iqna

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Malmö nchini Uswidei (Sweden) imetoa waranti wa kukamatwa kwa mwanasiasa mwenye misimamo mikali wa Denmark mwenye asili ya Uswidei "Rasmus Paludan" ambaye hivi karibuni aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476964    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika katika mji mkuu wa Ghana wa Accra kuwaenzi washindi wa shindano la kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476963    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Masuala ya Kidini wa Algeria amesema baadhi ya wanafunzi milioni moja wamejiandikisha kwa ajili ya kozi za Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3476961    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Sura za Qur'ani Tukufu /74
TEHRAN (IQNA) - Ulimwengu huu ni mahali pa watu kujitayarisha kwa ajili ya ulimwengu mwingine unaowangoja.
Habari ID: 3476953    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Qur’ani yaliyoandaliwa na Baraza la Kitongoji la Al Suyoh la Idara ya Masuala ya Wilaya na Vijiji ya Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yamehitimishwa.
Habari ID: 3476943    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/01

Taazia
TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji wa Qur'ani) mashuhuri Sheikh Abdullah Kamel amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 38 huko New Jersey, Marekani, mapema wiki hii.
Habari ID: 3476934    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/30

Kilele cha Qiraa
TEHRAN (IQNA)- Sera moja muhimu zaidi ya Shirika la Habari la IQNA ni usambazaji wa elimu ya kukuza ufahamu wa usomaji wa Qur’ani Tukufu. Kwa msingi huo, tunasambaza klipi za wasomaji bingwa wa Qur’ani Tukufu chini ya anuani ya ‘Kilele cha Qiraa’. Katika sehemu ya arobaini na moja tunasikiza qiraa ya Ustadh Sheikh Mohammad Mohammad Hulail. Qiraa yake inaanzia 00:54
Habari ID: 3476925    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/28

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Uzembe na kusahau au kughafikila ni miongoni mwa sifa za binadamu. Mbinu ya kukabiliana nao ni kuarifiwa kila mara kuhusu masuala muhimu.
Habari ID: 3476916    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26

Sura za Qur'ani Tukufu / 73
TEHRAN (IQNA) - Usiku huwa ni maalumu kwa ajili ya kupumzika lakini amani iliyopo katika siku hizi hupelekea baadhi ya watu kutenga sehemu hiyo kwa ajili ya ibada na kutafakari. Inaelekea kwamba kuabudu wakati wa usiku wa manane huwa na fadhila zake maalumu.
Habari ID: 3476915    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26

Mawaidha
TEHRAN (IQNA)-Tofauti zote zinazotokea katika jumuiya zinaweza kufuatiliwa nyuma hadi kwenye kukana ukweli na uhakika. Baadhi ya watu hufanya kukataa huku bila kukusudia na wengine kwa kukusudia wakiwa na malengo mahususi katika akili zao.
Habari ID: 3476914    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/25

Misri
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya ya Misri imesema mpango wa kutoa mafunzo kwa wahifadhi Qur'ani watoto milioni moja utazinduliwa nchini humo.
Habari ID: 3476913    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/25

Mawaidha
Tehran (IQNA)- Idul Fitr, ambayo ni siku kuu inayoashiria kumalizika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, inamaanisha kurudi katka maumbile ya asili au Fitra na kwa kweli ni alama ya mwanzo wa mwaka mpya wa kiroho
Habari ID: 3476897    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21

Kikao cha Kusoma Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kikao cha Kusoma Qur’ani Tukufu cha Wanawake wa Ulimwengu wa Kiilamu kinafanyika leo hapa mjini Tehran kwa kushirikisha wanawake kutoka Iran na kwingineko katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476892    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20

Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waislamu nchini Serbia walipokea kwa furaha qari na mhifadhi wa Qur’an kutoka Iran Mahmoud Noruzi Farahani nchini humo.
Habari ID: 3476882    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Marhum Kamel Yusuf Al-Bahtimi, alikuwa msomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Misri. Katika klipu hii anasikika akisoma aya za Sura An Naml aya za 29-31 zisemazo:
Habari ID: 3476878    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/16

Taarifa ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Nasser Kanani amelaani vikali kitendo cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu kilichofanywa nchini Denmark.
Habari ID: 3476875    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/16

Sura za Qur'ani Tukufu / 71
TEHRAN (IQNA) – Hadhrat Nuh alikuwa miongoni mwa Ulul'azm Anbiya (manabii wakuu). Kulingana na riwaya, alimwomba Mwenyezi Mungu ampe wakati wa kuwaongoza watu wake na alipewa takribani miaka 1,000.
Habari ID: 3476871    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa kaligrafia kutoka India Yusuf Husen Gori ameonyesha baadhi ya kazi zake kwenye Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3476856    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ni mwitikio mzuri kwa chuki dhidi ya Iran (Iranophobia) na chuki dhidi ya madhehebu ya Shia Shiaphobia).
Habari ID: 3476855    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Sura za Qur'ani Tukufu /70
TEHRAN (IQNA) – Adhabu ya Mwenyezi Mungu kwa madhalimu na wakanushaji Mungu iko karibu na iko karibu zaidi kuliko wanavyofikiri. Bila shaka adhabu hiyo itajiri na hakuna kitu kinachoweza kusimama katika njia yake.
Habari ID: 3476853    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12