iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu katika mkutano wa Rais wa Uturuki:
TEHRAN (IQNA)-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano alionana na Rais Recep Tayyip Erdogan na ujumbe alioandamana nao hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3471205    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/05

TEHRAN (IQNA)-Mtu moja aliyemsikia mwanachama wa chama chenye chuki dhidi ya Uislamu akiwataka watu waisome Qur'ani kwa lengo la kuikosoa alifuata ushauri huo lakini kinyume na ilivyotarajiwa, alipata muongozo na kusilimu.
Habari ID: 3471204    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/04

TEHRAN (IQNA)-Bunge la Ufilipino limepitisha muswada wa sheria ya kutangaza tarehe mosi Februari kila mwaka kuwa Siku ya Kitaifa ya Hijabu nchini humo.
Habari ID: 3471201    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/02

TEHRAN (IQNA)-Msichana mwenye umri wa miaka 10 ataiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Shaikha Fatima Bint Mubarak ya Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE.
Habari ID: 3471198    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/29

TEHRAN (IQNA)-Polisi katika mkoa wa Xinjiang kaskazini magharibi mwa China wameamuru familia za Waislamu kukabidhi madhihirisho ya kidini hasa nakala za Qur'ani na misala.
Habari ID: 3471197    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/28

TEHRAN (IQNA)-Msikiti umeteketezwa moto katika mji wa Orebro kusini mwa Sweden katika tukio ambalo linaaminika kutekelezwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3471194    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/26

TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kiislamu Misri Sheikh Mohamed Mokhtar Gomaa amesema wizara yake itaanzisha shule za Qur’ani katika misikiti yote mikubwa nchini humo.
Habari ID: 3471193    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/26

TEHRAN (IQNA) Jumuiya ya Kiislamu ya Maelewano ya Kitaifa ya Bahrain (Al Wefaq) imelaani hatua ya vikosi vya usalama kuhujumu madhihirisho ya Ashura na kuendelea kuzingirwa nyumba ya mwanazuoni wa Kiislamu Sheikh Issa Qassim.
Habari ID: 3471189    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/24

TEHRAN (IQNA)-Waislamu barani Ulaya wanahisi kuongezeka ubaguzi ambapo wawili kati ya watano (asilimia 40) wakisema wamekumbana na ubaguzi wakati wa kutafuta kazi, nyumba au huduma za umma kama vile elimu an matibabu.
Habari ID: 3471186    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/22

Katika Hotuba Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amehutubu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuitahadharisha Marekani kuhusu hatua yoyote ya kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran.
Habari ID: 3471185    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/21

Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar ni ya kusikitisha huku akisisitiza udharura wa kuishinikiza serikali ya Myanmar ili isitishe mauaji ya kimbari na ukandamizaji dhidi ya Waislamu Warohingya.
Habari ID: 3471184    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/20

TEHRAN (IQNA)-Mama Muirani na watoto wake mapacha wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani kikamilifu.
Habari ID: 3471183    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/19

TEHRAN (IQNA)- Tarehe 16Septemba ni kumbukumbu ya ukatili wa kinyama uliotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kambi za Wapalestina za Sabra na Shatila mjini Beirut Lebanon.
Habari ID: 3471178    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/17

TEHRAN (IQNA)-Msikiti wa Jamia mjini Nairobi, Kenya umezindua kampeni ya kuwasiadia Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaokandamizwa na kuangamizwa kwa umati nchini Myanmar.
Habari ID: 3471176    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/16

TEHRAN (IQNA)-Wanawake waliowahi kushinda Tuzo ya Amani ya Nobel wamemwandikia barua kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar, Aung San Suu Kyi wakimtaka awatetee Waislamu wanaoendelea kuuawa nchini humo.
Habari ID: 3471174    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/15

TEHRAN (IQNA)-Halima Yacob amechaguliwa Jumatano kuwa mwanamke wa kwanzi rais wa Singapore.
Habari ID: 3471171    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/13

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa kimya na kutochukua hatua jumuiya za kimataifa na wanaojigamba kuwa watetezi wa haki za binadamu kuhusiana na matukio ya maafa yanayojiri Myanmar.
Habari ID: 3471169    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/12

TEHRAN (IQNA)-Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wamesisitiza kuhusu umuhimu wa kuchukuliwa hatua za haraka kumaliza mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
Habari ID: 3471167    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/11

TEHRAN (IQNA)- Mashidano ya 5 ya Qur'ani Tukufu yemamalizika Stockholm nchini Sweden Jumapili kw akutangazwa washindi.
Habari ID: 3471166    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/11

TEHRAN (IQNA)-Uchunguzi mpya wa hivi karibuni unaonyesha kwamba, vijana Waislamu wanaoishi nchini Uingereza wamekuwa waathirika wakubwa wa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na ubaguzi kuanzia shuleni, vyuo vikuu na hata maeneo ya kazi.
Habari ID: 3471164    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/09