iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Muislamu mmoja nchini China amehukumiwa kifungo cha miaka 16 jela baada ya kupatikana na faili za sauti (Audio) za qiraa ya Qur'ani Tukufu kwenye kompyuta yake.
Habari ID: 3471291    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/02

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu barani Ulaya imekadiriwa kuongezeka kutoka milioni 25 hivi sasa hadi kufikika milioni 76 ifikapo mwaka 2050, uchunguzi umebaini.
Habari ID: 3471289    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/01

TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Wakatoliki duniani Papa Francis amejizuia kuwataja Waisalmu wa Rohingya alipohutubu Jumanne akiwa Myanmar pamoja na kuwa jamii hiyo ya waliowachache inakabiliwa na mauaji pamoja na maangamizi ya kizazi nchini humo.
Habari ID: 3471287    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/29

TEHRAN (IQNA)-Sheikhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed el-Tayeb amealikwa kuhudhuria Mkutanowa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utakaofanyika wiki ijayo mjini Tehran, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3471286    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/28

TEHRAN (IQNA)- Maimamu na wahubiri wa Kiislamu barani Ulaya wameshiriki katika mkutano wa siku moja mjini Brussels Ubelgiji kwa kusisitiza kuhusu ujumbe wa amani wa Qur’ani Tukufu kwa wanadamu wote.
Habari ID: 3471284    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/27

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Saudi Arabia imewapiga marufuku mahujaji na wafanyaziara kupiga picha au kuchukua video kwa kutumia chombo chochote katika Misikiti Miwili Mitakatifu ya Kiislamu ya Makka na Madina.
Habari ID: 3471279    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/25

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 305 wameuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulizi la magaidi wa Kiwahhabi dhidi ya msikiti mmoja wa Twariqa katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.
Habari ID: 3471278    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/24

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Bosnia Herzegovina wanaendelea na sherehe za Maulidi ya Bwana Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3471276    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuhitimishwa satwa ya mti khabithi wa kundi la kigaidi la ISIS ni pigo kwa serikali za huko nyuma na za sasa za Marekani pamoja na tawala vibaraka na tegemezi kwa Washington katika Mashariki ya Kati ambazo zililianzisha kundi hili na kuliunga mkono kwa hali na mali ili zitanue satwa zao katika eneo hili na hivyo kuufanya utawala ghasibu wa Israel uwe na udhibiti wa eneo hili.
Habari ID: 3471274    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/22

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 50 wameuawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3471273    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/21

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani imeilisaidia kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mapigano ya hivi majuzi katika mji wa al Bukamal nchini Syria hatua ambayo inakinzana na madai ya Washington kwamba inapambana na ugaidi
Habari ID: 3471272    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/21

TEHRAN (IQNA)-Polisi nchini Uganda wamepata mafunzo kuhusu sheria za familia na watoto katika dini tukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3471270    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/19

TEHRAN (IQNA)- Waislamu 7 wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika hujuma dhidi yao mjini Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Habari ID: 3471263    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/14

TEHRAN (IQNA)-Tafrani iliibuka Ijumaa katika kitongoji kimoja cha mji mkuu wa Ufaransa Paris, baada ya baadhi ya wakazi wa mji kujaribu kuwazuia Waislamu kuswali Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471258    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/11

TEHRAN (IQNA)-Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametakiwa amuachilie huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anashikiwa kwa miaka miwili sasa bila kufunguliwa mashtaka baada ya wanajeshi kuvamia makao yake na kumjeruhi vibaya.
Habari ID: 3471256    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/10

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Marywood katika jimbo la Pennsylvania nchini Marekani kimepanga kuandaa ‘Siku ya Kuvaa Hijabu’ mnamo Novemba 15.
Habari ID: 3471253    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07

TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa pili wa kimataifa kuhusu qiraa au usomaji wa Qur’ani Tukufu umefanyika katika mji wa Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3471252    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07

TEHRAN (IQNA)-Waziri Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuishinikiza Myanmar isitishe ukandamizaji wa Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
Habari ID: 3471248    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/05

TEHRAN (IQNA)-Idhaa ya Qur'ani nchini Tunisia imesitisha matangazo yake baada ya serikali ya nchi hiyo kuipiga marufuku kutokana na kueneza itikadi za ukufurishaji.
Habari ID: 3471247    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/04

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa pili wa kimataifa wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama au mapambano ulianza hapo jana Jumatano katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kwa kaulimbiu ya "Umoja kwa ajili ya Palestina-Israel inaelekea kutoweka".
Habari ID: 3471244    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/02