iqna

IQNA

Mashindano ya Qur;ani
IQNA - Sherehe za kufunga toleo la 27 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai ambayo hujulikana rasmi kama Tuzo la Kimataifa la Qur'ani Tukufu la Dubai (DIHQA) zilifanyika katika mji wa UAE Jumamosi jioni.
Habari ID: 3478565    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/24

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 13 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478564    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/24

Diplomasia ya Qur’ani
IQNA - Kongamano lililopewa jina la "Hadhi ya Qur'ani Tukufu katika Afrika ya Sasa" lilifanyika katika Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu Ijumaa usiku.
Habari ID: 3478561    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Kadhia ya Palestina
IQNA - Wakati utawala haramu wa Israel umeweka vikwazo vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds, zaidi ya waumini 100,000 wa Kipalestina walishiriki katika Swala maalum ya mwezi wa Ramadhani kwenye msikiti huo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478560    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Thailand kimefanya maonyesho ya Qur'ani katika Kituo cha Kiislamu cha Bangkok.
Habari ID: 3478559    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 12 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478558    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Awamu ya 20 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchiniTanzania yatang’oa nanga jijini Dar es Salaam siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3478557    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Umrah
IQNA - Wakaazi wa mji mtakatifu wa Makka nchini Saudia wamehimizwa kutoa kipaumbele kwa Mahujaji wa kigeni katika Masjid al-Haram au Msikiti Mkuu.
Habari ID: 3478555    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Kuna maandishi mengi ya Qur'ani Tukufu yanayohifadhiwa kwenye Maktaba ya Astan Quds Razavi mjini Mashhad, nchini Iran, ukiwemo Mus'haf Mashhad ambao umetajwa ni nakala kamili zaidi katika maandishi ya Kikufi ya Hijaz.
Habari ID: 3478554    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 11 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478553    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 31 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yalizinduliwa rasmi katika hafla ya Jumatano jioni, Machi 20.
Habari ID: 3478552    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/21

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 10 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478551    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/21

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 9 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478550    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/20

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478548    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478547    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/24

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478546    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478545    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478544    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/21

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478543    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/20

Ujumbe wa Qur'ani
IQNA - Mchezaji nyota wa Hollywood, Will Smith amesema amavutiwa sana na Qur'ani Tukufu, na kuongeza kuwa kisa cha Nabii Musa (AS) katika Qur'ani kilikuwa na athari ya kusisimua kwake.
Habari ID: 3478542    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/19