IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 8 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mahdi Qarasheikhlu, Masoud Nouri, Hossein Fardi, and Saeed Parvizi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480332 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/09
IQNA – Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn imezindua toleo la pili la mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa Tarteel kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480327 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/08
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 7 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mahdi Qarasheikhlu, Masoud Nouri, Hossein Fardi, and Saeed Parvizi.
Habari ID: 3480325 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/08
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 6 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mohammadreza Purzargari, Mahdi Qarasheikhlu, na Mohamad Javad Jaberi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480319 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 5 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na qarii maarufu wa Iran Ustadh Ahmad Abolghasemi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480313 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/06
IQNA – Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani jijini Tehran yataangazia ushiriki wa familia na vijana, yakionyesha mafanikio ya Qur'ani nchini Iran, amebaini mkuu wa tukio hilo.
Habari ID: 3480303 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/04
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 2 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqarii wanne maarufu wa Iran ambao ni: Saeed Parvizi, Hossein Fardi, Mahdi Gholamnejad, na Jafar Fardi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480298 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran sambamba na kuwapongeza viongozi na mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani, ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuutumia mwezi huu wa baraka kama chachu ya kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano miongoni mwao.
Habari ID: 3480297 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Tamasha la pili la Futari ya Kimataifa litafanyika katika Chuo Kikuu cha Ahl-ul-Bayt (AS) jijini Tehran wiki ijayo.
Habari ID: 3480296 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amesema kuwa tiba ya magonjwa yote ya kiroho na kimaadili ya binadamu inapatikana ndani ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480292 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Mamlaka ya Jumla ya Saudia ya Huduma za Mambo ya Msikiti Mkuu wa Makka, Masjidul al Haram na Msikiti wa Mtume, Al Masjid an Nabawi, imetangaza kwamba usajili wa itikafu kwenye maeneo hayo mawili matakatifu utaanza Jumatano, Machi 5.
Habari ID: 3480289 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/02
IQNA – Takriban Wapalestina 70,000 walikusanyika katika eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu ili kuswali siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu Ramadhani.
Habari ID: 3480287 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/02
IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imewataka Wapalestina kufika katika Msikiti wa Al-Aqsa katika al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, ikiwahimiza kushiriki katika ibada, ikiwemo itikafu.
Habari ID: 3480283 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/01
IQNA – Ofisi ya kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, imetangaza Jumapili, Machi 2, kuwa siku ya kwanza ya Ramadhani katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3480281 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/01
IQNA – Chini ya "Mpango wa Wasomaji Mahiri," wasomaji 170 wa kipekee wa Qur'ani Tukufu watateuliwa kwa misikiti huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu, kuongoza waumini wakati wa sala za Ramadhani.
Habari ID: 3480279 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
IQNA – Huku mwezi mtukufu wa Ramadhani ukikaribia, kumekithiri kampeni za kususia tende zinazozalishwa au kufungashwa katika maeneo ya Palestina ambayo yametekwa na kukaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3480272 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/26
IQNA – Mpango wa usimamizi wa mwezi mtukufu wa Ramadhan umezinduliwa katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3480270 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/26
IQNA – Inaripotiwa kuwa utawala haramu wa Israel unazingatia kutekeleza vikwazo vipya kuhusu kuingia Waislamu katika Msikiti wa Al-Aqsa na eneo lake la karibu katika Mji wa Kale wa al-Quds (Jerusalem) kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480266 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25
Utamaduni
IQNA – Ramadhani ni mwezi wa tisa na mtukufu zaidi katika kalenda ya Kiislamu, ambapo Waislamu hufunga kutoka alfajiri hadi machweo.
Habari ID: 3480265 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25
IQNA – Nchini Misri, Wizara ya Wakfu imeanzisha kampeni ya kitaifa ya kusafisha na kuandaa misikiti kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480259 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23