iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Waislamu waliokuwa wameamka kutekeleza ibada za usiku za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani walifanikiwa kuokoa maisha ya watu wengi wakati wa kuanza kuteketea moto jengo la Grenfell Tower mjini London.
Habari ID: 3471019    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/15

TEHRAN (IQNA)-Waislamu katika mji mkuu wa Iceland, Reykjavik wanafunga masaa 22 kwa siku katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani kutokana na usiku kuwa mfupi katika ncha ya kaskazini duniani.
Habari ID: 3471017    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/12

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri Ustadh Farajullah Al-Shadhili ameaga dunia Jumatatu tarehe 10 Ramadhani, sawa na 5 Juni.
Habari ID: 3471010    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/06

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Canada wanachangisha pesa kusaidia familia za raia wa Somalia wanaokabilia na baa la njaa.
Habari ID: 3471003    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/01

TEHRAN (IQNA)-Wanawake Waislamu nchini Malawi sasa wanaweza kupigwa picha za leseni ya kuendesha gari wakiwa wamevaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471002    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/31

TEHRAN (IQNA)-Uingereza ni makaazi ya jamii anui ya Waislamu kutoka karibu pembe zote za dunia.
Habari ID: 3471001    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/30

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Malawi wameanza Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kuzinduliwa televisheni ya kwanza ya Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3471000    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/29

TEHRAN (IQNA)-Maulamaa wa Kiislamu nchini Tanzania wamesisitiza kuhusu kuhifadhi umoja wa wa Waislamu katika suala la mwezi mwandamo na kutangaza kuanza na kumalizika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470996    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/27

TEHRAN (IQNA)-Hatua ya mfalme wa Saudia kumpa mkono mke wa Rais Donald Trump wa Marekani akiwa safarini mjini Riyadh inaendelea kukosolewa na Waislamu duniani.
Habari ID: 3470995    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/26

TEHRAN (IQNA)- Sayyed Mostafa Husseini wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangazwa kushika nafasi ya pili katika qiraa katika Mashindano ya 5 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3470992    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/24

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa Saudi Arabia wanaendelea kuwaua na kuwakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa al-Awamiyah mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470985    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/19

TEHRAN (IQNA)-Uislamu unaenea kwa kasi nchini Zimbabwe huku wakaazi wengi wa nchi hiyo wakiwa sasa wanafahamu na kukubali mafundisho ya dini hiyo tukufu.
Habari ID: 3470981    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/15

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu yatafanyika nchini Uganda katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa ushirikiano wa Ofisi ya Utamaduni ya Iran na Radio Bilal nchini humo.
Habari ID: 3470980    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/14

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu Marekani viliongezeka kwa asilimia 57 mwaka uliopita wa 2016.
Habari ID: 3470974    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/11

TEHRAN (IQNA)- Shirikisho la Mpira wa Kikapu (basketiboli) Duniani (FIBA) limetangaza kuafiki pendekezo la Iran la kutaka wanawake Waislamu wenye Hijabu kushiriki katika michezo ya kimataifa ya basketiboli).
Habari ID: 3470970    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/06

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Sudan imesema inaunga mkono Madrassah za jadi za nchi hiyo zinazofunza Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470968    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/05

TEHRAN (IQNA)-Kenya imeazimia kuimarisha utalii 'Halal' ambao unalenga kuwavutia watalii Waislamu kwa kutoa huduma ambazo zinazingatia mfundisho ya dini tukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3470962    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/30

TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea hakiza binadamu la Human Rights Watch (HRW) limelaani vikali magenge ya wafuasi wa dini ya Kihindu wanaowahujumu na kuwaua Waislamu India kwa sababu tu ya kununua, kuuza au kichinja ng'ombe kwa ajili ya nyama.
Habari ID: 3470957    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/28

TEHRAN (IQNA)-Haafidh wa Qur'ani tukufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema Wakongomani wana hamu na shauku kubwa ya kujifunza Uislamu kiasi kwamba Wakristo wa nchi hiyo wanawapeleka watoto wao madrasa ili wakasomeshwe Qur'ani.
Habari ID: 3470955    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa kuufahamu na kuufanyia kazi usuli wa Qur'ani wa "Kumwamini Mwenyezi Mungu na kumpinga Shetani" kutaupa izza na heshima umma wa Kiislamu na akaongezea kwa kusema hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia.
Habari ID: 3470954    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/27