iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Canada wamekuwa na mchango mkubwa na ni rasilimali muhimu kwa nchi amesema Waziri Mkuu Justin Trudeau katika ujumbe wake kwa Kongamano la Kuhuisha Uislamu.
Habari ID: 3471322    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/24

TEHRAN (IQNA)-Waislamu maeneo mbali mbali duniani wamebaiisha hasira zao kufuatia matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain aliyeandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa eti kadhia ya Quds na Palestina si muhimu bali ni suala la pembeni tu.
Habari ID: 3471320    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/22

TEHRAN (IQNA)-Duru ya 19 ya "Wiki ya Kitaifa ya Qur'ani" ya Algeria imeanza kuadhimishwa Disemba 19 katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3471319    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/21

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Finland imekataa kutoa idhini ya ujenzi wa msikiti uliokuwa umepangwa kufadhiliwa na Bahrain katika mji mkuu wa nchi hiyo, Helsinki.
Habari ID: 3471318    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/21

TEHRAN (IQNA)-Katika kuendeleza ukatili dhidi ya Waislamu, wanajeshi wa Myanmar wamemkamata mtoto aliyekuwa amehifadhi Qur'ani na kisha kumuua katika jimbo la Rakhine.
Habari ID: 3471317    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/20

TEHRAN (IQNA)-Baraza Kuu la Benki na Taasisiza Kifedha za Kiislamu (CIBAFI) limepanga limetangaza kuwa kikao chake cha tatu cha kimataifa kitafnayika Aprili 18-19 mwakani mjini Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3471313    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/17

إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ “Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na Kwake Yeye tutarejea"
TEHRAN (IQNA)-Sheikh Shaaban al Jundi, qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka mkoa wa Beni Suef nchini Misri ameaga dunia hivi karibuni baada ya kuadhini katika moja ya misikiti ya mkoa huo.
Habari ID: 3471312    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/17

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu bila ya masharti yoyote kwa ajili ya kuitetea Quds tukufu na kusema adui mkubwa wa Wayahudi si Waislamu wala Waarabu bali ni mradi hatari sana wa Wazayuni.
Habari ID: 3471309    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/14

TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Kibuddha wa Myanmar umebomoa misikiti 16 kati ya 17 katika vijivi vya eneo Haindafar katika jimbo la Rakhine lenye Waislamu wa jamii ya Rohingya.
Habari ID: 3471308    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/13

TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya wageni 20,000 kutoka kote duniani wanahudhuria sherehe za Maulid ya Mtume SAW inayofanyika katika Kisiwa cha Lamu katika Pwani ya Kenya.
Habari ID: 3471307    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/12

TEHRAN (IQNA)-Waislamu wamehimizwa kujifunza kuhusu mfumo wa Uchumi wa Kiislamu sambamba na mifumo mingine ya kiuchumi.
Habari ID: 3471306    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/12

TEHRAN (IQNA)-Shirika la mavazi ya michezo la Nike limeanza kuuza 'Hijabu ya Wanamichezo' ambayo ni maalumu kwa wanamichezo wa kike Waislamu wanaotaka kujisitiri.
Habari ID: 3471305    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/11

TEHRAN (IQNA)-Wanafunzi wapatao 14,000 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika awamu ya 57 ya Mashindano ya Qurani katika shule za Qatar.
Habari ID: 3471304    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/11

TEHRAN (IQNA)-Muislamu mmoja nchini China amehukumiwa kifungo cha miaka 16 jela baada ya kupatikana na faili za sauti (Audio) za qiraa ya Qur'ani Tukufu kwenye kompyuta yake.
Habari ID: 3471291    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/02

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu barani Ulaya imekadiriwa kuongezeka kutoka milioni 25 hivi sasa hadi kufikika milioni 76 ifikapo mwaka 2050, uchunguzi umebaini.
Habari ID: 3471289    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/01

TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Wakatoliki duniani Papa Francis amejizuia kuwataja Waisalmu wa Rohingya alipohutubu Jumanne akiwa Myanmar pamoja na kuwa jamii hiyo ya waliowachache inakabiliwa na mauaji pamoja na maangamizi ya kizazi nchini humo.
Habari ID: 3471287    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/29

TEHRAN (IQNA)-Sheikhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed el-Tayeb amealikwa kuhudhuria Mkutanowa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utakaofanyika wiki ijayo mjini Tehran, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3471286    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/28

TEHRAN (IQNA)- Maimamu na wahubiri wa Kiislamu barani Ulaya wameshiriki katika mkutano wa siku moja mjini Brussels Ubelgiji kwa kusisitiza kuhusu ujumbe wa amani wa Qur’ani Tukufu kwa wanadamu wote.
Habari ID: 3471284    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/27

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Saudi Arabia imewapiga marufuku mahujaji na wafanyaziara kupiga picha au kuchukua video kwa kutumia chombo chochote katika Misikiti Miwili Mitakatifu ya Kiislamu ya Makka na Madina.
Habari ID: 3471279    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/25

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 305 wameuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulizi la magaidi wa Kiwahhabi dhidi ya msikiti mmoja wa Twariqa katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.
Habari ID: 3471278    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/24