iqna

IQNA

Sura za Qur'ani Tukufu / 73
TEHRAN (IQNA) - Usiku huwa ni maalumu kwa ajili ya kupumzika lakini amani iliyopo katika siku hizi hupelekea baadhi ya watu kutenga sehemu hiyo kwa ajili ya ibada na kutafakari. Inaelekea kwamba kuabudu wakati wa usiku wa manane huwa na fadhila zake maalumu.
Habari ID: 3476915    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26

Mawaidha
TEHRAN (IQNA)-Tofauti zote zinazotokea katika jumuiya zinaweza kufuatiliwa nyuma hadi kwenye kukana ukweli na uhakika. Baadhi ya watu hufanya kukataa huku bila kukusudia na wengine kwa kukusudia wakiwa na malengo mahususi katika akili zao.
Habari ID: 3476914    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/25

Misri
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya ya Misri imesema mpango wa kutoa mafunzo kwa wahifadhi Qur'ani watoto milioni moja utazinduliwa nchini humo.
Habari ID: 3476913    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/25

Mawaidha
Tehran (IQNA)- Idul Fitr, ambayo ni siku kuu inayoashiria kumalizika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, inamaanisha kurudi katka maumbile ya asili au Fitra na kwa kweli ni alama ya mwanzo wa mwaka mpya wa kiroho
Habari ID: 3476897    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21

Kikao cha Kusoma Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kikao cha Kusoma Qur’ani Tukufu cha Wanawake wa Ulimwengu wa Kiilamu kinafanyika leo hapa mjini Tehran kwa kushirikisha wanawake kutoka Iran na kwingineko katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476892    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20

Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waislamu nchini Serbia walipokea kwa furaha qari na mhifadhi wa Qur’an kutoka Iran Mahmoud Noruzi Farahani nchini humo.
Habari ID: 3476882    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Marhum Kamel Yusuf Al-Bahtimi, alikuwa msomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Misri. Katika klipu hii anasikika akisoma aya za Sura An Naml aya za 29-31 zisemazo:
Habari ID: 3476878    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/16

Taarifa ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Nasser Kanani amelaani vikali kitendo cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu kilichofanywa nchini Denmark.
Habari ID: 3476875    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/16

Sura za Qur'ani Tukufu / 71
TEHRAN (IQNA) – Hadhrat Nuh alikuwa miongoni mwa Ulul'azm Anbiya (manabii wakuu). Kulingana na riwaya, alimwomba Mwenyezi Mungu ampe wakati wa kuwaongoza watu wake na alipewa takribani miaka 1,000.
Habari ID: 3476871    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa kaligrafia kutoka India Yusuf Husen Gori ameonyesha baadhi ya kazi zake kwenye Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3476856    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ni mwitikio mzuri kwa chuki dhidi ya Iran (Iranophobia) na chuki dhidi ya madhehebu ya Shia Shiaphobia).
Habari ID: 3476855    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Sura za Qur'ani Tukufu /70
TEHRAN (IQNA) – Adhabu ya Mwenyezi Mungu kwa madhalimu na wakanushaji Mungu iko karibu na iko karibu zaidi kuliko wanavyofikiri. Bila shaka adhabu hiyo itajiri na hakuna kitu kinachoweza kusimama katika njia yake.
Habari ID: 3476853    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya aya za Qur’ani Tukufu zinahusu Usiku wa Qadr (Laylatul Qadr) na zinaweza kutusaidia kutambua hadhi muhimu ya usiku huu iwapo tutazingatia.
Habari ID: 3476850    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/11

Mwezi wa Ramadhani
Kwa mujibu wa Surat Al-Qadr katika Qur'ani Tukufu, Ramadhani ni mwezi uliobarikiwa ambapo Mtume Muhammad SAW aliteremshiwa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476848    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/11

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa aya za Qur’ani Tukufu, Usiku wa Qadr au Laylatul Qadr ni usiku wenye fadhila nyingi zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Usiku huu una sifa maalum na hadhi maalum sana miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 3476840    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09

Siku ya Kimataifa ya Quds
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameto mwito kwa wapenda haki kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
Habari ID: 3476832    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds ni kumbukumbu ya Imam Khomeini (MA) na nembo ya kuwa hai tafa la Kiislamu la Iran.
Habari ID: 3476829    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /36
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kuona dalili za adhabu ya Mwenyezi Mungu, watu wa Nabii Yunus walitubu lakini Yunus (AS) hakusubiri na akasisitiza juu ya adhabu yao. Kwa hiyo, kwa amri ya Mwenyezi Mungu, nyangumi akammeza Yunus (AS).
Habari ID: 3476820    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Umrah
TEHRAN (IQNA) - Katika siku 10 za mwanzo za mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani zaidi ya nakala 30,000 za Qur'ani zilisambazwa miongoni mwa Waislamu wanaoshiriki kaktika Hija Ndogo ya Umrah na wageni wa Msikiti Mkuu wa Makka, Al Masjid Al Haram a, na Msikiti wa Mtume SAW, Al-Masjid an-Nabawi,.
Habari ID: 3476817    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Muumini wa kweli si yule anayefikiria tu kuhusu mambo ya kiroho kwa sababu muumini wa kweli hawezi kuwa mwenye kutojali ukiukwaji wa haki za wengine.
Habari ID: 3476816    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05