TEHRAN (IQNA)- Rais Muhamadu Buhari huhudhuria darsa za tafsiri ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473837 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21
TEHRAN (IQNA)- Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ambao ni mwezi wa rehma, maghfira na kuokolewa kutoka moto. Pia ni mwezi ambao iliteremshwa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473834 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumza kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA na vikwazo na kusema sera za Iran ziko wazi kuhusu JCPOA na vikwazo. Ameongeza kuwa sera hizo amezibainisha wazi kwa wakuu wa nchi kupitia maandishi na katika mikutano.
Habari ID: 3473814 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/14
TEHRAN (IQNA) - Somo kuhusu 'Lugha ya Qur'ani Tukufu' litaanza kufunzwa kwa mara ya kwanza kwa wanafunzi wa kugha ya Kiarabu katika Chuo Kikuu cha Sydney.
Habari ID: 3473588 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/25
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Qatar imetangaza uamuzi wa kufungua tena vituo vya kufunza Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3473581 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/22
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 22 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Saudi Arabia yatafanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika siku zitakazosadifiana na Aprili 2021.
Habari ID: 3473465 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/17
TEHRAN (IQNA) – Shirika moja la kutoa misaada nchini Uturuki limewatunuku watu wa Djibouti nakala za Qur'ani tukufu zipatazo 30,000.
Habari ID: 3473456 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/14
TEHRAN (IQNA)- Klipu ya Ustadh Abdul-Basit Abdul-Swamad akisoma aya za Sura Ash-Shu’araa katika Qur’ani Tukufu imeseambazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473400 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27
TEHRAN (IQNA) – Dkt. Javad Foroughi ni qarii mashuhuri Muirani ambaye ni mashuhuri kimataifa kwa qiraa yake ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473308 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/29
TEHRAN (IQNA) – Klipu ya video imeenea katika mitandao ya kijamii ikiwaonyesha ndugu watano wa familia moja wakisema ya za Qur'ani Tukufu za Surah al-Furqan.
Habari ID: 3473291 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/24
TEHRAN (IQNA) – Balozi wa Misri nchini Mauritius amewatunuku wakuu wa jumuiya mbali mbali za Kiislamu Mauritius nakala za Qur’ani ambazo zina tarjama ya lugha mbali mbali.
Habari ID: 3473264 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/16
TEHRAN (IQNA) –Dereva wa taxi katika eneo la Hyderabad nchini India amefanikiwa kuandika nakala nzima ya Qur’ani kwa mkono katika kipindi cha miezi sita wakati wa zuio la kutotoka nje ya nyumba kufuatia kuibuka janga la corona.
Habari ID: 3473223 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/02
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Nuruddin Attar, mfasiri na hafidh maarufu wa Qur’ani Tukufu nchini Syria ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 83.
Habari ID: 3473199 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/24
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa: kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuisaliti Qurani Tukufu na kumpa mgongo Mtume wa Mwenyezi, Muhammad SAW
Habari ID: 3473078 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17
TEHRAN (IQNA)- Vituo 200 vya Qur’ani Tukufu nchini Jordan vimetangaza kuandaa darsa maalumu za kuhifadhi Qu’rani Tukufu kwa kuzingatia kanuni za afya wakati huu wa janga la corona.
Habari ID: 3473006 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/27
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Utamaaduni cha Jamhuri ya Kiislamu Iran nchini Tunisia kimeandaa mafunzo ya usomaji Qur’ani Tukufu kwa njia ya intaneti katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472716 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/29
TEHRAN (IQNA) – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria (NSCIA) limetangaza marufuku ya mijimuiko yote ya kidini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472704 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Masuala ya Kidini Algeria imetangaza kuwa, Qiraa ya Qur’ani Tukufu itasikika kupitia vipaza sauti vya misikiti yote nchini humo nusu saa kabla ya Adhana ya adhuhuri kwa lengo la kuibua hali ya kimaanawi na kudumisha utulivu wa kiroho wakati huu wa janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472642 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/07
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Kuwait imetangaza mpango wa kuanzisha masoo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti baada ya madrassah za Qur'ani nchini humo kufungwa kwa muda ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472600 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/25
TEHRAN (IQNA) – Kituo kipya cha kuchapisha Qur'ani Tukufu kitafunguliwa katika wilaya ya Sabhan mkoani Mubarak al-Kabeer.
Habari ID: 3472506 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/26