IQNA – Saudi Arabia imeanzisha kanuni mpya zinazozuia matumizi ya kamera katika misikiti hasa kupiga picha maimamu na waumini wakati wa Sala katika mwezi ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3480252 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22
IQNA – Wanafunzi Waislamu katika shule moja ya California ambao wanafunga wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani watapewa ‘chakula cha kubeba’ na shule hiyo.
Habari ID: 3480251 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22
IQNA – Kampeni iliyopewa jina “Kwa Jina la Ushindi” imezinduliwa na Taasisi ya Astan Quds Razavi (Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Ridha -AS-) nchini na itaendelea hadi mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480238 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Televisheni ya Qur'ani ya Misri itarusha vipindi mbalimbali vya Qur'ani ili kuongeza hali ya kiroho katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480234 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Wazazi na walimu nchini Marekani wametakiwa kuhudhuria webinari (warsha za mtandaoni) mbili zijazo zinazolenga kuunga mkono wanafunzi Waislamu wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480210 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/13
Qiraa ya Qur'ani
IQNA – Sheikh-ul-Qurra (mbora wa maqari) wa Bangladesh ni miongoni mwa maqari ambao qiraa yake imevutia wengi katika cha Televisheni cha Mahfel.
Habari ID: 3478678 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yamemalizika tamati, huku qari wa Iran Ustadh Mostafa Hemmat Qassemi akishinda tuzo ya juu zaidi.
Habari ID: 3478668 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11
Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478665 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10
Idul Fitr
IQNA - Ramadhani, mwezi wa ibada na kujitolea, unafikia kilele kwa Waislamu kujiandaa kupokea malipo yao kutoka kwa Mwenyezi Mungu baada ya mwezi wa saumu na ibada.
Habari ID: 3478663 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10
Sikukuu ya Idul Fitr
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
Habari ID: 3478662 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10
IQNA - Mamilioni ya Waislamu duniani kote husherehekea mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa matukio tofauti kama vile usomaji wa Qur'ani, futari ya pamoja na sala za jamaa.
Habari ID: 3478658 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09
Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478657 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09
Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 28 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478655 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08
Ramadhani
IQNA - Qari wa Iran Ustadh Hamed Shakernejad na Qari wa Kuwait Sheikh Abdullah Abul Hassan wamesoma Qur'ani kwa mtindo wa Munafisah katika kipindi maarufu cha televisheni cha Qur'ani nchini Iran kinachojulikana kama Mahfel.
Habari ID: 3478651 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08
Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478649 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09
Ramadhani
IQNA-Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478648 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08
Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 27 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478643 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara 2024 walitunukiwa katika hafla iliyofanyika Doha, Qatar, Ijumaa.
Habari ID: 3478642 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07
Ramadhani
IQNA - Kufunga au saumu ni jambo la kawaida katika tamaduni na dini nyingi ulimwenguni kwa milenia.
Habari ID: 3478640 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06
Laylatul Qadr
IQNA-Katika mkusanyiko wa kihistoria, Waislamu milioni 2.5 walikusanyika na kusali katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram, Saudi Arabia, siku ya Ijumaa kuhusiha mojawapo ya usiku mtukufu zaidi wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3478638 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06