Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akimtaka achukue msimamo mkali dhidi ya vitendo vya kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu.
Habari ID: 3477317 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemuita balozi wa Uswidi mjini Tehran kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo ya Ulaya Magharibi ya kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477316 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameilaani serikali ya Uswidi kwa kuruhusu kuvunjiwa heshima tena Qur'ani Tukufu na amewataka Waislamu duniani kuchukua hatua za kuifanya nchi hiyo ya Ulaya Magharibi ijute kwa jinai yake hiyo.
Habari ID: 3477315 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BAGHDAD (IQNA)- Wananchi wa Iraq waliokuwa na ghadhabu wameuvamia ubalozi wa Uswidi mjini Baghdad na kuchoma moto sehemu moja ya ofisi za ubalozi huo, kulalamikia kibali cha pili kilichotolewa na serikali ya Stockholm cha kuruhusu kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3477309 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/20
Kutetea Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Wizara ya Awqaf ya Misri itakuwa na programu maalum ziitwazo 'Ijumaa ya Qur'ani' kila wiki ili kukabiliana na vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi.
Habari ID: 3477306 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/19
Kuutetea Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Wabunge wa Jordan katika barua waliyoiandikia serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu wamelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu hivi karibuni nchini Uswidi na kutoa wito wa kususia bidhaa za Uswidi.
Habari ID: 3477297 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/17
Mazungumzo baina ya dini
CAIRO (IQNA) - Sekretarieti ya Baraza la Wanazuoni la Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri imetoa wito wa kufanyika kongamano la kimataifa ili kujibu maswali kuhusu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477293 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/16
Sayyid Hassan Nasrallah:
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, lengo la kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu ni kutaka kuzusha hitilafu baina ya Waislamu na Wakristo.
Habari ID: 3477276 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/13
Kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu
GENEVA (IQNA) – Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limepitisha azimio kuhusu chuki na ubaguzi wa kidini kufuatia tukio la uchomaji moto wa nakala ya Qur'ani nchini Uswidi lililolaaniwa vikali katika Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3477274 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/13
Katika kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Kuwait itasambaza nakala 100,000 za Qur'ani Tukufu nchini Uswidi zilizotarjumiwa kwa lugha ya Kiswidi.
Habari ID: 3477266 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12
STOCKHOLM (IQNA) - Mamia ya Waislamu huko Uswidi wameandamana katika mji mkuu, Stockholm kulaani kuvunjiwa heshima kwa Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3477262 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/10
Chuki dhidi ya Uislamu
ANKARA (IQNA)- Rais wa Uturuki amesema "Shambulizi la chuki dhidi ya kitabu chetu, Qur'ani, huko nchini Uswidi katika siku ya kwanza ya Sikukuu za Iddul Adh'ha, lilianika kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu."
Habari ID: 3477260 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/09
Chuki dhidi ya Uislamu
ABUJA (IQNA) - Mwanaharakati wa Kiislamu wa Nigeria amelaani kitendo cha hivi karibuni cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Uswidi (Sweden) na kusisitiza kwamba vitendo hivyo vya kufuru vinatishia msingi wa kuishi pamoja kwa amani katika jamii.
Habari ID: 3477257 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/09
Ifahamu Qur'ani Tukufu /13
TEHRAN (IQNA) – Mwenyezi Mungu, katika Aya ya 2 ya Surah Al-Baqarah, anaitaja Qur'ani Tukufu kuwa ni kitabu kisicho na shaka ndani yake. Je, kuna uhakika gani juu ya Qur'ani Tukufu ambayo aya hii inaizungumzia?
Habari ID: 3477255 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/08
Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imehimizwa kubuni mikakati ya kukabiliana na chuki inayoongezeka dhidi ya Uislamu duniani kote.
Habari ID: 3477253 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/08
Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Waziri wa Sheria wa Uswidi, Gunnar Strommer alisema serikali inafikiria kupiga marufuku kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu au vitabu vingine vya kidini baada ya kitendo cha kuchoma moto Qur’ani Tukufu hivi karibuni nchini humo kusababisha hasira katika Ulimwengu wa Waislamu.
Habari ID: 3477251 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/07
Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Waislamu kote Pakistan walijitokeza mitaani Ijumaa kuandamana kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Uswdi.
Habari ID: 3477250 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/07
Chuki dhidi ya Kiislamu
DOHA (IQNA) - Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito wa kuwepo kwa mahubiri ya kila wiki katika misikiti kulaani kitendo cha hivi karibuni cha kuteketeza moto Qur'ani Tukufu chini Uswidi.
Habari ID: 3477245 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/06
Harakati za Qur'ani
Makka (IQNA)Vijana wawili wasomaji Qur'ani Tukufu Wairani, ambao wamekwenda katika ardhi ya Wahyi (Makka) wakiwa katika msafara wa Qur'ani wa Noor, walishiriki katika mashindano ya aya za mwanzo za Surah Al-Alaq katika eneo la Pango la Hira.
Habari ID: 3477239 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/05
Chuki dhidi ya Uislamu
Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa litafanya mkutano wa dharura kwa ombi la Pakistan kufuatia kuchomwa moto Qur'ani nje ya msikiti mmoja nchini Uswidi au Sweden.
Habari ID: 3477236 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/04