iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yamefanyika siku chache zilizopita nchini Tanzania na kushirikisha nchi 20.
Habari ID: 3471282    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/27

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai kwa wanawake yamemalizika kwa kutunukiwa zawadi washindi.
Habari ID: 3471281    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/26

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wanajumuika katika Msikiti wa Al Ghadir mjini Dar es Salaam nchini Tanzania kwa ajili ya maombolezo ya kuuawa Imam Hussein AS katika mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3471192    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/26

TEHRAN (IQNA)-Katika siku za kukaribia Wiladat ya Imam Ridha AS, Msafara wa wahudumu wa Haram Takatifu ya Imam Ridha AS iliyoko nchini Iran wametembelea Tanzania na kukaribishwa kwa taadhima na wafuasi pamoja na muhibina wa Ahul Bayt AS nchini humo.
Habari ID: 3471100    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/03

TEHRAN (IQNA)-Imebainika kuwa katika gereza moja lililo katika mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam wamejaa mahafidh wa Qur ‘anI Tukufu wakitumikia kifungo, wengine
Habari ID: 3471045    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/02

TEHRAN (IQNA) Waislamu na watetezi wa haki Tanzania na Kenya wameungana na wapigania haki duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3471033    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/24

TEHRAN (IQNA)-Maulamaa wa Kiislamu nchini Tanzania wamesisitiza kuhusu kuhifadhi umoja wa wa Waislamu katika suala la mwezi mwandamo na kutangaza kuanza na kumalizika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470996    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/27

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yana washiriki kutoka Tanzania, Malawi na Burundi wamewasili Tehran kuwakilisha nchi zao katika mashindano hayo.
Habari ID: 3470942    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/20

IQNA: Mashindano ya Qur'ani yamefanyika nchini Tanzania wiki hii kuchagua wawakilishi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika mashindano yajayo ya kimataifa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3470845    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/12

IQNA-Siku ya Hijabu ya Waridi imefanyika Jumamosi katika mji wa Dar es Salaam, Tanzania kwa lengo la kuhimiza uvaaji vazi hilo la staha la mwanamke Mwislamu.
Habari ID: 3470834    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/05

IQNA-Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani yamefanyika mapema wiki hii visiwani Zanzibar nchini Tanzania.
Habari ID: 3470712    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/03

IQNA-Shirika moja la misaada la Qatar limesambaza nakala 80,000 za Qur'ani miongoni mwa Waislamu nchini Tanzania.
Habari ID: 3470645    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/31

IQNA-Maafisa wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika mji mkubwa wa Tanzania, Dar es Salaam.
Habari ID: 3470641    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/29

Shehe Mkuu wa Ahul Sunna, Dar es Salaam, Tanzania
Sheikh Mussa Salim Al Hadi , Shehe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Tanzania amehutubu katika hadhara ya Mashia na kusema Imam Hussein AS ni wa Waislamu wote duniani na kuadhimisha Ashura ni katika dhihiriso la nembo za Allah.
Habari ID: 3470614    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/15

Hawza Imam Swadiq (a.s) na Masjid al Ghadiir katika mji wa Dar es Salaam Tanzania imeshuhudia tukio la kupandishwa Bendera ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470604    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/08

Mwambata wa Utamaduni wa Iran nchini Tanzania amesema Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu ni mjumuiko wa viongozi wa baadaye wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470598    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/04

Huku Waislamu duniani wakisherehekehea siku kuu ya Idul Fitr, msomi wa Kiislamu Kenya ameitunukia jamii ya Waluo Qur'ani Tukufu iliyotafsiriwa (tarjumiwa) kwa lugha ya Kiluo.
Habari ID: 3470440    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/08

Taifa la Tanzania limetikiswa na mauaji ya kikatili yaliyotekelezwa na magaidi katika msikiti mmoja wa mjini Mwanza kaskazini mwa nchi hiyo Jumatano iliyopita.
Habari ID: 3470324    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/21

Majaji katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran wametangaza kuwa qarii mshiriki kutoka Tanzania amepata nafasi bora zaidi kwa mtazamo wa 'Saut na Lahn' katika usomaji wake wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470317    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18

Waislamu nchini Tanzania wametaka iundwe kamati ya kimataifa kuchunguza maafa ya hivi karibuni huko Mina karibu na mji mtukufu wa Makka ambapo zaidi ya Mahujaji 5,000 walipoteza maisha.
Habari ID: 3377983    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/03