iqna

IQNA

Hauli ya Imam Khomeini
Kongamano kwa mnasaba wa kukumbuka mwaka wa 34 wa kuaga dunia Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) limefanyika kwa njia ya mtandao na kuwaleta pamoja wasomi na wanafikra wa Afrika Mashariki.
Habari ID: 3477100    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05

Mtazamo
Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, sawa na tarehe 14 Khordad mwaka 1368 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na mwezi Juni 1989, Imam Ruhullah Musawi Khomeini (MA) mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 87. Ulimwengu wa Kiislamu uligubikwa na majonzi na huzuni kubwa kuutokana na kutangazwa kifo cha Imam.
Habari ID: 3477098    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amemtaja hayati Imam Ruhullah Khomeini (RA) kuwa ni miongoni mwa viongozi vinara wa historia.
Habari ID: 3477093    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04

Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina amesema mtazamo wa kina wa Imam Khomeini (AS) kuhusu suala la Palestina ulitokana na utambuzi wake wa Qur'ani na kidini.
Habari ID: 3477086    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yamefanyika katika kila pembe ya Iran ya Kiislamu kwa kauli mbiu kuu "Palestina mhimili wa umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu; Quds inakaribia kukombolewa".
Habari ID: 3476864    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/14

Ujumbe wa Siku ya Kimataifa ya Quds
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekumbusha wajibu wa kisheria wa mashirika na taasisi za kimataifa na za kutetea haki za binadamu wa kuunga mkono haki za watu walio chini ya utawala ghasibu huko Palestina, na kutoa wito wa kukomeshwa uvamizi huo na kusimamisha jinai za Wazayuni.
Habari ID: 3476862    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/13

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa Makao Makuu ya Intifadha na Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran amesema nara na kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa Quds mwaka huu ni : "Palestina ni mhimili wa Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na Quds (Jerusalem) Inakaribia Kukombolewa."
Habari ID: 3476811    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04

Rais Ebrahim Raisi akiwa katika Haram ya Imam Khomeini (MA)
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran chini ya uongozi wa Imam Khomeini (MA) yamedumu licha ya fitna na njama zote za adui na yamezidi kudhihirika duniani.
Habari ID: 3476494    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31

Kwa mnasaba wa maadhimisha ya mwaka wa 44 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezuru haram toharifu ya Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kumuenzi na kumsomea Faatiha kiongozi huyo mwenye adhama kubwa wa taifa la Iran.
Habari ID: 3476493    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 36 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litafanyika mjini Tehran kuanzia tarehe 17 hadi 22 Oktoba kwa kuhudhuriwa na wasomi na wanafikra kutoka sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3475898    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/08

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Mikhail Gorbachev, kiongozi wa mwisho wa Muungano wa Jamhuri za Kisoshalisti za Sovieti (Union of Soviet Socialist Republics, USSR) alifariki dunia Agosti 30 2022 katika hospitali moja mjini Moscow, Russia akiwa na umri wa miaka 91 baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Habari ID: 3475719    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, mtazamo wa Imam Khomeini (MA) kwa wananchi haukuwa mtazamo wa kiheshima tu, kwa sababu aliwaamini kiudhati wananchi na akisisitiza kuwa kutokana na imani juu ya Mwenyezi Mungu, kuwatumikia wananchi kunamfanya mtu awe karibu na Mwenyezi Mungu
Habari ID: 3475668    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23

Fikra za Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Mudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshiriki katika Hauli ya mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, "Imam Khomeini MA alikuwa roho ya Jamhuri ya Kiislamu'
Habari ID: 3475334    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

Fikra za Imam Khoemini
TEHRAN (IQNA)- Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ijumaa usiku alihutubu katika hafla ya mkesha wa mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia Imam Khomeini (MA) muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliyofanyika katika Haram Takatifu ya mtukufu huyo na kusema: "Mapambano dhidi ya uistikbari na udhalimu ni kati ya maudhui asili za Fikra za Imam Khomeini MA."
Habari ID: 3475333    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema, muongozo na muelekeo wa kisiasa wa Imam Khomeini -Mwenyezi Mungu Amrehemu- ni kielelezo cha wazi cha falsafa ya siasa katika Uislamu.
Habari ID: 3475329    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/03

Fikra za Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Ijapokuwa Imam Khomeini anajulikana kuwa kiongozi wa kimapinduzi na shakhsia wa kisiasa, alikuwa na shughuli na nadharia muhimu katika uga wa irfani (mysticism) na sayansi ya kidini. Aliarifisha irfani kama kama njia inayotokana na Qur'ani na Sunnah.
Habari ID: 3475323    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01

Rais Ebrahim Raisi
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hivi sasa, zaidi ya wakati wowote ule, nchi inahitaji kufuata njia iliyojaa nuru na yenye uwokovu ya Imam Khomeini MA.
Habari ID: 3475029    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10

Msemaji wa Harakati ya Nujabaa
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya al-Nujabaa ya Iraq alisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa nchi pekee iliyosimama kidete kukabiliana na Marekani baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
Habari ID: 3474908    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08

Waziri wa zamani wa mambo ya nje Iran asema
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Iran amesema hayati Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu, muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alihuisha Uislamu na kuwapa Waislamu utambulisho
Habari ID: 3474905    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08

Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema Mapinduzi ya Kiisalmu ya Iran ni tafauti kabisa na mapinduzi mengine dunaini na kuongeza kuwa: "Mbinu aliyotumia Imam Khomeini (MA) ilikuwa ni kuwategemea wananchi."
Habari ID: 3474883    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02