Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambayo fainali yake imefanyika wiki hii kwa kuhudhuriwa na washiriki 52 kutoka nchi 33, wametangazwa ambapo mwakilishi wa Kenya ameshika nafasi ya pili katika kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476605 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/22
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Pakistani ambaye anashiriki katika fainali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesifu kiwango cha juu cha mashindano hayo.
Habari ID: 3476598 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/21
Sura za Qur'ani Tukufu / 62
TEHRAN (IQNA) - Katika hadithi za manabii wa kiungu tunasoma kuhusu makundi ya watu wanaojiona kuwa wafuasi wa Mitume wa Mwenyezi Mungu lakini kwa hakika hawajali amri za Mwenyezi Mungu na mafundisho ya manabii.
Habari ID: 3476597 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/21
Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu ya Misri imesema imeanzisha shirika la kusimamia wasomi maarufu wa Qur'ani na wale wenye vipaji vya Qur'ani katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3476593 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/20
TEHRAN (IQNA) – Takriban nakala 15,000 za Kurani Tukufu zimetumwa katika maeneo yaliyokumbwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi nchini Uturuki ya tarehe 6 Februari.
Habari ID: 3476592 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/20
Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /32
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kifo cha baba yake Dawoud (AS), Suleiman (AS) akawa nabii na mfalme wa Bani Isra’il.
Habari ID: 3476590 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/20
Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /18
TEHRAN (IQNA) – Katika Tafsir al-Safi, Mulla Muhsin Fayz (Fayd) Kashani amefasiri Aya za Qur’ani Tukufu kwa kuzingatia Hadithi kutoka kwa Maasumin (AS) ambao ni kutoka nyumba ya Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3476587 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 21 ya Tuzo ya Qur’ani ya Ras Al Khaimah yamehitimishwa huko Ras Al Khaimah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3476585 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la sita la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Port Said yameanza Ijumaa katika mji huo wa bandarini Misri.
Habari ID: 3476578 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Polisi katika mji mkuu wa Uswidi (Sweden) wa Stockholm wamekataa ombi la maandamano ya kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu mbele ya ubalozi wa Iraq.
Habari ID: 3476575 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya awali ya mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wakimbizi wa Afghanistan wanaoishi nchini Iran ilifanyika katika mji mtakatifu wa wa Qom nchini Iran ambapo kulikuwa na washiriki 370.
Habari ID: 3476574 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Usajili umefunguliwa kwa ajili ya mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa vijana nchini Brunei, ambayo yataanza mwezi Machi.
Habari ID: 3476563 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran ) Mohammad Baqer Qalibaf ataongoza hafla ya uzinduzi wa duru ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476562 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Afisa mwandamizi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema uungaji mkono kutoka kwa Waislamu kote ulimwenguni kwa Msikiti wa Al-Aqsa, al-Quds (Jerusalem) na Palestina unatokana na imani zao za kidini.
Habari ID: 3476558 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13
Qiraa ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Sherehe za kufunga Tamasha la 41 Kimataifa la Filamu la Fajr la Iran zilianza kwa usomaji wa aya za Qur’ani Tukufu na qari mashuhuri wa kimataifa wa Iran Ustadh Jafar Fardi.
Habari ID: 3476557 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13
Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /17
TEHRAN (IQNA) – Tafsiri ya Qur'ani Tukufu ya Jawami Al-Jami ni tafsiri iliyofupishwa ya Qur'ani ambayo sifa yake kuu ni kuwa kazi ya kifasihi inayofafanua aya za Qur’ani kwa maneno mafupi na inajumuisha aya zote za Kitabu hicho Kitakatifu.
Habari ID: 3476556 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Wataalamu wa Qur'ani kutoka Iran na nchi nyingine nane watahudumu katika jopo la waamuzi katika awamu ya mwisho ya Awamu ya 39 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476554 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Maadhimisho ya miaka 40 ya kuasisiwa Idhaa ya Qur'ani ya Iran yamefanyika katika hafla iliyofanyika hapa Tehran siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3476548 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/11
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka za Uswidi ziliamua kutoruhusu uchomaji moto wa nakala Qur'ani huko Stockholm kwa vile kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu nchini humo kumelaaniwa vikali na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476536 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kinatarajia kufanya warsha maalum wiki ijayo kwa waamuzi au majaji katika mashindano ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476534 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08