iqna

IQNA

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /20
TEHRAN (IQNA) – Ahmed al-Reziqi alikuwa qari kutoka kusini mwa Misri ambaye alishawishiwa sana na Abdul Basit Abdul Samad na Mohamed Sidiq Minshawi lakini pia alikuwa na ubunifu na weledi katika usomaji wa Qur'ani.
Habari ID: 3476440    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Sura za Qur'ani Tukufu / 58
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu inawataka waumini wa kweli kujiunga na Hizbullah. Leo, Hezbullah imekuwa neno lenye maana ya kisiasa. Kwa mtazamo wa Qur'ani Tukufu Hizbullah ni neno lenye maana ya kidini na kiitikadi na neno hili kimsingi maana yake ya moja kwa moja ni 'Chama cha Mwenyezi Mungu'.
Habari ID: 3476439    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 13 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Afrika Kusini yalifanyika katika mji mkuu, Pretoria.
Habari ID: 3476429    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imezindua mipango ya kuandaa mashindano ya kitamaduni mtandaoni kwa wanafunzi wa vituo vya kuhifadhi Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476423    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Qarii (msomaji) Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Abdel Alim Fasada alikuwa miongoni mwa wasomaji wakubwa wa Qur'ani Tukufu nchini Misri na alifariki Januari 16, 2021 baada ya miaka mingi ya kujitahidi katika njia ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476422    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

MASHHAD (IQNA) - Awamu ya awali ya kategoria za wanaume katika Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza Jumapili mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran
Habari ID: 3476420    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Mtihani wa nne wa kuchagua wahifadhi Qur’ani wanaotaka kujiunga na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri umeancha nchini humo.
Habari ID: 3476419    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17

Uislamu Pakistan
TEHRAN (IQNA) - Baraza la Seneti la Pakistan kwa kauli moja lilipitisha azimio linalopendekeza kwamba ufundishaji wa Qur'ani Tukufu uwe wa lazima katika vyuo vikuu vya nchi hiyo.
Habari ID: 3476417    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17

Harakati za Qur'ani Afrika
TEHRAN (IQNA)- Jumla ya watu 190 ambao wamejifunza Qur'an Tukufu kikamilifu kwa moyo walitunukiwa zawadi na kuenziwa katika sherehe hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa Jenerali Lansana Conté.
Habari ID: 3476414    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/16

Sura za Qur'ani Tukufu /57
TEHRAN (IQNA) - Kuna hatua tofauti katika maisha ya mtu ambayo kila moja ina sifa zake kutokana na umri na masharti ya mtu. Kwa mujibu wa Sura Al-Hadid ya Qur'ani Tukufu, maisha ya mwanadamu yana hatua tano.
Habari ID: 3476411    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/16

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /17
TEHRAN (IQNA) – Mohammed Ahmed Omran alikuwa qari mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri na msomaji wa Ibtihal (usomaji dua unaoshabihiana na qiraa ya Qur’ani Tukufu).
Habari ID: 3476407    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15

Sura za Qur’ani Tukufu / 56
TEHRAN (IQNA) – Kuna maoni na nadharia tofauti kuhusu kitakachotokea mwishoni mwa wakati. Wengi wao wanatabiri kwamba matukio ya kustaajabisha na makali yatatokea duniani. Surah Al-Waqi’a ya Qur’ani Tukufu inaonyesha baadhi ya matukio hayo.
Habari ID: 3476405    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hafla ilifanyika Erzurum, mashariki mwa Uturuki, kupongeza mafanikio ya watu wengi ambao wameweza kuhifadhi au kujifunza Qur'ani Tukufu kwa moyo.
Habari ID: 3476403    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindani wanaendelea kuonyesha vipaji vyao katika duru ya mwisho ya toleo la 45 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476402    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 23 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum yalimalizika katika Umoja wa Falme za Kiarabu siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3476401    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Harakati za Qur'ani Sudan
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya wananchi wameshiriki katika sherehe ya kuwapongeza wanafunzi wanafunzi 150 waliohifadhi Qur'ani katika shule za mji wa Hamshkorib Kaskazini-Mashariki mwa Sudan.
Habari ID: 3476399    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Palestina anasema takriban wakazi 13,000 Wapalestina katika mji wa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu huenda wakalazimika kuyahama makazi yao kutokana na sera za utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3476398    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

Qiraa bora
TEHRAN (IQNA) – Muhammad Irshad Murabaei ni qari mwenye ulemavu wa macho nchini Algeria ambaye pia ni imamu wa sala nchini humo.
Habari ID: 3476393    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/12

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya Misri imesema imetayarisha programu mbalimbali za Qur’ani Tukufu na za kidini kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476388    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11

Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /14
TEHRAN (IQNA) – Sayed Radhi katika kitabu chake ‘Talkhis al-Bayan fi Majazat al-Quran’ anazungumzia muujiza wa Qur'ani Tukufu kwa mtazamo balagha na sitiari.
Habari ID: 3476386    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11