iqna

IQNA

qurani
Elimu
IQNA - Naibu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna changamoto nyingi katika kazi ya tarjuma au tafsiri ya maandiko ya kidini, ikiwa ni pamoja na Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478722    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/23

Msomaji Maarufu wa Qur;ani
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alikuwa Qari aliyesifiwa sana kwa usomaji wake sahihi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477941    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24

PARIS (IQNA) - Polisi mjini Paris walitumia gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kutawanya maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina siku ya Alhamisi huku serikali ya Ufaransa ikipiga marufuku maandamano yanayoiunga mkono Palestina kutokana na mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477727    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14

TEHRAN (IQNA) – Amir Hossein Anvari, qari kijana wa Kiirani, akisoma aya katika Surah Al-Anaam ya Qur’ani Tukufu mwezi uliopita.
Habari ID: 3477726    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14

TEHRAN (IQNA) – Rehema ya Mwenyezi Mungu husaidia kuleta msamaha kwa mwanadamu katika dunia hii au ijayo ili asiungue katika moto wa jahannam.
Habari ID: 3477713    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/11

Vyama vya upinzani vya serikali ya Denmark viliwataka wawakilishi wao katika bunge la nchi hiyo kuhudhuria siku ya kupiga kura kupinga mswada uliopendekezwa unaokataza kudhalilisha matukufu ya dini.
Habari ID: 3477690    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/05

Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa linatazamiwa kufanya kikao hivi karibuni cha kujadili vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3477587    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/12

KARBALA (IQNA) – Katika kampeni ya kuheshimu Qur’ani Tukufu, makumi ya wafanyaziyara wa Arubaini waliandika aya za kitabu hicho kitukufu wiki iliyopita.
Habari ID: 3477586    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/12

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /46
TEHRAN (IQNA) – Qu’rani Tukufu inamtaja Mtume Muhammad (SAW) kwa majina mawili; Muhammad na Ahmad.
Habari ID: 3477575    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09

KARBALA (IQNA) - Wale wanaohudumu katika moja ya Moukeb kubwa katika mji mtukufu wa Karbala waliwaaga mahujaji waliokuja kwa ajiri ya Ziyara ya Arbaeen kwa kuwapa zawadi ya nakala za Quran Tukufu.
Habari ID: 3477574    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09

Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Afisa mmoja wa Pakistani alitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuhakikisha sheria dhidi ya kufuru na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu zinapitishwa katika nchi zao.
Habari ID: 3477265    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/10

Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umelaani kudhalilishwa kwa Qur'ani Tukufu na waenezaji wa Kizayuni, na kueleza kuwa ni ukatili na fedheha.
Habari ID: 3477191    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/25

Kamera za usalama zimemnasa mlowezi wa Kiisraeli akiwa na mbwa akirarua kurasa za Qur’ani Tukufu na kuzitupa chini nje ya msikiti mmoja katika kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3477182    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/24

Qur'ani Tukufu Inasemaje/52
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu inaona ni muhimu kwa kila kizazi kujua kuhusu vizazi vilivyopita ili kujifunza kutoka kwao na kutambua wajibu wao.
Habari ID: 3477052    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27

TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kamila al-Kuwari ni kitovu kikuu cha shughuli za Qur'ani kwa wanawake katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Habari ID: 3477036    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya awali ya mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wakimbizi wa Afghanistan wanaoishi nchini Iran ilifanyika katika mji mtakatifu wa wa Qom nchini Iran ambapo kulikuwa na washiriki 370.
Habari ID: 3476574    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

Qur'ani Tukufu Inasemaje / 35
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu inatilia maanani sana familia, kitengo kidogo zaidi cha kijamii, na imechota haki za usawa za wanaume na wanawake. Moja ya haki hizo ni kukidhi gharama za maisha na Uislamu umewapa wanaume jukumu hili.
Habari ID: 3476099    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16

Kuvunjiwa heshima Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Uswidi (Sweden) Jan Eliasson ametoa wito wa kukomesha uchomaji moto wa Qur'ani Tukufu unaofanywa na wafuasi sugu wa siasa kali za mrengo wa kulia, akibainisha kuwa kitendo kama hicho ni sawa na uhalifu chini ya sheria za Uswidi.
Habari ID: 3475647    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/19

Qur'ani Tukufu inasemaje/10
TEHRAN (IQNA) – Katika kufuatia njia ya mwongozo wa Mwenyezi Mungu kuna maadui na hivyo ili kukabiliana nao ni muhimu kwanza kutambua udhaifu wetu ili kuelewa njia ambazo maadui hawa hutumia kujipenyeza na kutuathiri.
Habari ID: 3475413    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Wizara ya Utamaduni ya Iran anasema malengo ya Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefikiwa kwa usaidizi wa watu na mashirika.
Habari ID: 3475192    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/01