iqna

IQNA

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Katika utamaduni wa Kiislamu, Ijumaa ni maalum kwa ajili ya ibada na kujumuika familia. Wakati huo huo, Ijumaa huwa muhimu zaidi katika mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani kwa sababu mwezi huu ni bora kuliko nyakati zingine zote.
Habari ID: 3476822    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa Makao Makuu ya Intifadha na Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran amesema nara na kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa Quds mwaka huu ni : "Palestina ni mhimili wa Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na Quds (Jerusalem) Inakaribia Kukombolewa."
Habari ID: 3476811    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3476792    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Wauguzi kadhaa wasio Waislamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanafunga kula na kunywa wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa vile wanataka kuonyesha mshikamano na wenzao Waislamu katika mwezi huu.
Habari ID: 3476785    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3476782    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3476771    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Ramadhani ni mwezi uliobarikiwa ambapo Mtume Muhammad SAW aliteremshiwa Qur’ani Tukufu. Ni mwezi ambao Waislamu hutumia muda mwingi kusoma na kutafakari kuhusu Qur’ani Tukufu. Ifuatayo ni kisomo cha qarii mashuhuri wa wa Misri marehemu Sheikh Mustafa Ismail kuhusu mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476763    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/26

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Kuna Hadithi nyingi kuhusu umuhimu na fadhila za mwezi mtukufu wa Ramadhani na miongoni mwazo ni hotuba ya Mtukufu Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3476758    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Rais William Ruto wa Kenya amewatumia Waislamu salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka 1444 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3476754    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Qarii wa Qur'ani ni mfikishaji wa ujumbe na risala ya Mwenyezi Mungu na ili kufikisha ujumbe huo kwa njia nzuri ana haja ya kuwa na sauti nzuri na usomaji bora kabisa.
Habari ID: 3476750    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Nchi nyingi za Kiislamu katika eneo la Asia Magharibu au Mashariki ya Kati zimetangaza Alhamisi, Machi 23, kuwa mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476741    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatarajiwa kuanza wiki ijayo na Waislamu duniani wanasubiri kwa hamu kubwa kuanza kufunga katika mwezi huo mtukufu.
Habari ID: 3476732    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Darul Qur'an al-Karim ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapanga kufanya duru 2,500 za usomaji wa Qur'ani nchini wakati wa mwezi mtukufu ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3476712    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Saa za kazi kwa wafanyakazi wa sekta binafsi zitapunguzwa kwa saa mbili wakati wa Mwezi Mtukufu Ramadhani katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3476702    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)-Ripoti ya hivi imebaini miji ya dunia ambako Waislamu hufunga saa nyingi zaidi na wale ambao hufunga saa chache zaidi.
Habari ID: 3476674    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/07

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)-Mpango mkubwa wa kuwahudumia waumini wapatao milioni 3 katika maeneo matakatifu zaidi ya Kiislamu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani unaokuja ulizinduliwa nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476656    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04

Saumu ya Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mwezi mtukufu wa Ramadhani unapokaribia, shirika la misaada la Diabetes UK linatoa msaada na ushauri kwa Waislamu walio na kisukari.
Habari ID: 3476642    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/01

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Baraza la Dunia la Ahl-ul-Bayt (AS) alisisitiza haja ya kuandaa vikao vya Qur’ani katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Ahl-ul-Bayt (AS) katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476638    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho ya Victoria na Albert la London limeaandaa mkutano kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476623    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/25

Mwezi wa Ramadhanii
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imezindua kampeni ya kusafisha misikiti nchini humo kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476560    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14