iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Mamia ya nakala za Qur’ani Tukufu zimesambazwa katika shule moja nchini Somlia miongoni mwa wanafunzi walioshiriki katika mashindano ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471081    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/23

TEHRAN (IQNA)-Nakala ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa na mtumwa Mwafrika nchini Marekani inaonyeshwa mjini Beirut Lebanon.
Habari ID: 3471069    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/16

Msomi wa Misri
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa masuala ya kidini nchini Misri amesema watoto wanapaswa kuepwa mafunzo sahihi ya Qur'ani ili kunusuru vizazi vijavyo visitumbukie katika misimamo mikali na utumiaji mabavu.
Habari ID: 3471063    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/12

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri Ustadh Farajullah Al-Shadhili ameaga dunia Jumatatu tarehe 10 Ramadhani, sawa na 5 Juni.
Habari ID: 3471010    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/06

TEHRAN (IQNA)-Denmark Imefuta sheria inayopiga marufuku kuzivunjia heshima dini na punde baada ya hapo aliyeivunjia heshima Qur'ani ameachiliwa huru.
Habari ID: 3471006    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa watawala wa Saudi Arabia ni wakali sana kwa Waislamu lakini wakati huo huo ni warehemevu kwa makafiri.
Habari ID: 3470998    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/28

TEHRAN (IQNA)-Algeria imetangaza mpango wa kurekebisha mfumo wa usomeshaji Qur'ani katika shule za nchi hiyo kwa ushirikiano na wadau wa masuala ya kidini nchini humo.
Habari ID: 3470991    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/23

TEHRAN (IQNA)-Madrassah za jadi za kufunza Qur'ani nchini Eritrea zinaendelea kufunza Qur'ani kwa mbinu za kale huku zikizidi kuenea katika nchi hiyo ya kaskazini mashariki mwa Afrika.
Habari ID: 3470984    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/18

TEHRAN (IQNA) Wizara ya Waqfu na Masuala ya Kidini Misri limetoa wito wa kuongezwa bajeti ya mashindano ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3470983    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/17

TEHRAN (IQNA)-Tafsiri ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kihispania ni kati ya vitabu katika Maonyesho ya Kimatiafa ya Vitabu ya Tehran yanayomalizika leo.
Habari ID: 3470977    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/13

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Madagascar imetangaza uamuzi wa kufunga madrassah na taasisi 16 za kufunza Qur'ani nchini humo hatua ambayo imewakasirisha Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470969    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/05

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Sudan imesema inaunga mkono Madrassah za jadi za nchi hiyo zinazofunza Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470968    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/05

TEHRAN (IQNA)-Haafidh wa Qur'ani tukufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema Wakongomani wana hamu na shauku kubwa ya kujifunza Uislamu kiasi kwamba Wakristo wa nchi hiyo wanawapeleka watoto wao madrasa ili wakasomeshwe Qur'ani.
Habari ID: 3470955    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa kuufahamu na kuufanyia kazi usuli wa Qur'ani wa "Kumwamini Mwenyezi Mungu na kumpinga Shetani" kutaupa izza na heshima umma wa Kiislamu na akaongezea kwa kusema hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia.
Habari ID: 3470954    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/27

TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa 10 wa Kimataifa wa Masomo ya Qur’ani unafanyika leo Jumatatu nchini Iran katika mji mtakatifu wa Qum, kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3470948    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24

TEHRAN (IQNA)-Misri hivi sasa iko katika hali ya tahadhari ya juu kufuatia hujuma mbili za kigaidi zilizolenga makanisa ya Wakristo wa Kikhufti katika miji ya Tanta na Alexandria na kuua watu 49 siku chache zilizopita.
Habari ID: 3470944    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/21

TEHRAN (IQNA)-Mwanamke raia wa Uturuki ambaye amehifadhi nusu ya Qur'ani hivi sasa anataraji kuhifadhi Qur'ani kikamilifu.
Habari ID: 3470924    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/08

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 23 la Ijaz (miujiza) katika Qur'ani Tukufu na Sunna ya Mtume SAW limefanyika wiki hii nchini Misri.
Habari ID: 3470923    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/08

TEHRAN (IQNA)-Mji wa Oxford nchini Uingereza utakuwa mwenyeji wa kongamano la kimataifa la Qur'ani Tukufu baadaye mwaka huu.
Habari ID: 3470912    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/29

TEHRAN (IQNA)-Watu wanaouuchukia Uislamu (Islamophobes) wameandamana na kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu huko Ontario, Canada mapema wiki hii.
Habari ID: 3470906    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/25