IQNA: Daktari mwenye umri wa miaka 32 anatarajia kuwa Mwislamu kwa kwanza gavana nchini Marekani baada ya kutangaza nia ya kugombea ugavana wa jimbo la Michigan.
Habari ID: 3470875 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/03
IQNA-Tuko katika mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra SA binti mtukufu wa Bwana Mtume SAW na mwanamke bora duniani na Akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema.
Habari ID: 3470874 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/02
IQNA-Umoja wa Mataifa umesema ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa Myanmar umefikia kiwango cha kutia wasi wasi na ni mkubwa zaidi ya ilivyodhaniwa.
Habari ID: 3470871 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/28
IQNA-Mwanae bingwa wa masumbwi duniani marehemu Muhammad Ali, ametiwa mbaroni katika uwanja wa ndege wa jimbo la Florida nchini Marekani kwa sababu tu an jina la Kiislamu.
Habari ID: 3470868 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/26
Rais Hassan Rouhani wa Iran
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina ndiyo kadhia muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel ni utawala pandikizi, mzaliwa wa Magharibi unaovunja haki za binadamu.
Habari ID: 3470865 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/22
IQNA-Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.
Habari ID: 3470860 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/20
IQNA-Maonyesho ya kwanza ya mavazi ya Hijabu yamefanyika mjini London na kuwavutia mamia ya wanawake waliokuwa wakitafuta mitindo bora yenye kuzingatia misingi ya Kiislamu.
Habari ID: 3470858 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/19
IQNA-Idadi ya makundi yanayowapinga Waislamu yammeongezeka karibu mara tatu Marekani mwaka 2016 baada ya kuanza kampeni za urais za Donald Trump.
Habari ID: 3470853 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/17
Katika Mkutano wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu Morocco
IQNA:Mkutano wa saba mkuu wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Ulimwengu wa Kiislamu katika kulinda utambulisho wa Kiislamu wa "Quds Tukufu" umefanyika nchini Morocco.
Habari ID: 3470852 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/16
IQNA: Waislamu nchini Marekani wameingiwa na hofu Zaidi baada ya mabango yenye maandishi ya "Marekani isiyo na Waislamu'' kupatikana Jumatatu katika Chuo Kikuu cha Rutgers mjini New Jersey siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3470850 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/15
IQNA: Harakati ya Kiislamu Nigeria (INM) imetahadharisha kuwa kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky huenda akapoteza uwezo wa kuona na kuwa kipofu akiwa kizuizini.
Habari ID: 3470849 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/14
IQNA-Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimempongeza Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis kwa msimamo wake wa kulaani mauaji na ukandamizaji wa Waislamu nchini Myanmar.
Habari ID: 3470843 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/11
IQNA: Mahakama ya Rufaa katika jimbo la Lagos nchini Nigeria imetoa hujumu ya kupinga amri ya serikali ya jimbo hilo kupiga marufuku vazi la Hijabu kuvaliwa na washichana Waislamu shuleni.
Habari ID: 3470840 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/08
IQNA: Serikali ya Jordan imekosolewa vikali kwa kuondoa zaidi ya aya 290 za Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume SAW katika vitabu vya shule nchini humo.
Habari ID: 3470837 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07
Mwanamke Mwislamu mkaazi wa Uhispania
IQNA: Bi. Bushra Ibrahimi ni Mwislamu mkaazi wa Uhispania ambaye anasema Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya wanakumbwa na masaibu mengi.
Habari ID: 3470836 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/06
IQNA-Siku ya Hijabu ya Waridi imefanyika Jumamosi katika mji wa Dar es Salaam, Tanzania kwa lengo la kuhimiza uvaaji vazi hilo la staha la mwanamke Mwislamu.
Habari ID: 3470834 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/05
Umoja wa Mataifa
IQNA-Umoja wa Mataifa umesema mamia ya Waislamu wa kabila la Rohingya wameuawa nchini Myanmar katika ukandamizaji wa miezi ya hivi karibuni katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3470831 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/03
Ubaguzi wa Trump
IQNA: Polisi nchini Marekani wamemtia mbaroni na kumfunga pingu mtoto wa miaka mitano Muirani katika hatua ya ubaguzi iliyojiri huko Uwanja wa Ndege wa Jimbo la Virginia.
Habari ID: 3470830 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02
IQNA: Gaidi Mkristo aliyewaua Waislamu sita katika msikiti mmoja nchini Canada amebainika kuwa mfuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani.
Habari ID: 3470827 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/01
IQNA: Bangladesh imesema itatekeelza mpango wake tata wa kuwapalekea wakimbizi Waislamu kutoka Myanmar katika kisiwa kilicho mbali sana.
Habari ID: 3470824 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31