iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Siku ya Kimataifa ya Quds katika mwaka huu wa 2021 inaadhimishwa huku kukiwa kunashuhudiwa matukio muhimu katika medani za kisiasa za hararkati za muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa upande mmoja na mikakati ya kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika upande wa pili.
Habari ID: 3473882    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06

TEHRAN (IQNA)- Nara ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka hii itakuwa ni “Tunakaribia Quds Zaidi ya Wakato Wowote Mwingine”.
Habari ID: 3473833    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20

TEHRAN (IQNA) - Sambamba na kutimia mwaka 42 tangu Mapinduzi ya Kiislamu yalipopata ushindi nchini Iran chini ya uongozi wa hayati Imam Ruhullah Khomeini, wananchi wa Iran tangu mapema leo asubuhi wameghariki katika sherehe za kuenzi na kuadhimisha tukio hilo ambazo mwaka huu zinafanyika kwa sura tofauti kutokana na sheria kali za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona.
Habari ID: 3473638    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/10

Ayatullah Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (AS) amesema Imam Khomeini, Mwenyezi Mungu Amrehemu, alihuisha fikra ya Kiislamu ya kupinga ubeberu au ukoloni wakati ambao madola mengi ya kibeberu yalikuwa yanajaribu kusambaratisha kabisa fikra hiyo.
Habari ID: 3473620    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/04

TEHRAN (IQNA) - Miaka 42 iliyopita taifa kubwa la Iran huku likiwa limejizatiti kwa imani thabiti na matumaini ya kuwa na mustkabali mzuri, na bila ya kutegemea dola lolote lenye nguvu duniani, lilifanikiwa kuweka nyuma kipindi kigumu na muhimu kwenye historia yake na hatimaye kufanikiwa kufikia kwa kishindo ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473613    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/02

Rais Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani amesema kuwa, Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaonesha walimwengu rasilimali ya kijamii ya Iran.
Habari ID: 3473611    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/01

TEHRAN (IQNA)- Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) leo wamejadidisha kiapo cha utii kwa malengo ya Imam Khomeini, Mwenyezi Mungu Amrehemu, katika Haram ya muasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473610    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/01

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aidha amezuru makaburi ya mashahidi wakuu watajika yaani Beheshti, Rajaei, Bahonar na mashahidi wa tukio la tarehe 7 mwezi Tir mwaka 1360 Hijria shamsiya na kumuomba Mwneyezi Mungu awainue waja wake hao.
Habari ID: 3473607    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/31

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu- yanafanana na ya Mitume- Mwenyezi Mungu Awarehemu- na kusisitiza kwamba umma wote wa Kiislamu una wajibu wa kuyalinda mapinduzi hayo.
Habari ID: 3472834    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/04

Mwanazuoni wa Kiislamu Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) zimeweza kupata ushindi na adhama kutokana na fikra za kistratijia na kisiasa za Imam Khomeini-Mwenyezi Amrehemu- , amesema mwanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon.
Habari ID: 3472832    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

TEHRAN (IQNA) - Tarehe 14 Khordad sawa na tarehe 3 Juni, kulitangazwa habari ya huzini ya kuaga duniani Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3472831    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema yanayojiri siku hizi Marekani yameweka wazi ukweli uliokuwa umefichwa nchini humo kuongeza kuwa: "Wamarekani wamefedheheka duniani kutokana na mienendo yao."
Habari ID: 3472830    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

TEHRAN (IQNA) – Siku ya Kimataifa ya Quds (Jerusalem) mwaka huu itaadhimishwa kwa njia ya intaneti kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472710    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/27

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesem siri ya kuendelea kubakia hai na kuwa na mvuto fikra za Imam Khomeini MA, inatokana na sifa maalumu ya shakhsia na tunu aliyopewa na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471986    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05

TEHRAN (IQNA) – Waislamu na wasiokuwa Waislamu kote duniani wanajitayarisha kudhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds (Jerusalem) kwa lengo la kutangaza kufungamana kwao na malengo ya ukombozi wa ardhi za Palestina ambazo zinakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3471971    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/25

TEHRAN (IQNA)- Katika wakati huu wa kukaribia maadhimisho ya miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo asubuhi mjini Tehran amefanya ziara katika Haram toharifu ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na mbali na kuswali katika Haram hiyo na kumsomea Faatiha, amemuombea dua za kheri mwanachuoni huyo mkubwa wa zama hizi.
Habari ID: 3471825    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema kuwa ndoto waliyo nayo maadui kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA kamwe haitotimia.
Habari ID: 3471543    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Marekani acheza densi na kinara wa ukoo kisha akosoa uchaguzi wa Wairani milioni 40
Habari ID: 3471009    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/05

IQNA-Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema mkutano wa kimataifa wa kila mwaka wa umoja wa Kiislamu utafanyika wiki hii mjini Tehran.
Habari ID: 3470739    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/13

Kongamano la Kwanza la Kuchunguza Fikra za Qur'ani za wasomi wa Iran na Senegal limepangwa kufanyika mwezi ujao wa Novemba katika mji wa Thiès magharibi mwa Senegal.
Habari ID: 3470627    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/22