iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitaka serikali ya Myanmar kuheshimu haki za Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
Habari ID: 3471102    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/04

TEHRAN (IQNA)-Magaidi wametekelza hujuma dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa amdhehebu ya Shia huko Herat, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ishaa Jumanne usiku.
Habari ID: 3471098    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/02

TEHRAN (IQNA)-Kituo cha utamaduni cha Iran nchini Senegal kimeandaa duru ya pili ya kozi ya kusoma Qur’ani Tukufu kwa msingi wa Tajwid.
Habari ID: 3471097    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/01

TEHRAN (IQNA)-Mwanamke Mwislamu muuguzi katika eneo la Staffordshire Uingereza amehujumiwa na gaidi mwenye chuki dhidi ya Uislamu aliyejaribu kumnyonga bila mafanikio.
Habari ID: 3471095    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/01

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3471094    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30

TEHRAN (IQNA)-Askari wa utawala wa kiimla na kikabila wa Saudi Arabia wametekeleza hujuma za kijeshi katika makazi ya Waislamu wa madehebu ya Shia ya mji wa Al-Awamiyah, mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471093    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30

TEHRAN (IQNA)-Wakuu wa vyuo vikuu vya nchi za Kiislamu wamekutana Ankara, mji mkuu wa Uturuki na kujadili kuundwa Baraza Kuu la Kiislamu la Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3471091    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27

TEHRAN (IQNA) Uchunguzi umebaini kuwa, asilimia 74 ya Waislamu nchini Marekani wanapinga namna rais Donald Trump wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471088    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27

TEHRAN (IQNA)-Waalimu wa shule za Kiislamu (Madrassah) nchini Uganda wameshiriki katika warsha ya kuimarisha ujuzi wao.
Habari ID: 3471083    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/24

TEHRAN (IQNA)-Wanajeshi 15,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel leo wameuzingira msikiti wa al-Aqsa na kuwazuia Waislamu kuswali Ijumaa huku kukiwa na sheria kali za usalama.
Habari ID: 3471077    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/21

TEHRAN (IQNA)-Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu Marekani kutokana na rais Donald Trump wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471074    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18

TEHRAN (IQNA)-Tamasha la Chakula Halal mjini Toronto, Canada, ni tamasha kubwa zaidi la chakula Halal eneo la Amerika Kaskazini na mwaka huu limewavutia Waislamu wengi waliojivunia mafanikio yao katika jamii.
Habari ID: 3471073    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18

TEHRAN (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu wameushambulia na kuuharibu vibaya msikiti katika mji wa Manchester, Uingereza.
Habari ID: 3471072    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18

TEHRAN (IQNA)- Katika kuendelea ukiukaji wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia, utawala wa Aal Saud umewanyonga raia wanne wa nchi hiyo wa mji wa Qatif.
Habari ID: 3471065    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/14

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu wanaoingia Marekani imepungua katika miezi mitano ya kwanza ya utawala wa Rais Donald Trump.
Habari ID: 3471064    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/13

TEHRAN (IQNA)-Kwa muda wa takribani miezi miwili mtaa wa al Mosara katika mji wa Awamiyah nchini Saudi Arabia umekuwa chini ya mzingiro wa wanajeshi ambao wametekeleza uharibifu mkubwa na kuwaua raia kadhaa.
Habari ID: 3471060    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10

TEHRAN (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia wanawalenga zaidi wanawake wenye kuvaa Hijabu, ripoti mpya imebaini.
Habari ID: 3471059    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10

TEHRAN (IQNA)-Maimamu wa misikiti barani Ulaya wameanzisha kampeni amani kwa kutemeblea miji iliyoshambulia na magaidi kwa jina la dini huku wakilaani ugaidi na misimamo mikali.
Habari ID: 3471057    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/09

TEHRAN (IQNA)-Watu 158 wamesilimu nchini Oman katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3471055    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/07

Waziri Mkuu wa India safarini Tel Aviv
TEHRAN (IQNA)-Narendra Modi, Waziri Mkuu wa India anatembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel na kukutana na wakuu wa utawala huo wa Kizayuni lakini hatakutana na viongozi wa Palestina.
Habari ID: 3471051    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/05