iqna

IQNA

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478511    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478510    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478509    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/16

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478508    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/15

Ramadhani 1445 H
Ayatullah Sayyid Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislam mnamo Machi 13, siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1445 H, kama ilivyo ada kila mwaka wakati huu, alishiriki kwenye mahfali ya kushikamana na kuwa karibu na Qur'ani Tukufu iliyofanyika jijini Tehran. Hizi hapa ni picha za tukio hilo lililojaa nuru.
Habari ID: 3478507    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Mwezi wa Ramadhani
IQNA- Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478505    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Ramadhani katika Qur’an/1
IQNA – Qur’ani Tukufu inataja neno Ramadhani mara moja na hilo lipo katika Aya ya 185 ya Surah Al-Baqarah.
Habari ID: 3478504    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Kadhia ya Palestina
IQNA - Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) amesema nchi za Kiislamu zinapaswa kuunga mkono kikamilifu Afrika Kusini katika kesi yake ya kisheria dhidi ya utawala wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ)
Habari ID: 3478502    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Umrah
IQNA - Matayarisho yote yamefanywa ili kuhakikisha mchakato mzuri na uliorahisishwa wa taratibu za kuwasili na kuondoka kwa wanaofika Saudia kwa ajili ya Hija ndogo ya Umrah wakati wa Mwezi wa Ramadhani.
Habari ID: 3478501    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Qur'ani katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, usomaji wa Qur'ani ni sanaa takatifu na inabidi lengo lake kuu liwe ni kuwafundisha watu na jamii maana na ujumbe uliomo kwenye Qur'ani na kuandaa mazingira ya kuzingatiwa aya za Kitabu hicho Kitakatifu kama ambavyo pia kilele cha istiqama ya wananchi wa Gaza kinatokana na kuielewa na kuifanyia kazi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478499    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Mwezi wa Ramadhani na Diplomasia
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza viongozi na wananchi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema kuwa, ni wajibu wa viongozi wa nchi za Kiislamu kuhimiza na kudumisha amani na undugu baina ya Waislamu.
Habari ID: 3478497    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Mwezi wa Ramadhani na utamaduni
IQNA - 'Hal Hilalik Ya Ramadan', ni tukio la jadi ambalo limezoeleka katika nchi nyingi za Kiarabu kwa ajili ya kukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani. Tukio hilo la kiutamaduni limeandaliwa katika haram ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran Jumatatu usiku.
Habari ID: 3478496    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Wapalestina katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Rais wa Jumuiya ya Wahubiri wa Kiislamu Palestina ametoa wito kwa Waislamu wote wanaofunga mwezi mtukufu wa Ramadhani waombe dua kwa ajili kukomeshwa mateso na masaibu wanayokumbana nao watu wa Gaza.
Habari ID: 3478495    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Timu inayohusika katika utayarishaji wa "Mahfel", kipindi cha Televishecni cha Qur’ani cha Ramadhani nchini, imefanya juhudi za kuimarisha ubora wa kipindi hicho kat ika msimu wake wa pili.
Habari ID: 3478494    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya kwanza ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478493    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Ibada Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478492    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Ramadhani Marekani
IQNA – Mwezi mtukufu wa Ramadhani ulipoanza, mkusanyiko mzuri wa waumini wa Kiislamu ulibadilisha Times Square ya New York kuwa eneo la umoja na ibada.
Habari ID: 3478489    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Hali ya Gaza
IQNA – Jumuiya ya Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) imetoa wito kwa Waislamu kutoa Zaka na sadaqa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ili kuwaunga mkono watu wa Gaza.
Habari ID: 3478488    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mmoja wa wataalam na majaji wa "Mahfel", kipindi cha Qur'ani kitakachorushwa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, anasema alishangazwa na ubora wa hali ya juu wa wageni katika msimu wa pili.
Habari ID: 3478487    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Nchi kadhaa zimetangaza Jumatatu, Machi 11, kuwa siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu, huku zingine zingine zikitangaza kuwa kuwa ni keshi Jumanne.
Habari ID: 3478486    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11