iqna

IQNA

tanzania
Mashindano ya Qur'ani
IQNA- Fainali za 24 za Mashindano ya Quran Tukufu Afrika yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al Hikma Foundation kwa kushirikisha nchi mbalimbali 22 za Afrika na nje ya Afrika yamefanyika kwa mafanikio katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Tanzania Machi 24, 2024.
Habari ID: 3478590    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 20 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tanzania ameshika nafasi ya tatu.
Habari ID: 3478574    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Awamu ya 20 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchiniTanzania yatang’oa nanga jijini Dar es Salaam siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3478557    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa zawadi ya Sh milioni 10 kwa washindi wa kitaifa wa mashindano ya kuhifadhi Quran, akiongezea katika zawadi zilizotolewa na wadau wengine ikiwemo nyumba kwa walioshika nafasi za juu katika mashindano hayo.
Habari ID: 3478534    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

Vijana katika Ibada
IQNA - Misikiti katika miji tofauti ya Tanzania, ikiwa ni pamoja na Dar es Salaam, Tanga, Kigoma na Moshi iliandaa matambiko ya Itikaf wiki hii.
Habari ID: 3478262    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/27

Mfumo wa Fedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kampuni mpya ilizinduliwa nchini Tanzania ili kushughulikia udalali wa Hatifungani (Dhamana za muda mrefu) Kiislamu na kutoa huduma za ushauri wa uwekezaji kuhusiana na bidhaa zinazotii sheria za Kiislamu
Habari ID: 3476665    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/06

Uislamu Tanzania
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania kimeandaa maonyesho ya Kiislamu ya Hijabu na Ifaf (staha).
Habari ID: 3476412    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/16

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Kongamano la siku moja limefanyika nchini Tanzania, likilenga kuimarisha na kukuza umoja katika Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3476377    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/09

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Ujumbe wa Maulamaa wa Kisunni wa Iran umekutana na kufanya mazungumzo na Mufti wa Tanzania Jumanne.
Habari ID: 3476324    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) -Waislamu ya madhehebu ya Shia Tanzania, visiwani Zanzibar, Nigeria na Niger wameshiriki katika marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3475801    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18

Uhusiano wa Iran na Tanzania
TEHRAN(IQNA)- Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian mjini Dodoma.
Habari ID: 3475688    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/27

Iran na Afrika
TEHRAN(IQNA)-Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeko ziarani nchini Tanzania amesema kuwa, bara la Afrika ni moja ya vipaumbele vikuu vya diplomasia ya kiuchumi ya Iran.
Habari ID: 3475680    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25

Utamaduni wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Wa tanzania wamepokea kwa furaha maonyesho ya uchapishaji wa Qur’ani Tukufu na Hadithi yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.
Habari ID: 3475620    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu itafanyika jijini Dar es-Salaam, jiji kubwa zaidi la Tanzania, siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3475601    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10

Imam Ridha AS
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Tanzania wamepata fursa ya kuipokea kwa furaha bendera ya Imam Ridha AS ambayo ilikuwa katika msafara wa kimataifa wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa mtukufu huyo.
Habari ID: 3475372    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, ameziasa taasisi za Hija nchini humo, zinazosafirisha Mahujaji , kuacha tabia ya kuwalaghai Mahujaji.
Habari ID: 3475261    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/17

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani kupitia mitandao ya kijamii yamefanyika nchini Tanzania kwa himya ya Kituo cha Utamaduni cha Iran mjini Dar es Salaam ambapo washindi wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3475231    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/10

TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zuber, amesema kitabu cha Qur'ani Tukufu ndio kitabu pekee duniani chenye kuhifadhika tofauti na vitabu vingine vyote.
Habari ID: 3475145    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA)-Rais wa Zanzibar amezitaja shughuli za kielimu na kimaarifa zinazofanywa na tawi la Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa kuwa ni muhimu na kutangaza kuunga chuo hicho katika shughuli zake eneo la Zanzibar nchini Tanzania.
Habari ID: 3474976    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania kimeandaa maonyesho ya Hijabu kwa ushirikiano na Taasisi ya Pink Hijab.
Habari ID: 3474897    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06