ramadhani - Ukurasa 10

IQNA

Wapalestina katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Rais wa Jumuiya ya Wahubiri wa Kiislamu Palestina ametoa wito kwa Waislamu wote wanaofunga mwezi mtukufu wa Ramadhani waombe dua kwa ajili kukomeshwa mateso na masaibu wanayokumbana nao watu wa Gaza.
Habari ID: 3478495    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Timu inayohusika katika utayarishaji wa "Mahfel", kipindi cha Televishecni cha Qur’ani cha Ramadhani nchini, imefanya juhudi za kuimarisha ubora wa kipindi hicho kat ika msimu wake wa pili.
Habari ID: 3478494    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya kwanza ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478493    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Ibada Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478492    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Ramadhani Marekani
IQNA – Mwezi mtukufu wa Ramadhani ulipoanza, mkusanyiko mzuri wa waumini wa Kiislamu ulibadilisha Times Square ya New York kuwa eneo la umoja na ibada.
Habari ID: 3478489    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Hali ya Gaza
IQNA – Jumuiya ya Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) imetoa wito kwa Waislamu kutoa Zaka na sadaqa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ili kuwaunga mkono watu wa Gaza.
Habari ID: 3478488    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mmoja wa wataalam na majaji wa "Mahfel", kipindi cha Qur'ani kitakachorushwa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, anasema alishangazwa na ubora wa hali ya juu wa wageni katika msimu wa pili.
Habari ID: 3478487    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Nchi kadhaa zimetangaza Jumatatu, Machi 11, kuwa siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu, huku zingine zingine zikitangaza kuwa kuwa ni keshi Jumanne.
Habari ID: 3478486    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Ramadhani Palestina
IQNA - Waislamu wa Palestina huko Gaza wamebakia imara katika Imani na hivyo wana azma ya kutekeleza ibada zote za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kukusanyika katika mabaki ya misikiti iliyoharibiwa na mabomu ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3478485    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Msururu wa kozi za mafunzo zimefanyika hivi karibuni ili kuwafundisha wanawake 1,352 wanaojitolea kuwasaidia waumini wanaoelekea kwenye Msikiti wa Mtume yaani Al-Masjid an-Nabawi, eneo la pili kwa utakatifu katika Uislamu, katika mji wa Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3478473    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Fanous (taa) imekuwa ishara ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika baadhi ya nchi kwa mamia ya miaka. Taa hii pia ni maarufu kama Fanous Ramadhan.
Habari ID: 3478470    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Hali ya Palestina
IQNA - Mashambulio yasiyokoma ya utawala katili wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza uliozingirwa yamewanyima Waislamu duniani furaha ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478469    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Umrah
IQNA – Waislamu wanaotekeleza Hija ndogo Umrah ndio pekee wataruhusiwa kufanya Tawaf (kuzunguka Kaaba Tukufu) katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al-Haram, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478465    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07

Kadhia ya Palestina
IQNA - Msemaji wa Harakati ya Ansarullah inayotawala Yemen amesisitiza kwamba jambo muhimu zaidi kwa Waislamu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni uungaji mkono kwa Wapalestina wanaoteseka huko Gaza.
Habari ID: 3478464    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07

Ramadhani
IQNA - Barabara kuu ya kati huko Frankfurt, Ujerumani, itapambwa kwa taaza zenye nembo za hilali nyota na mapambo mengine kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478463    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07

Kadhia ya Palestina
IQNA - Utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina umetangaza siku ya Jumanne kwamba utawaruhusu waumini kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa katika eneo la Quds (Jerusalem) katika wiki ya kwanza ya mwezi wa Ramadhani, na hivyo kutupilia mbali mpango wa awali wa kuweka vizuizi.
Habari ID: 3478461    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mazulia katika Al-Rawdah Al-Sharifa katika Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) huko Madina yamebadilishwa kwa ajili ya maandalizi ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478460    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Kama ilivyokuwa miaka ya nyuma, Misri inapanga kutuma wasomaji Qur'ani na wahubiri katika nchi mbalimbali katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3478459    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Tovuti ya kielektroniki imezinduliwa nchini Saudi Arabia ambapo watu wanaweza kuomba vibali vya kula futari kwa makundi kwenye Msikiti Mkuu wa Makaa
Habari ID: 3478455    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/05

Kadhia ya Palestina
IQNA - Makundi kadhaa ya wapigania ukombozi wa Palestina yametoa wito kwa watetezi wa haki kote ulimwenguni kujiunga na kampeni ya kimataifa iliyopewa jina la "Kimbunga cha Ramadhani.
Habari ID: 3478449    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/04