TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Marekani wamelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumanne mjini New York katika mtaa wa Manhattan na kupelekea watu 8 kupoteza maisha.
Habari ID: 3471241 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01
TEHRAN (IQNA)-Wafanyaziara milioni tatu Wairani wanatazamiwa kufika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3471238 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/30
TEHRAN (IQNA)-Afisa wa Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (ICRS) amesema kuna takribani wakimbizi zaidi ya milioni moja Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbia mauaji ya kimbari Myanmar na kuingia nchini Bangladesh.
Habari ID: 3471237 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/29
TEHRAN (IQNA)-Uturuki imeanza kusambaza nakala 21,500 za Qur'ani katika nchi 15 barani Afrika.
Habari ID: 3471233 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/28
TEHRAN- (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu wameuvunjia heshima msikiti ambao bado unajengwa katika mji wa Frankfurt, Ujerumani Jumanne.
Habari ID: 3471232 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/27
TEHRAN (IQNA)-Klipu ya video imeenea katika mitandao ya kijamii ikumuonyesha mchezaji wa zamani wa Timu ya Soka ya Arsenal ya Uingereza, Vassiriki Abou Diaby akisoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471231 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/26
Ayatullah Sayyid Ali Khamenei
TEHRAN (IQNA)-Amirijeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uwezo na nguvu za kiulinzi za Iran si kitu cha kujadiliwa kabisa kama ambavyo zana zozote za ulinzi na kitu chochote kile kinacholeta nguvu za taifa la Iran si kitu cha kufanyiwa muamala wa aina yoyote ile.
Habari ID: 3471230 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/25
TEHRAN (IQNA)-Japan inaibuka kama nchi yenye watalii wengi Waislamu kutokana na huduma inazotoa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu hasa chakula halali.
Habari ID: 3471228 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/23
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Imelaani hujuma za kigaidi zilizolengamisikiti miwili katika miji ya Kabul na Ghor nchini Afghanistan siku ya Ijumaa na kuuawa waumini zaidi ya 80.
Habari ID: 3471226 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/22
TEHRAN (IQNA)-Idadi kubwa ya nakala za Qur'ani zimepatikana hivi karibuni zikiwa zimetupwa katika mtaro wa maji taka katika mtaa mmoja katika mji wa Taif, Saudi Arabia.
Habari ID: 3471224 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/21
TEHRAN (IQNA)-Wafungwa Waislamu na wale wenye asili ya Afrika ndio wanaodhulumiwa zaidi katika jela za Uingereza.
Habari ID: 3471223 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/20
TEHRAN (IQNA)-Kijana mwenye umri wa miaka 11 nchini Bangladesh amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu kwa muda wa siku 86.
Habari ID: 3471221 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/18
TEHRAN (IQNA)-Taasisi ya Misaada ya Qatar imesambaza nakala 4,000 za Qur'ani Tukufu zenye hati ya Braille ambayo hutumiwa na watu wenye ulemavu wa macho.
Habari ID: 3471220 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/17
TEHRAN (IQNA)-Waislamu katika magereza ya Australia wanakabiliwa na mateso, udhalilishaji na ukandamizaji mikononi mwa maafisa wa gereza.
Habari ID: 3471219 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/16
TEHRAN (IQNA)-Askofu wa kanisa moja nchini Kenya amesilimu pamoja na wafuasi wake kadhaa na kuligeuza kanisa lake kuwa msikiti.
Habari ID: 3471218 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/15
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wa Kikristo wa kundi la anti-Balaka wameua Waislamu 25 ndani ya msikiti katika mji wa Kembe kusini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Habari ID: 3471216 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/14
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Thomas de Maiziere amependekeza kuwa sikukuu za Kiislamu zitambuliwe rasmi na zisherehekewe nchini humo.
Habari ID: 3471215 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/14
TEHRAN (IQNA)-Shirika moja la kutetea haki za binadamu linasema serikali ya Myanmar inazuia kwa makusudi chakula kuwafikia Waislamu wa jamii ya Rohingya kwa lengo la kuwalazimisha kukimbia ardhi yao ya jadi nchini humo.
Habari ID: 3471214 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/13
TEHRAN (IQNA)-Serikali ya China imefunga duka moja maarufu la vitabu vya Kiislamu na kumtia mbaroni mmiliki wa duka hilo kwa tuhuma za ugaidi.
Habari ID: 3471212 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/11
TEHRAN (IQNA)-Hujuma ya kigaidi hivi karibuni katika mji wa Las Vegas nchini Marekani imetajwa kuwa ufyatuaji risasi mbaya zaidi hadharini nchini na pia tukio hilo limeashiria kuwepo hisia mseto dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471208 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/08