waislamu - Ukurasa 83

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Askari wa utawala wa kiimla na kikabila wa Saudi Arabia wametekeleza hujuma za kijeshi katika makazi ya Waislamu wa madehebu ya Shia ya mji wa Al-Awamiyah, mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471093   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30

TEHRAN (IQNA)-Wakuu wa vyuo vikuu vya nchi za Kiislamu wamekutana Ankara, mji mkuu wa Uturuki na kujadili kuundwa Baraza Kuu la Kiislamu la Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3471091   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27

TEHRAN (IQNA) Uchunguzi umebaini kuwa, asilimia 74 ya Waislamu nchini Marekani wanapinga namna rais Donald Trump wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471088   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27

TEHRAN (IQNA)-Waalimu wa shule za Kiislamu (Madrassah) nchini Uganda wameshiriki katika warsha ya kuimarisha ujuzi wao.
Habari ID: 3471083   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/24

TEHRAN (IQNA)-Wanajeshi 15,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel leo wameuzingira msikiti wa al-Aqsa na kuwazuia Waislamu kuswali Ijumaa huku kukiwa na sheria kali za usalama.
Habari ID: 3471077   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/21

TEHRAN (IQNA)-Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu Marekani kutokana na rais Donald Trump wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471074   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18

TEHRAN (IQNA)-Tamasha la Chakula Halal mjini Toronto, Canada, ni tamasha kubwa zaidi la chakula Halal eneo la Amerika Kaskazini na mwaka huu limewavutia Waislamu wengi waliojivunia mafanikio yao katika jamii.
Habari ID: 3471073   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18

TEHRAN (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu wameushambulia na kuuharibu vibaya msikiti katika mji wa Manchester, Uingereza.
Habari ID: 3471072   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18

TEHRAN (IQNA)- Katika kuendelea ukiukaji wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia, utawala wa Aal Saud umewanyonga raia wanne wa nchi hiyo wa mji wa Qatif.
Habari ID: 3471065   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/14

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu wanaoingia Marekani imepungua katika miezi mitano ya kwanza ya utawala wa Rais Donald Trump.
Habari ID: 3471064   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/13

TEHRAN (IQNA)-Kwa muda wa takribani miezi miwili mtaa wa al Mosara katika mji wa Awamiyah nchini Saudi Arabia umekuwa chini ya mzingiro wa wanajeshi ambao wametekeleza uharibifu mkubwa na kuwaua raia kadhaa.
Habari ID: 3471060   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10

TEHRAN (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia wanawalenga zaidi wanawake wenye kuvaa Hijabu, ripoti mpya imebaini.
Habari ID: 3471059   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10

TEHRAN (IQNA)-Maimamu wa misikiti barani Ulaya wameanzisha kampeni amani kwa kutemeblea miji iliyoshambulia na magaidi kwa jina la dini huku wakilaani ugaidi na misimamo mikali.
Habari ID: 3471057   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/09

TEHRAN (IQNA)-Watu 158 wamesilimu nchini Oman katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3471055   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/07

Waziri Mkuu wa India safarini Tel Aviv
TEHRAN (IQNA)-Narendra Modi, Waziri Mkuu wa India anatembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel na kukutana na wakuu wa utawala huo wa Kizayuni lakini hatakutana na viongozi wa Palestina.
Habari ID: 3471051   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/05

TEHRAN (IQNA)- Waislamu 8 wamejeruhiwa baada ya kufyatuliwa risasi na magaidi mbele ya mlango wa msikiti kusini mwa Ufaransa.
Habari ID: 3471050   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran ametaka vyombo vya mahakama nchini viwatetee Waislamu wanaodhulumiwa duniani
Habari ID: 3471049   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/04

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel sasa utatimiza ndoto yake ya muda mrefu ya kuuteka mji mtakatifu wa Makka kupitia msaada wa Muhammad bin Salman, mrithi mpya wa kiti cha ufalme nchini humo.
Habari ID: 3471048   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/03

TEHRAN (IQNA)-Wamarekani ambao wamebadilisha dini au itikadi na kuwa Waislamu wanakumbwa na matatizo maradufu zaidi ya Waislamu wengine Marekani.
Habari ID: 3471043   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/30

TEHRAN (IQNA)-Algeria imetoa msaada wa mamia ya nakala za Qur'an Tukufu kwa ajili ya Waislamu nchini Russia.
Habari ID: 3471039   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/28