TEHRAN (IQNA)-Mabuddha nchini Myanmar wamewazuia Waislamu 21 wa kabila la Rohingya kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3471117 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/10
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Trinidad na Tobago wametoa wito kwa wasimamizi kwa mamlaka ya viwanja wa ndege nchini humo ichukue hatua za dharura za kuwaandalia Mahujaji chumba maalumu cha kusali.
Habari ID: 3471113 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/09
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Tajikistan imetangaza kuwazuia wanawake wa nchi hiyo kuvaa vazi la staha la Hijabu ikiwa ni muendelezo wa vita dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3471110 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/07
TEHRAN (IQNA)-Mkurungenzi mmoja wa sanaa nchini Malaysia ameandaa Saa ya Qur’ani (#QuranHour) kwa lengo la kuwakumbusha walimwengu wote kuhusu mvuto wa mafundisho ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471109 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/07
TEHRAN (IQNA)-Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita nchini Nigeria amewashangaza wengi kwa kufanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kwa kipindi cha chiniya mwaka moja.
Habari ID: 3471107 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/06
TEHRAN (IQNA) Kwa munasaba wa Wiladat ya Imam Ridha AS, Msafara wa wahudumu wa Haram Takatifu ya Imam Ridha AS iliyoko mjini Mashhad nchini Iran wamefika Zanzibar nchini Tanzania na kukutana na Ulamaa wa Ahul Sunna.
Habari ID: 3471104 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/05
TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya Waislamu 6,000 wameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati tokea mwaka 2013 lakini jamii ya kimataifa imenyamazia kimya jinai hiyo na kuonyesha kutojali.
Habari ID: 3471103 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/04
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitaka serikali ya Myanmar kuheshimu haki za Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
Habari ID: 3471102 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/04
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wametekelza hujuma dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa amdhehebu ya Shia huko Herat, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ishaa Jumanne usiku.
Habari ID: 3471098 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/02
TEHRAN (IQNA)-Kituo cha utamaduni cha Iran nchini Senegal kimeandaa duru ya pili ya kozi ya kusoma Qur’ani Tukufu kwa msingi wa Tajwid.
Habari ID: 3471097 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/01
TEHRAN (IQNA)-Mwanamke Mwislamu muuguzi katika eneo la Staffordshire Uingereza amehujumiwa na gaidi mwenye chuki dhidi ya Uislamu aliyejaribu kumnyonga bila mafanikio.
Habari ID: 3471095 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3471094 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30
TEHRAN (IQNA)-Askari wa utawala wa kiimla na kikabila wa Saudi Arabia wametekeleza hujuma za kijeshi katika makazi ya Waislamu wa madehebu ya Shia ya mji wa Al-Awamiyah, mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471093 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30
TEHRAN (IQNA)-Wakuu wa vyuo vikuu vya nchi za Kiislamu wamekutana Ankara, mji mkuu wa Uturuki na kujadili kuundwa Baraza Kuu la Kiislamu la Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3471091 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27
TEHRAN (IQNA) Uchunguzi umebaini kuwa, asilimia 74 ya Waislamu nchini Marekani wanapinga namna rais Donald Trump wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471088 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27
TEHRAN (IQNA)-Waalimu wa shule za Kiislamu (Madrassah) nchini Uganda wameshiriki katika warsha ya kuimarisha ujuzi wao.
Habari ID: 3471083 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/24
TEHRAN (IQNA)-Wanajeshi 15,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel leo wameuzingira msikiti wa al-Aqsa na kuwazuia Waislamu kuswali Ijumaa huku kukiwa na sheria kali za usalama.
Habari ID: 3471077 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/21
TEHRAN (IQNA)-Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu Marekani kutokana na rais Donald Trump wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471074 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18
TEHRAN (IQNA)-Tamasha la Chakula Halal mjini Toronto, Canada, ni tamasha kubwa zaidi la chakula Halal eneo la Amerika Kaskazini na mwaka huu limewavutia Waislamu wengi waliojivunia mafanikio yao katika jamii.
Habari ID: 3471073 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18
TEHRAN (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu wameushambulia na kuuharibu vibaya msikiti katika mji wa Manchester, Uingereza.
Habari ID: 3471072 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18