanga kutekeleza ibada ya Hija wajitayarishe kikamilifu ili wanufaike kikamilifu na fursa hii nadra katika maisha ya Mwislamu.
Habari ID: 3471587    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/08

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Australia imemkamata Kasisi wa Kanisa la Baptist ambaye amekuwa akiwakera Waislamu katika misikiti miwili mjini Brisbane.
Habari ID: 3471586    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/07

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 15 ya Qur'ani ya watoto na mabarobaro yamefanyika mjini Hamburg nchini Ujerumani wiki hii.
Habari ID: 3471585    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/06

TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametembelea kambi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Cox’s Bazar nchini Bangladesh na kusema alichoshuhudia kinamkumbusha wajukuu zake.
Habari ID: 3471581    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/03

TEHRAN (IQNA)-Magaidi wakufurishaji wa Boko Haram wameua askari kumi wa Niger katika hujuma kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka na Nigeria.
Habari ID: 3471580    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/02

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameipongeza Malaysia kwa kuondoa askari wake katika muungano wa kijeshi unoongozwa na Saudia ambao umekuwa ukiwashambulia wananchi wasio na ulinzi Yemen tokea mwaka 2015.
Habari ID: 3471577    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/30

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Malta imeanzisha bodi ya kitaifa kwa lengo la kustawisha mfumo wa Kiislamu wa kifedha ambapo sheria mpya zitatungwa kuwavutia wawekezaji Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3471576    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/29

TEHRAN (IQNA)-Waislamu Marekani wamelaani uamuzi wa Mahakama ya Kilele nchini humo kuunga mkono marufuku kuingia nchini humo wasafiri kutoka nchi tano za Waislamu huku wakisema uamuzi huo utawaathiri vibaya.
Habari ID: 3471575    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/28

TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Kiislamu la Algeria limepongeza fatua iliyotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Ali Khamenei inayoharamisha kuwavunjia heshima masahaba wa Mtume SAW na ulazima wa kulinda heshima ya wake wa mtukufu huyo.
Habari ID: 3471574    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/27